WALIO CHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2025

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Michezo

TETESI  za Usajili Yanga Sc 2025/2026

Filed in Michezo by on May 7, 2025 0 Comments
TETESI  za Usajili Yanga Sc 2025/2026

TETESI  za Usajili Yanga SC 2025/2026, usajili wa Yanga 2025/2026, Wachezai waliosajiliwa Yanga msimu wa 2025/2026, Habari shabiki wa klabu ya Dar Young Africans ali maarufukama Yanga au wana jangwani, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukupasha habari za kina kuhusu tetesi za usajili wa Yanga kwa msimu huu wa 2025/2026. TETESI  za Usajili Yanga […]

Continue Reading »

Tetesi za Usajili Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2025/2026

Filed in Michezo, Tetesi za Usajili by on May 7, 2025 0 Comments
Tetesi za Usajili Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2025/2026

Tetesi za Usajili Dirisha Dogo Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2025/2026, Tetesi zaa Usajili Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2025/2026, Tetesi za Usajili Simba, Tetesi za Usajili Yanga, Tetesi za Usajili Azam FC, Tetesi za usajili NBC Primier League, Msimu wa usajili wa dirisha dogo unakalibia kufunguliwa januari 2025 na kuelekea kufunguliwa kwa dirisha dogo […]

Continue Reading »

Jezi Mpya Za Simba Sc Kimataifa 2025/2026

Filed in Michezo by on May 5, 2025 0 Comments
Jezi Mpya Za Simba Sc Kimataifa 2025/2026

Simba SC, moja ya vilabu vikuu vya Tanzania na Afrika Mashariki, imezindua jezi mpya za kimataifa kwa msimu wa 2024/2025. Jezi hizi zimeundwa kwa kuzingatia utamaduni wa klabu, mabadiliko ya kiteknolojia, na mahitaji ya wapenzi duniani kote. Muundo Na Rangi Za Jezi Mpya Za Simba SC Dhana Nyuma Ya Ubunifu Kulingana na tovuti rasmi ya […]

Continue Reading »

MATOKEO JKT Tanzania vs Simba Sc Leo 05 May 2025

Filed in Michezo by on May 5, 2025 1 Comment
MATOKEO JKT Tanzania vs Simba Sc Leo 05 May 2025

Leo ligi kuu ya NBC Tanzania Bara inaenda kutimua vumbi huku tukishuhudia wekundu wa msimbazi Simba Sc wakiwakabili JKT Tanzania katika uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Simba anawafuta JKT Tanzania akiwa na historia ya ushindi wa goli 1 kwa 0 katika mchezo wa mzunguko wa kwanza uliofanyikia katika uwanja wa KMC Complex jijini Dar es […]

Continue Reading »

KIKOSI cha Simba Sc vs JKT Tanzania Leo 05 May 2025

Filed in Michezo by on May 4, 2025 0 Comments
KIKOSI cha Simba Sc vs JKT Tanzania Leo 05 May 2025

Baada ya ushindi wa goli 2 kwa 1 dhidi ya klabu ya Mashujaa kutoka kigoma mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa nyumbani wa klabu ya wekundu wa msimbazi Simba KMC Complex jijini Dar es Salaam leo tarehe 5 Mei 2025 Simba inawakabili tena JKT Tanzania. Mchezo huu wa marudiano ya mzunguko wa pili wa ligi kuu […]

Continue Reading »

Orodha ya Timu Zinazoshiriki Michuano ya FIFA Club World Cup 2025

Filed in Michezo by on May 2, 2025 0 Comments
Orodha ya Timu Zinazoshiriki Michuano ya FIFA Club World Cup 2025

Michuano ya FIFA Club World Cup 2025 inatarajiwa kuwa ya kihistoria zaidi, kwa kuwa itakuwa mara ya kwanza kufanyika kwa mfumo mpya wa kushirikisha vilabu 32 kutoka mabara yote duniani. Mashabiki wa kandanda wanasubiri kwa hamu kuona bingwa wa vilabu wa dunia atakayeibuka mshindi katika toleo hili la kipekee litakalofanyika nchini Marekani kuanzia Juni hadi […]

Continue Reading »

Ratiba ya Makundi FIFA Club World Cup 2025

Filed in Michezo by on May 2, 2025 0 Comments
Ratiba ya Makundi FIFA Club World Cup 2025

FIFA Club World Cup 2025 inatarajiwa kuwa moja ya michuano mikubwa zaidi kuwahi kufanyika katika historia ya soka la vilabu. Kwa mara ya kwanza, mashindano haya yatahusisha timu 32 kutoka mabara mbalimbali, na yatafanyika nchini Marekani kuanzia 14 Juni hadi 13 Julai 2025. Tofauti na toleo la zamani la timu 7, toleo hili jipya linachukua […]

Continue Reading »

Kikosi cha Yanga Sc vs JKU Sc leo 1 May 2025

Filed in Michezo by on May 1, 2025 0 Comments
Kikosi cha Yanga Sc vs JKU Sc leo 1 May 2025

Leo ndio fainali za kombe la muungano CUP lililokua likifanyika Zanzibar. Fainali hizo zitaenda kuanza majira ya saa 19:00 za jioni kwa kuzikutanisha timu za Yanga sc vs JKU Sc. Kuelekea mchezo huo kisiwa24 Blog tunakuletea kikosi cha Yanga Sc kitakachoenda kukipiga na na klabu ya JKU Sc kweye fainbali hiyo ya Muungano CUP kuanzia […]

Continue Reading »

VIINGILIO Simba Sc vs Mashujaa 5 May 2025

Filed in Michezo by on May 1, 2025 0 Comments
VIINGILIO Simba Sc vs Mashujaa 5 May 2025

Baada ya kipindi kilefu klabu ya wekundu wa msimbazi Simba Sc kusimama kucheza mechi za ligi kuu ya NBC Tanzania bara hatimae 2 May 2025 inarejea tena katika michuano ya ligi kuu ya NBC kwa kuwakaribisha Mashujaa FC katika uwanja wa KMC Complex majira yasaa 4:00 jioni jijini Dar es Salaam. Kuelekea mchezo huo Simba […]

Continue Reading »

Timu za Afrika Zilizofuzu Kushiriki FIFA Club World Cup 2025

Filed in Michezo by on April 30, 2025 0 Comments
Timu za Afrika Zilizofuzu Kushiriki FIFA Club World Cup 2025

FIFA Club World Cup 2025 ni toleo la kihistoria kwa sababu ni mara ya kwanza litajumuisha timu 32 kutoka mabara yote, na litafanyika nchini Marekani. Afrika imepewa nafasi nne (4) kwa ajili ya klabu zilizofanya vizuri katika mashindano ya CAF Champions League kati ya mwaka 2021 hadi 2024. Katika makala hii, tutaangazia vilabu vya Afrika […]

Continue Reading »