Kisiwa24blog
Kisiwa24blog's Latest Posts
Ratiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu ya NBC 05/03/2026
Leo ligi kuu ya NBC Tanzania bara inaendelea kutimua vumbi huku Mzizima Derby ikienda kuteka akili za mashabiki wa soka wa Jiji la Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla wake. Hapa kisiwa24 tutakuletea ratiba na muda kamili wa michezo ya ligi kuu ta NBC Tanzania bara itakayo fanyika leo 05/03/2026. Ratiba ya Mechi za […]
Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions
Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 ni miongoni mwa nyaraka muhimu zaidi kwa wanafunzi waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka 2025 na kuchaguliwa kujiunga na shule za sekondari za serikali Tanzania. Kupitia Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza rasmi matokeo ya upangaji wa wanafunzi pamoja na […]
Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!
Kama mdhamini rasmi wa AFCON 2025, 1xBet inafuata mashindano makubwa zaidi ya mpira wa miguu barani Afrika tangu kipenga cha kwanza kabisa. Mapigano ya kombe yamejaa shauku, tamthilia, na kutotabirika, na kila mchezo unaweza kubadilisha mwendo wa mashindano. Kuunga mkono AFCON kunamaanisha kusherehekea mpira wa miguu wa kuvutia, hisia zisizosahaulika, na mabadiliko yasiyotarajiwa ambayo hufanya […]
NAFASI Za Kazi World Vision Tanzania
World Vision Tanzania ni shirika la kibinadamu lisilo la kiserikali linalofanya kazi nchini Tanzania kwa lengo la kuboresha maisha ya watoto, familia na jamii zilizo katika mazingira magumu. Shirika hili linaendesha shughuli zake kwa kushirikiana na serikali, wadau wa maendeleo na jamii zenyewe ili kushughulikia changamoto kama vile umaskini, njaa, ukosefu wa elimu bora, huduma […]
NAFASI Za Kazi Standard Bank Group
Standard Bank Group ni mojawapo ya makundi makubwa na yenye ushawishi mkubwa wa kifedha barani Afrika. Ilianzishwa mwaka 1862 nchini Afrika Kusini na imekua kwa kasi hadi kuwa taasisi ya kimataifa inayotoa huduma mbalimbali za kifedha, ikiwemo benki za rejareja, benki za biashara, uwekezaji, na huduma za kifedha kwa makampuni makubwa. Kupitia mtandao wake mpana […]
Orodha ya Tahasusi za Kidato cha Tano 2026
Tahasusi za Kidato cha Tano zimegawanywa katika makundi makuu kulingana na mwelekeo wa taaluma na mahitaji ya soko la ajira. 1. Tahasusi za Sayansi (Science Combinations) PCM – Fizikia, Kemia, Hisabati PCB – Fizikia, Kemia, Baiolojia CBG – Kemia, Baiolojia, Jiografia CBN – Kemia, Baiolojia, Lishe (Nutrition) PGM – Fizikia, Jiografia, Hisabati PGMc – Fizikia, […]
NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania
The Open University of Tanzania (OUT) is a public University, established by the Act of Parliament No 17 of 1992. Since 1st January ,2007, the University has been operating under the OUT-Charter Inc. of 2007, which is in the line with the University Act No.7 of 2005. Its stated mission is “to provide relevant, quality, […]
MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025
Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Simba SC na Azam FC utafanyika tarehe 7 Desemba 2025, kuanzia saa 11:00 jioni katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Kadiri tunavyosubiri mtanange huo, Nijuze Habari itakuletea taarifa na matukio yote muhimu kuanzia dakika ya kwanza hadi ya 90. Endelea kufuatilia kupata masasisho hayo. […]
Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025
Kikosi cha Simba SC leo kinashuka dimbani kusaka pointi tatu muhimu za Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC katika mchezo mkubwa na wenye utamaduni mrefu wa ushindani, maarufu kama Mzizima Derby. Mchezo huu wa raundi ya ligi umepangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 11:00 jioni, na unatarajiwa kuwa miongoni mwa […]
Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara
Katika usiku wa leo — tarehe 7 Desemba 2025 — vuta-ni-pinde vya mpira vinarudisha hamu na matarajio ya hali ya juu kwa mashabiki wa soka nchini. Mechi ya ligi kuu, kati ya Coastal Union na Yanga SC, itakayochezwa uwanjani katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, inaelezwa kuwa mchezo wa msisimko mkubwa, wenye athari kubwa kwenye mbio […]











