Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025
Michezo

Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025

Kisiwa24
Last updated: December 2, 2024 9:08 pm
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Nafasi ya Simba Sc Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025, Msimamo wa Simba SC ligi kuu ya NBC 2024/2025, Habari ya wakati huu mwanamichezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukupa mwenendo wa klabu yako pendwa ya wekundu wa msimbazi Simba SC Kwenye ligi kuu ya NBC kwa msimu huu mpya wa 2024/2025.

Contents
Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025Mapendekezo ya Mhariri;

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Klabu ya Simba inayofahamika kama wekundu wa msimbazi ni moja miongoni mwa klabu bora zaid nchini Tanzania ukiacha zile za Yanga na Azam, Simba SC ni miongoni mwa klabu zinazishiriki ligi kuu ya NBC kwa msimu huu mpya wa 2024/2025. Na ikiwa wewe ni moja ya maelfu ya mashabiki wa mpira wa miguu na klabu ya Simba basi huna budi kufuatilia mwenendo wa klabu yako kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC.

Hapa sisi kama chombo cha kukuhabarisha tupo tayari kukuletea taarifa zote za muhimu kuhusu msimamo wa Simba SC kwenye ligi kuu ya NBC,

Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025
Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025

Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025

Msimu mpya wa ligi kuu ya NBC tayari umesha anza kupamba moto huku klabu ya Simba ikizidi kujiimalisha kwa kuendelea kukusanya pointi na kujiweka kileleni mbele ya maasimu wao wakuu Yanga SC na Azam FC

  • Hadi sasa klabu ya Simba imecheza michezo 11, imeshinda michezo 9, imedroo mchezo 1 na kufungwa mchezo 1
  • Iko katika nafasi ya kwanza kwa jumla ya point 28

Simba iko mbele kwa pointi 1 kwa klabu ya Yanga iliyoko nafasi ya 2 kwa pointi 27 sawa na Azam FC iliyoko katika nafasi 3 ikiwa imecheza michezo 12.

Matokeo Ya Simba SC Ligi Kuu ya NBC 2024/2025

1. November 22, 2024
Pamba Jiji 0 – 1 Simba SC

2. November 6, 2024
Simba SC 4 – 0 KMC FC

3. November 1, 2024
Mashujaa FC 0 – 1 Simba SC

4. October 25, 2024
Simba SC 3 – 0 Namungo FC

5. October 22, 2024
Tanzania Prisons 0 – 1 Simba SC

6. October 19, 2024
Simba SC 0 – 1 Young Africans

7. October 4, 2024
Simba SC 2 – 2 Coastal Union

8. September 29, 2024
Dodoma Jiji 0 – 1 Simba SC

9. September 26, 2024
Azam FC 0 – 2 Simba SC

10. August 25, 2024
Simba SC 4 – 0 Fountain Gate

11. August 18, 2024
Simba SC 3 – 0 Tabora United

Michuano Mingine Inayoshiriki Klabu ya Simba 2024/2025

Simba nje ya kushiriki katika ligi kuu ya NBC lakini pia inashiriki michuano ya kombe la shirikisho Barani Afrika. Katika hatua hii ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika (CAF Confideretion Cup) Simba imepangwa katika kundi  ikiwa na timu kama vile CS Sfaxien (Tunisia),CS Constantine (Algeria) na FC Bravos do Maquis (Angola)

– Hadi sasa Simba imecheza mchezo mmoja wa hatua ya makundi kiwa nyumbani kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa na kuibuka na ushindi wa magoli 1 kwa bila dhidi ya FC Bravos do Maquis

– Simba katika msimamo wa kundi A inashika nafasi ya 2 ikiwa na jumla ya pointi 3

Matokea ya Mechi za Simba Kombe la Shirikisho CAF 2024/2025

  • 27/11/2024Simba SC 1 – 0 FC Bravos do Maquis

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Nafasi ya Yanga Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025

2. Jezi Mpya Za Simba SC Kimataifa Msimu Wa 2024/2025

3. Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Wachezaji 10 Ghali Zaidi Afrika 2025

WAFUNGAJI Bora Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania 2024/2025

KMC vs Yanga Leo 14 February 2025 Saa Ngapi?

KIKOSI Yanga Vs MC Alger Leo 18 January 2025

Orodha ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika Hadi 2025

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Simba Sc Vs Fc Bravos Do Maquis 27 Nov 2024 Simba Sc Vs Fc Bravos Do Maquis 27 Nov 2024
Next Article Nafasi Za Kazi Bodi Ya Taifa Ya Wahasibu Na Wakaguzi Wa Hesabu (Nbaa) December 2024 Nafasi Za Kazi Bodi Ya Taifa Ya Wahasibu Na Wakaguzi Wa Hesabu (Nbaa) December 2024
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026
Nauli ya Basi Dar Es Salaam kwenda Morogoro
Nauli ya Basi Dar to Morogoro
Kampuza za Mabasi na Nauli zake
Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar
Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar
Makala
Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kigoma
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kigoma
NECTA Form Six Results 2025/2026
Alama za Ufaulu Kwa Kidato cha Sita 2025
Alama za Ufaulu Kwa Kidato cha Sita 2025
Makala

You Might also Like

Matokeo ya Yanga SC vs Simba SC Live Leo 8 Augosti 2024
Michezo

Matokeo ya Yanga SC vs Simba SC Live Leo 8 Augosti 2024 Ngao ya Jamii

Kisiwa24 Kisiwa24 6 Min Read
Ratiba Ya Mechi Za KenGold FC Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025
Michezo

Ratiba Ya Mechi Za KenGold FC Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 6 Min Read
Ratiba Ya Mechi za Yanga Februari 2025
Michezo

Ratiba Ya Mechi za Yanga Februari 2025 NBC Premier League

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025
Michezo

Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025 (Ligi Daraja la Kwanza)

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Matokeo ya Yanga Vs Mashujaa Leo 19/12/2024
Michezo

Matokeo ya Yanga Vs Mashujaa Leo 19/12/2024

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Matokeo ya CS Sfaxien vs Simba Leo 05/01/2025
Michezo

Matokeo ya CS Sfaxien vs Simba Leo 05/01/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner