Ajira

PDF: MAJINA ya Walioitwa Kwenye USAILI Utumishi March 2026

Filed in Ajira by on March 7, 2026 0 Comments
PDF: MAJINA ya Walioitwa Kwenye USAILI Utumishi March 2026

MAJINA YA walioitwaKWENYE USAILI Utumishi Leo 2026, Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi na Ajira Portal 2026, Walioitwa kwenye Usaili Utumishi, majina walioitwa usaili ajira portal. Karibu katika ukrasa huu wenye PDF za majina ya walioitwa kwenye usaili Utumishi leo, wiki hii na mezi huu. Hapa utaweza kupata updates za majina kila siku waliotwa kwenye […]

Continue Reading »

Walioitwa Kwenye Usaili Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA)

Filed in Ajira by on March 7, 2026 0 Comments
Walioitwa Kwenye Usaili Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA)

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 15/03/2026 hadi 15/04/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:- 1. Usaili utafanyika […]

Continue Reading »

Nafasi 19 za Kazi Halmashauri ya Jiji la Mbeya

Filed in Ajira by on March 7, 2026 0 Comments
Nafasi 19 za Kazi Halmashauri ya Jiji la Mbeya

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya anawatangazia watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na tisa (19) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Nafasi 19 za Kazi Halmashauri ya Jiji la Mbeya Bonyeza Hapa Kudownload PDF ya Tangazo

Continue Reading »

NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania 2026

Filed in Ajira by on March 3, 2026 0 Comments
NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania 2026

Vodacom Tanzania ni kiongozi katika sekta ya mawasiliano ya kielektroniki nchini Tanzania. Kampuni hii imekuwa nyumbani kwa Watanzania kwa miaka mingi, ikiwa na mtandao mkubwa na wa kina unaofikia maeneo mbalimbali nchini, hata yale yaliyopo mbali na mijini. Kupitia huduma zake kuu za simu, intaneti, na pesa za mkono (M-Pesa), Vodacom imebadilisha njia Watanzania wanavyowasiliana, […]

Continue Reading »

Nafasi za Kazi Kutoka Geita Gold Mining Ltd (GGM) 2026

Filed in Ajira by on March 3, 2026 0 Comments
Nafasi za Kazi Kutoka Geita Gold Mining Ltd (GGM) 2026

Geita Gold Mining Ltd (GGL) ni moja kati ya migodi mikuu na yenye uzalishaji mkubwa zaidi wa dhahabu nchini Tanzania. Mgodi huo unazolishwa na kampuni ya Anglogold Ashanti, moja ya makampuni makuu duniani katika uchimbaji wa dhahabu, na uko katika Mkoa wa Geita. GGL imekuwa nyenzo muhimu katika uchumi wa Tanzania kwa kushiriki kikamilifu katika […]

Continue Reading »

NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania 2026

Filed in Ajira by on March 3, 2026 0 Comments
NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania 2026

Yas Tanzania ni shirika lenye misheni maalum ya kuwawezesha vijana na wanawake nchini Tanzania. Kupitia miradi mbalimbali, shirika hili linalenga kuwapa uwezo wa kiuchumi, haswa kwa kutoa mafunzo ya ujasiriamali, ujuzi wa kibiashara, na mikopo ya awali ya kuwezesha kuanzisha miradi midogo midogo. Lengo kuu ni kuwasaidia vijana na wanawake kujikwamua na umaskini na kujenga […]

Continue Reading »

NAFASI za Kazi Kutoka Ajira Portal Leo 2026

Filed in Ajira by on March 3, 2026 0 Comments
NAFASI za Kazi Kutoka Ajira Portal Leo 2026

Nafasi Mpya za Kazi Ajira Portal, Utumishi na Serikalini 2026, Nafasi za Kazi Utumishi, nafasi za kazi Ajira Portal, Nafasi za kazi zilizotangazwa leo,wiki hii na mwezi huu kutoka serikalini, Utumishi na Ajira portal, Habari kama wewe ni miongoni mwa wanaotafuta kazi kutoka serikalini basi makala hii itaangazia nafasi mpya za kazi zinazotangazwa na serikali […]

Continue Reading »

NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

Filed in Ajira by on January 3, 2026 0 Comments

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo anawatangazia watanzania wenye sifa za kuomba nafasi za kazi saba (7) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bonyeza Hapa Kudownload PDF ya Tangazo

Continue Reading »

NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

Filed in Ajira by on January 3, 2026 0 Comments

Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (MUST) ni matokeo ya mabadiliko ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Mbeya (MIST) kupitia Sheria ya Vyuo Vikuu Nambari 7 (2005) na Hati ya Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya ya 2013. Maono ya Chuo Kikuu ni kuwa Kituo kinachoongoza cha ubora wa maarifa, […]

Continue Reading »

NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

Filed in Ajira by on January 3, 2026 0 Comments

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Babati anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi (10) katika halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bonyeza Hapa Kudownload PDF Ya Tangazo

Continue Reading »