Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025

NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania

December 6, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Msimamo wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025
Michezo

Msimamo wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025

Kisiwa24By Kisiwa24November 19, 2024No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Msimamo wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025, Msimamo wa Kundi la Tanzania (Taifa Stars) kufudhu AFCON 2025, Nafasi ya Tanzania kwenye kundi H kufudhu AFCON 2025

Msimamo wa Kundi H La Tanzania Kufudhu AFCON 2025

Habari mwanamchezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukupa mwongozo wa kundi H kwenye michuano ya Afrika kuwania kufudhu michuano ya AFCON itakayofanyika mwaka 2025, hapa tuenda kuangazia msimamo wa kundi H na nafasi ya Tanzania kwenye kufudhu kucheza michuano ya AFCON 2025.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Timu Zinazounda Kundi H

Kunajumla ya timu nnr zinazounda kundi H kaka michuano ya kuawania kufudhu kucheza AFCON 2025, Tanzania ikiwemo ni miungoni mwa timu hizo;

  1. Dr Congo
  2. Guinea
  3. Tanzania
  4. Ethiopia

Michezo Iliyochezwa Katika Kundi H

Kila timu itacheza jumla ya mechi 6 ilkiwa michgezo 3 ya ugenini na michezo 3 ya nyumbani. Kwa Tanzania imecheza michezo 5 ikishinda michezo 2, kudro mchezo 1 na kupoteza michezo 2 ikiwa na jumla ya pointi 7.

Msimamo wa Kundi H La Tanzania Kufundhu AFCON 2025

Hapa chini ni msimamo wa kundi H ambapo timu ya Taifa ya Tanzania ipo

  1. Dr Congo – anajumla ya pointi 12
  2. Tanzania – anajimla ya pointi 10
  3. Guinea – anajumla ya pointi 9
  4. Ethiopia – anajumla ya pointi 1

Kundi hadi sasa kila timu imecheza michezo 5, kundi linaongozwa na DR Congo ikiwa na jumla ya poiti 12, Tanzania iko katika nafasi ya 3 ikiwa na pointi 7 huku nafasi ya mwinsho ikiwa imeshikiliwa na Ethiopia.

Nafasi ya Tanzania Kwneye Kundi H Kufudhu AFCON 2025

Tanzania japo ya kua katika nafasi ya 3 lakini bado inamatumaini ya kufidhu kucheza AFCON 2025 endapo itatumia vizuri uwanja wake wa nyumbani kwa amchezo wao wa mwisho wa hatua ya makundi akicheza dhidi ya Guinea siku ya Jumanne 19 Novemba 2024.

Taifa stars inahitaji pointi 3 za muhimu katika mchezo huu ili kuweza kufudhu kwenda kucheza AFCON 2025, kama Taifa stars itashinda mchezo wake wa mwisho itamaliza katika kundo H kiwa katika naasi ya 2 kwa kua na pointi 10 pointi moja mbele ya Guinea.

Mapendekezo Ya Mhariri:

1, Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024

2, Msimamo wa Ligi ya Italia Serie A 2024

3, Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL 2024

4, Kikosi cha Simba SC Msimu wa 2024

5, Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleTanzania Vs Guinea Leo 19 Novemba 2024
Next Article Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

October 15, 2025
Michezo

CV ya Dimitar Pantev – Kocha Mpya wa Simba SC 2025

October 5, 2025
Michezo

Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2025/2026

October 5, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs
  • NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii
  • NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania
  • NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali
  • Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngara

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

December 3, 2025284 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025260 Views

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025253 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.