Cv za Wachezaji

Cv ya Elvis Rupia Mchezaji wa Singida Black Stars

Cv ya Elvis Rupia Mchezaji wa Singida Black Stars Elvis Baranga Rupia ni mmoja wa washambuliaji mahiri wa kandanda kutoka Kenya ambaye ameendelea kung’ara katika ligi mbalimbali barani Afrika. Kwa sasa, anachezea klabu ya Singida Black Stars, akivalia jezi namba 9. Katika makala hii, tutaangazia kwa kina Cv ya Elvis Rupia, historia yake ya soka, mafanikio yake, na mchango wake

Continue reading
error: Content is protected !!