Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

    October 15, 2025

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025

    Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

    October 9, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Demos
    • Buy Now
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Features
      • View All On Demos
    • Buy Now
    Subscribe
    Kisiwa24Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»NAFASI za Kazi Bukombe District council July 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    NAFASI za Kazi Bukombe District council July 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24July 5, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe amepokea kibali cha Ajira mpya kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha terehe 29.04.2025. Hivyo anapenda kuwatangazi watanzania wote wenye sifa ya kutuma maombi kwa kada moja (01) kama ilivyoainishwa kwa kuzingatiasifa tajwa:

    NAFASI za Kazi Bukombe District council July 2025

    MWANDISHI MWENDESHA OFISI II – NAFASI 3

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Kuajiriwa mhitimu wa Kidato cha IV au Kidato cha VI wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na serikali. Awe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 100 kwa dakika moja na kupata mafunzo ya programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

    KAZI NA MAJUKUMU YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI II.

    i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida.
    ii. Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa.
    iii. Kusaidia kutunza taarifa/ Kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika Ofisi anayofanyia kazi, kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.
    iv. Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini.
    v. Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasidizi wake na pia kumuarifu kuhusu taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao.
    vi. Kusaidia kupokea majalada, kugawa kwa maofisa walio katika sehemu alipo na kuyakusanya, kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohusika
    vii. Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na Msimamizi wake wa kazi.

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia Ngazi za Mishahara ya Serikali- TGS C1

    MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI

    i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania wenye umri wa miaka 18 na usiozidi miaka 45.
    ii. Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye mfumo wa kuombea ajira Ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma.
    iii. Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na anuani ya barua pepe (E-mail Address) pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
    iv. Maombi yote yaambatane na vyeti vya Elimu na taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne au Kidato cha Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificate – Cheti cha Mtihani wa Kidato cha nne na cha Sita, Computer Certificate, – Vyeti vya Kitaaluma (Proffessional Certificate from Respective Boards).
    v. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.
    vi. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na vimethibitishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTVET).
    vii. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
    viii. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.
    ix. Waombaji watakaowasilisha taarifa na sifa za kughushi watachukuliwa hatua za kisheria.
    x. Wasailiwa ambao majina yao yanatofautiana katika nyaraka zao wanapaswa kuwasilisha Hati ya Kiapo cha Kubadili Jina (Deed Poll) iliyosajiliwa na Wizara ya Ardhi.
    xi. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 17Julai,2025.

    BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNAFASI 12 za Kazi Misungwi District council July 2025
    Next Article Makato ya Kuangalia Salio NMB
    Kisiwa24

    Related Posts

    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

    October 8, 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

    October 8, 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    October 8, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Recent Posts

    • 1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi
    • Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker
    • Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker
    • Jinsi ya kupika Maharage kwenye Rice cooker
    • Jinsi ya kupika wali kwenye Gesi au Rice Cooker

    Recent Comments

    1. E Qambayoya on Orodha ya Maswali ya Usaili Nafasi ya Usimamizi Uchaguzi Mkuu 2025
    2. Kasubi on Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025
    3. Kisiwa24 on NAFASI 320 za Kazi Kutoka Akiba Commercial Bank PLC
    4. MTIE MOHAMED on NAFASI 320 za Kazi Kutoka Akiba Commercial Bank PLC
    5. Princepius on Namba za Mabinti Wanaotafuta Wachumba 2025
    Demo
    Top Posts

    Maswali ya Interview Ajira za Zimamoto 2025

    March 31, 202520 Views

    Jinsi Ya Kujua Namba Ya Kitambulisho Cha Mpiga Kura

    June 23, 202514 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202513 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo

    Archives

    • October 2025
    • September 2025
    • August 2025
    • July 2025
    • June 2025
    • May 2025
    • April 2025
    • March 2025
    • February 2025
    • January 2025
    • December 2024
    • November 2024
    • October 2024
    • September 2024
    • August 2024
    • July 2024

    Categories

    • A' Level Secondary Notes
    • Afya
    • Bei ya
    • Books Analysis For Secondary Education
    • Burudani
    • CV za Wachezaji
    • Elimu
    • Forex Trading
    • Form 5 Notes
    • Form 6 Notes
    • Form Four Mock Exams
    • Form Four Notes
    • Form One Notes
    • Form Three Notes All Subjects
    • Habari
    • Internship Opportunities
    • Jobs
    • Kampuni Za Kubeti Tanzania
    • Kampuza za Mabasi na Nauli zake
    • Kilimo Na Ufugaji
    • Kuitwa Kazini Utumishi
    • Mafundisho ya Imani
    • Magazeti
    • Mahusiano
    • Majina Ya Waliochaguliwa Kujiunga Na Vyuo Vikuu
    • Makala
    • Matokeo
    • Matokeo Darasa la Saba
    • Matokeo Ya Mechi
    • Michezo
    • Mitandao ya Simu Tanzania
    • Movies
    • Mtokeo ya Mitihani ya Taifa
    • Music Video
    • Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
    • NECTA Form Six Results 2025/2026
    • NEW
    • New Syllabuses For Secondary Education
    • Nyimbo
    • O Level Notes
    • Phone Review
    • ready_text
    • Samsung Phones
    • Secondary Notes
    • Shule za Sekondari Mikoa Yote Tanzania
    • Siafa za Kujiunga na Vyuo Tanzania
    • TAMISEMI Selection
    • Tecno Phone
    • Tecno Spark Phones
    • Tetesi za Usajili
    • Uncategorized
    • Usaili
    • Utalii Wa Tanzania
    • Vyuo Mbali Mbali Tanzania
    • Vyuo Mbali Mbali Vya Ualimu Tanzania
    • Vyuo vya Afya Tanzania
    Most Popular

    Maswali ya Interview Ajira za Zimamoto 2025

    March 31, 202520 Views

    Jinsi Ya Kujua Namba Ya Kitambulisho Cha Mpiga Kura

    June 23, 202514 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202513 Views
    Our Picks

    1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

    October 15, 2025

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025

    Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

    October 9, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.

    Powered by
    ...
    ►
    Necessary cookies enable essential site features like secure log-ins and consent preference adjustments. They do not store personal data.
    None
    ►
    Functional cookies support features like content sharing on social media, collecting feedback, and enabling third-party tools.
    None
    ►
    Analytical cookies track visitor interactions, providing insights on metrics like visitor count, bounce rate, and traffic sources.
    None
    ►
    Advertisement cookies deliver personalized ads based on your previous visits and analyze the effectiveness of ad campaigns.
    None
    ►
    Unclassified cookies are cookies that we are in the process of classifying, together with the providers of individual cookies.
    None
    Powered by