Hap chini ni wachezaji amabo wanaunda kikosi cha klabu ya Yanga kwa msimu huu mpya wa 2024/2025
Djigui Diarra
Abutwalib Mshery
Nickson Kibabage
Kouassi Yao
Farid Mussa
Dickson Job
Bakari Mwamnyeto
Ibrahim Abdallah
Max Nzengeli
Khalid Aucho
Pacome Zouzoua
Stephen Aziz Ki
Mudathir Yahya
Salum Abubakar
Clement Mzize
Clatous Chama
Prince Dube
Chadrack Boka
Khomeiny Aboubakar
Aziz Andabwile
Duke Abuya
Kennedy Musonda
Jean Othos Baleke
Tumeshuhudia mapinduzi ya kiusajili huku Yanga wakimsajili mchezaji mwenye kipaji kikubwa kutokea kwa watani wao wa jadi Simba SC. Clatous Chota Chama alimaarufu kama triple C anaungana na kikosi cha wanajangwani ili kukamilisha kikosi cha Yanga kwa msimu huu wa 2024/2025.
Yanga msimu huu imefanikiwa kushiriki katika michuano ya klabu bingwa balani Afrika na katika hatua ya makundi imepangwa katika kundi A.