NAFASI za Kazi Kutoka Ajira Portal Leo 2025
Ajira Portal ni mfumo wa kielektroniki unaoruhusu watu kutafuta na kuomba kazi mbalimbali kupitia mtandao. Ilianzishwa na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, kwa lengo la kuwezesha wanataaluma na watafuta kazi kupata fursa za ajira na mikataba ya kazi. Kupitia Ajira Portal, watumiaji wanaweza kuangaza wasifu wao, kutuma maombi ya kazi, na hata kushiriki katika mafunzo mbalimbali ya ujuzi wa kazi. Mfumo huu umekuwa muhimu hasa katika kukuza uchumi wa kidijitali na kurahisisha mchakato wa utaftaji wa kazi nchini Tanzania.
Ajira Portal pia inawezesha waajiri kutoa nafasi za kazi na kufanya mchakato wa ukaguzi wa maombi kwa urahisi zaidi. Mfumo huu umejengwa kwa kuzingatia mahitaji ya sasa ya soko la kazi, ikiwa ni pamoja na kazi za mbali (remote jobs) na fursa za kujitolea (freelancing). Kwa kutumia teknolojia ya kisasa, Ajira Portal inasaidia kupunguza ukosefu wa kazi na kuwaunganisha waajiri na watafuta kazi kwa ufanisi zaidi. Hivyo, inachangia kwa kiasi kikubwa katika kutatua changamoto za ajira na kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya watu wengi.
NAFASI 68 za Kazi Ajira Portal June 2025
Ili kuweza kusoma Vigezo na jinsi ya kutuma maombi tafadhari bonyeza hapo kila nafasi ya kazi hapo chini
- MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 9 POST
- MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 4 POST
- MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 4 POST
- MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 2 POST
- MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 4 POST (Nyang’hwale)
- MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 5 POST (Biharamulo)
- MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 5 POST (Singida)
- MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 5 POST (Songea)
- OFFICE MANAGEMENT SECRETARY II – 2 POST
- ONBOARD ATTENDANT II – 2 POST
- MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 2 POST (Madaba)
- MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 7 POST (Madaba)
- MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 2 POST (Mvomero)
- MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 6 POST (Ushetu)
- MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 5 POST (Tanganyika)
- MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 3 POST (Ukerewe)
- MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 3 POST (Sumbawanga)
- MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II – 5 POST (Ukerewe)
- MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 4 POST (Biharamulo)