NAFASI ZA KAZI UCHAGUZI MKUU 2025 (BOFYA HAPA)

_________________________________________________

BARUA YA KUOMBA KAZI UCHAGUZI MKUU 2025(BOFYA HAPA)

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kikosi Cha Mashujaa vs Tanzania Prisons Ligi Kuu ya NBC Premier Leo Ijumaa 23/08/2024 

Filed in Michezo by on August 22, 2024 0 Comments

Kikosi Cha Mashujaa vs Tanzania Prisons Ligi Kuu ya NBC Premier Leo Ijumaa 23/08/2024 

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

Mashujaa ni moja miongoni mwa klabu zinazoshiriki katika ligi kuu ya NBC Premier msimu huu wa mwak 2024/2025. Kama ilivyo kwa timu nyingine klabu hii ilijidhatiti katika kutengeneza kikosi chake ili kuhakikisha inafanya vizuri katika michezo yake yote ndani ya ligi kuu ya NBC.

Hapa tunakuletea majina ya wachezaji ambao wanatengeneza kikosi cha klabu ya Mashujaa kwa msimu huu wa 2024/2025 na ndio kikosi tunachokitarajia kucheza katika mechi ya mzunguko wa pili katika ligi kuu ya NBC Prepmier dhidi ya Tanzania presons

Kikosi Cha Mashujaa vs Tanzania Prisons Ligi Kuu ya NBC Premier Leo Ijumaa 23/08/2024 

Kikosi Cha Mashujaa vs Tanzania Prisons Ligi Kuu ya NBC Premier Leo Ijumaa 23/08/2024 

Kikosi Cha Mashujaa vs Tazania Presons Leo Ijumaa 23./08/2024

Hapa chini ni listi ya wachezaji wa mashujaa wanao fikiliwa kucheza dhidi ya Tanzania Presons leo ijumaa 23/8/2024 katika ligi kuu ya NBC Premier msimu wa 2024/2025 katika mzunguko wa pili mkoani Kigoma;

1. Patrick Munthali — Namba 30

2. Ibrahim Mohamed — Namba 4

3. Baraka Mtuwi — Namba 6

4. Hassan Haji — Namba 14

5. Mpoki Mwakinyuke — Namba 20

6. Crispin Ngushi — Namba 22

7. Yusuf Dunia — Namba 23

8. Ally Nassoro — Namba 27

9. Abdulmalik Zakaria — Namba 29

10. Abdereheman Musa — Namba 33

11. Jafar Kibaya — Namba 39

12. Idrisa Stambuli — Namba 5

13. Abdulnasir Assa — Namba 7

14. Ismail Mgunda — Namba 10

15. Mapinduzi Balama — Namba 11

16. Seif Rashid — Namba 12

17. Nyenyezi Mangapi — Namba 21

18. Kassim Zuberi — Namba 24

19. David Uromi — Namba 28

20. Lameck Kanyonga — Namba 35

Kama tulivyosema hapo awali majian ya wachezaji hapo juu ndio yanayounda kikosi cha mashujaa kwa msimu huu wa 2024/2025 katika ligi kuu ya NBC Tanzania bara na miongoni mwa wachezaji hapo juu ndio wanao tarajiwa kuunda kikosi harisi kitakacho cheza dhidi ya Tanznaia Presons leo Ijumaa 23/08/2024.

Ratiba Ya ligi kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

Ili kutazama latiba yote ya mizubguko yote ya ligi kuu ya NBC Premier BONYEZA HAPA

Msimamo wa ligi kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

Kwa Matangazo ya AJIRA Mpya kila siku BONYEZA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!