Post Archive by Month: February,2025

Ratiba Ya Mechi za Yanga Februari 2025 NBC Premier League

Ratiba Ya Mechi za Yanga Februari 2025 NBC Premier League Timu ya Yanga SC, mabingwa watetezi wa NBC Premier League, wanaendelea na msimu wao wa 2025 kwa mtindo wa kipekee huku wakijizatiti kuhakikisha wanashinda kila mechi. Mashabiki wa Yanga SC na wapenda soka kwa ujumla wanatarajia mechi kali mwezi Februari, ambapo Yanga SC itakabiliana na timu zenye ushindani mkali. Hii

Continue reading

Nafasi za Kazi :- Port Clerk Supervisor at Alistair

Nafasi za Kazi :- Port Clerk Supervisor at Alistair WHO WE ARE ALISTAIR is one of East and Southern Africa’s fastest growing service companies, providing a variety of self-delivered logistics solutions with core competencies in road freight and operational hire of material handling equipment. The business has gone from strength to strength, growing quickly in both its geographical coverage and

Continue reading
Chuo Kikuu cha Mtakatifu John cha Tanzania (St John’s University of Tanzania – SJUT) ni chuo kikuu binafsi kinachomilikiwa na Kanisa la Anglikana Tanzania. Kimeanzishwa kwa lengo la kutoa elimu ya juu yenye msingi wa maadili, maono na huduma kwa jamii. Kiko katika mji wa Dodoma, katikati ya Tanzania, na kinatoa programu mbalimbali kuanzia shahada za kwanza hadi za juu
Smiles Dental Clinic ni kliniki ya kisasa ya meno inayotoa huduma bora kwa wagonjwa wa rika zote. Kliniki hii imejipatia sifa kwa kutumia vifaa vya kisasa na teknolojia ya hali ya juu katika kutibu matatizo mbalimbali ya meno kama vile kung’oa, kusafisha, kuweka dawa, na kufunga braces. Madaktari wake ni wataalamu wenye uzoefu mkubwa katika fani ya afya ya kinywa
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 25-05-2025 na tarehe 05-06-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi
Angalia Majina ya Walioitwa Kazini Kupitia UTUMISHI – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) 2025 Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali chenye hadhi ya Idara Huru kilichoanzishwa mahsusi kurahisisha mchakato wa ajira kwa watumishi wa umma. Sekretarieti hii ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002
error: Content is protected !!