TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Orodha Ya Timu Zilizofuzu Kucheza AFCON 2025

Filed in Uncategorized by on November 19, 2024 0 Comments

Orodha Ya Timu Zilizofuzu Kucheza AFCON 2025, Timu Zilizofuzu AFCON 2025,Timu Ambazo Zimefuzu AFCON 2025

AFCON ni moja ya mashindano yenye hadhi zaidi barani Afrika na Duniani kwa ujumla, timu nyingi barani Afrika hupambana kuwania nafasi ya kufudhu kushiriki michuano hiyo.

Masimu mpya unatarajiwa kufanyika mwaka 2025, na kwa mwaka huu wa 2024 michuano ya kufudhu kucheza imekua ikienedelea huku baadhi ya timu zikiwa zimesha fuzu kucheza michuano hiyo ya AFCON itakayofanyika nchini Moroco mwaka 2025.

Orodha Ya Timu Zilizofuzu Kucheza AFCON 2025

Hapa chini ni miongoni mwa timu amabzo tayali zimesha jihakikishia nafasi ya kushiriki michuano ya kombe la Afrika AFCON itakayofanyika nchini Morocco.

  1. Morocco (Mweneyji wa Mashindano)
  2. Angola
  3. Burkina Faso
  4. Algeria
  5. Senegal
  6. Nigeria
  7. Tunisia
  8. Zimbabwe
  9. DR Congo
  10. Egypt
  11. Equatorial Guinea
  12. Cameroon
  13. South Africa
  14. Gabon
  15. Ivory Coast
  16. Uganda
  17. Zambia
  18. Mali
  19. Comoros

Mapendekezo Ya Mhariri;

1. Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

2. Msimamo wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025

3. Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024/2025

4. Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL 2024

5. Ligi Bora Africa 2024 

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *