Post Archive by Month: August,2024

Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika

Vital’O Yapania Kuitoa Yanga Sc Klabu Bingwa Afrika Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti amesema wamekuja nchini kuitoa Yanga SC katika Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika. Vital’O imepangwa kucheza na Yanga SC katika Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika na mchezo huo utafanyika Jumamosi katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi, nje

Continue reading

Habari kubwa Katika Magazeti ya leo Jumatano Agosti 14 2024

Habari kubwa Katika Magazeti ya leo Jumatano Agosti 14 2024 Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP CHANNEL YETU Habari kubwa Katika Magazeti ya leo Jumatano Agosti 14 2024 Habari kubwa Katika Magazeti ya leo Jumatano

Continue reading

Nafasi Mpya 224 Za Kazi Kutoka Utumishi (PSRS) Agosti 2024

Nafasi Mpya 224 Za Kazi Kutoka Utumishi (PSRS) Agosti 2024 HABARIKA24 ni blog inayoongoza nchini Tanzania. Tunachapisha nafasi mpya kazi kutoka kwa waajiri wakuu. Utumishi. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) kwa sasa inatafuta watahiniwa 224 wenye sifa za kushika Nafasi mbalimbali. Kwa niaba ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI), Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania

Continue reading

Nafasi Mpya 216 Za Kazi Taasisi Mbalimbali Za Umma Agosti 2024

Nafasi Mpya 216 Za Kazi Taasisi Mbalimbali Za Umma Agosti 2024 Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) nchini Tanzania ni wakala wa serikali wenye jukumu la kusimamia mchakato wa ajira na uteuzi wa nafasi za utumishi wa umma nchini. Imara kwa lengo la kuhakikisha uwazi, haki na fursa sawa, PSRS ina jukumu muhimu katika kudumisha uadilifu na weledi

Continue reading

Nafasi Mpya 96 za Kazi Kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA)

Nafasi Mpya 96 za Kazi Kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) ilianzishwa mwaka 1999 kwa Sheria ya Bunge. Mamlaka ina jukumu la kutoa huduma za viwanja vya ndege, msaada wa ardhi, miundombinu na ujenzi wa viwanja vya ndege nchini Tanzania. Mamlaka inafanya kazi chini ya Wizara ya Maendeleo ya Miundombinu. Kazi

Continue reading

Ratiba Ya Mechi Za Namungo Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

Ratiba Ya Mechi Za Namungo Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025 Habari ya wakati huu mpenzi mfuatiliaji wa blog yako pendwa ya Habarika24, leo katika ukrasa huu utaenda kutazama/kusoma ratiba kamili/yote ya mechi za timu ya Namungo katika ligi kuu ya Nbc Premier msimu wa 2024/2025. Kama tunavyojua ligi kuu ya Nbc Premier msimu mpya wa 2024/2025 unaenda

Continue reading

Ratiba Ya Mechi Za Mashujaa FC Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

Ratiba Ya Mechi Za Mashujaa FC Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025 Niwakati mwingine tena mpenzi mfuatiliaji wa blog yako pendwa ya habarika24, Katika ukrasa huu tunaenda kukuletea ratiba ya michezo yote itakayochezwa na timu ya Mashujaa katika ligi kuu ya Nbc premier msimu huu wa 2024/2025. Kama tnavyojua mnamo tarahe 16/08 /2024 ligi pendwa mchini Tanzania ya Nbc

Continue reading

Simba Sc Kumtena Mmoja kati ya Hawa 3

Simba Sc Kumtena Mmoja kati ya Hawa 3 Simba SC imeweka majina matatu mezani ambapo mmoja kati ya hayo atapisha usajili mpya ambao wanapambana kukamilisha dili hilo kwa wakati Freddy Michael 🇨🇮 Ayoub Lakred 🇲🇦 Fabrice Ngoma 🇨🇩 Simba SC ,wapo sokoni kusaka mchezaji ambaye anahudumu katika nafasi ya ushambuliaji ili kuboresha eneo hilo kwa mujibu wa mapendekezo ya Fadlu

Continue reading
error: Content is protected !!