Post Archive by Month: October,2024

Wafungaji Bora wa Muda Wote Ligi Kuu Uingereza

Wafungaji Bora wa Muda Wote Ligi Kuu Uingereza, Ligi Kuu Uingereza (English Premier League) ni moja ya ligi maarufu na yenye ushindani mkubwa zaidi duniani. Imeanzishwa mwaka 1992, na tangu wakati huo imevutia wachezaji bora zaidi duniani kushiriki na kuonyesha uwezo wao. Historia ya Ligi Kuu Uingereza imejaa hadithi za wachezaji bora ambao wamepata umaarufu kutokana na uwezo wao wa

Continue reading

Kundi la Yanga SC Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Kundi la Yanga SC Klabu Bingwa Afrika 2024/2025, karibu mwanasoka wa Habarika24, hapa tutaenda kuangazia timu zilizopangwa na klabu ya Yanga ya Tanzania ali maarufu kama wana jangwani katika Michuano ya klabu bingwa Afrika. Young Africans Sports Club, maarufu kama Yanga, wameandika historia mpya katika mchezo wa soka Tanzania kwa kufuzu hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu

Continue reading

Ratiba ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Ratiba ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025, Habari ya wakati huu mwanasoka wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi ya kimichezo itakayoenda kuangazia juu ya ratiba ya klabu bingwa Afrika 2024/2025. Kama wewe ni mfuatiliaji wa michezo hasa klabu bingwa Afrika basi hapa tutaenda kujadili na kuangalia ratiba ya michezo yote ya klabu bingwa Afrika (Ratiba ya CAF Champions

Continue reading

Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024 Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024, Klabu ya Simba Sports Club imejiandaa vizuri kwa ajili ya kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika (CAF

Continue reading

Ada, Fomu, Sifa na Kozi za Chuo cha Ualimu Safina Geita

Ada, Fomu, Sifa na Kozi za Chuo cha Ualimu Safina Geita , Chuo cha Ualimu Safina kilichopo mkoa wa Geita ni miongoni mwa vyuo bora vya ualimu nchini Tanzania. Chuo hiki kinatoa mafunzo ya ualimu katika ngazi mbalimbali na kina historia ndefu ya kutoa walimu wenye weledi. Katika makala hii, tutaangazia masuala muhimu kuhusu ada, fomu, sifa zinazohitajika na kozi

Continue reading

Ada, Fomu, Sifa na Kozi za Chuo cha Ualimu Ilonga

Ada, Fomu, Sifa na Kozi za Chuo cha Ualimu Ilonga, Chuo cha Ualimu Ilonga ni moja ya vyuo vinavyotoa mafunzo bora ya ualimu nchini Tanzania. Kilichopo katika mkoa wa Morogoro, chuo hiki kina historia ndefu ya kutoa walimu wenye weledi na ujuzi wa hali ya juu. Katika makala hii, tutaangazia masuala muhimu kuhusu ada, fomu za maombi, sifa zinazohitajika, na

Continue reading

Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga Chuo Cha ADEM Bagamoyo, Chuo cha Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) kilichopo Bagamoyo ni miongoni mwa vyuo bora vya mafunzo ya uongozi wa elimu nchini Tanzania. Katika makala hii, tutaangazia masuala muhimu kuhusu kujiunga na chuo hiki, ikiwa ni pamoja na fomu za maombi, kozi zinazopatikana, na sifa zinazohitajika. Ada, Fomu, Kozi

Continue reading

Naibu Spika Wa Bunge la Tanzania

Naibu Spika Wa Bunge la Tanzania, Nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la Tanzania ni mojawapo ya vyeo muhimu katika mfumo wa utawala wa nchi yetu. Nafasi hii ina umuhimu mkubwa katika kuendesha shughuli za Bunge na kusimamia mijadala ya kitaifa. Leo tutaangazia kwa undani majukumu na umuhimu wa nafasi hii. Naibu Spika Wa Bunge la Tanzania Majikumu ya Naibu

Continue reading
Chuo Kikuu cha Mtakatifu John cha Tanzania (St John’s University of Tanzania – SJUT) ni chuo kikuu binafsi kinachomilikiwa na Kanisa la Anglikana Tanzania. Kimeanzishwa kwa lengo la kutoa elimu ya juu yenye msingi wa maadili, maono na huduma kwa jamii. Kiko katika mji wa Dodoma, katikati ya Tanzania, na kinatoa programu mbalimbali kuanzia shahada za kwanza hadi za juu
Smiles Dental Clinic ni kliniki ya kisasa ya meno inayotoa huduma bora kwa wagonjwa wa rika zote. Kliniki hii imejipatia sifa kwa kutumia vifaa vya kisasa na teknolojia ya hali ya juu katika kutibu matatizo mbalimbali ya meno kama vile kung’oa, kusafisha, kuweka dawa, na kufunga braces. Madaktari wake ni wataalamu wenye uzoefu mkubwa katika fani ya afya ya kinywa
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 25-05-2025 na tarehe 05-06-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi
Angalia Majina ya Walioitwa Kazini Kupitia UTUMISHI – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) 2025 Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali chenye hadhi ya Idara Huru kilichoanzishwa mahsusi kurahisisha mchakato wa ajira kwa watumishi wa umma. Sekretarieti hii ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002
error: Content is protected !!