Michezo
Simba Sc vs Singida Black Stars Nusu Fainali CRDB Federation CUP 31 Mei 2025
Baada ya kumalizana na michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika wekundu wa msimbazi Simba Sc tarehe 31 Mei inaenda kutupa karata yake katika mchezo wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup. Nusu fainali hii ya CRDB Federation Cup itawakutanisha wababe hawa wawili wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara Simba Sc vs Singida Black […]
KIKOSI Cha Simba sc vs Singida Black Stars 28 May 2025
Leo wekundu wa msimbazi Simba Sc kwenye uwanja wake wa nyumbani anaenda kuikalibisha klabu ya Singuda Black Stars katika mchezobwa 27 wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimi wa 2024/2025 ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa 2. Mchezo huu umekuwa wa kipolo baada ya Simba kusimama kucheza mechi za ligi kuu ilibkushiriki fainali […]
Vitu Vilivyopigwa Marufuku Uwanjani Simba Sc vs Berkane 25 Mei 2025
Kuelekea mchezo wa fainali ya 2 ya kombe la shirikisho barani Afrika msimu wa 2024/2025 kati ya Simba Sc vs RS Berkane shirikisho la mpira barani Afrika limetoa orodha ya viti ambavyo haviruhusiwi kwa mashabiki kuweza kuingia navyo uwanjani. Na sisi kama wanasoka Kisiwa24 Blog tumekusigezea orodha kamili ya vitu vyote ambavyo vimepigwa marufuku kwa […]
Idadi ya Magoli ya Pele
Idadi ya Magoli ya Pele, Edson Arantes do Nascimento, anayejulikana zaidi kama Pelé, alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu ambaye aliishi karne ya 20 na mapema karne ya 21. Aliheshimiwa sana kama mmoja wa wachezaji bora zaidi wa mchezo huo. Mojawapo ya sifa zake kubwa zaidi ilikuwa uwezo wake wa ajabu wa kufunga magoli, lakini […]
Ratiba Ya Ligi Kuu England 2025/2026 EPL
Ratiba Ya Ligi Kuu England 2025/2026(EPL Fixtures), English Premier League Fixtures 2025/2026, Ratiba ya EPL 2024/2025.Habari mwanamichezo ya habarika24, karibu katika makala hii ya kimichezo inayoenda kukupa mwongozo wa ratiba ya ligi kuu England 2025/2026, ratiba ya EPL. Msimu mpya wa ligi kuu ya uingereza EPL unaenda kuanza huku timu nyingi zinazoshiriki ligi hiyo zimejiandaa […]
Msimamo Wa Ligi Kuu Ya Italia Serie A 2025/2026
Msimao wa Ligi ya Italia Serie A 2025/2026, Serie A standing, Msimamo wa Serie A 2025/2026, Karibu katika makala hii amabyo itaenda kukuonyesha juu ya msimamo wa ligi kuu Italia Serie A ( Italian Serie A standing) kwa msimu wa 2025/2026. Kama wewe ni mfuatiliaji wa mpira wa miguu na shabiki wa ligi kuu ya […]
Mchezaji mwenye Magoli Mengi Duniani 2025
Mchezaji mwenye Magoli Mengi Duniani 2025, Cristiano Ronaldo, Katika ulimwengu wa soka, kufunga magoli ni sanaa na wachezaji wanaofanikiwa kufanya hivyo kwa wingi huwa mashujaa wa mashabiki. Mwaka 2025 umeshuhudia ushindani mkali kati ya wachezaji bora duniani, lakini mmoja amejitokeza kuwa mfalme wa magoli. Mchezaji mwenye Magoli Mengi Duniani 2025 Cristiano Ronaldo Cristiano Ronaldo, ingawa […]
Jinsi ya Kununua Tiketi ya Mpira Kwa M-Pesa 2025
Jinsi ya Kununua Tiketi ya Mpira Kupitia Mtandao Wa M-pesa, Habari mwana michezo wa Kisiwa24 Blog, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukupa mwongozo juu ya jinsi ya kununua tiketi ya mpira kupitia Mtandao wa M-peasa. Hii ndio njia rahisi kama unahitaji kufika uwanjani na kushuhudia mechi. Je, umechoka kusimama foleni ndefu ili kununua tiketi […]
Wafungaji Bora wa Muda Wote UEFA Champions League
Orodha ya Wafungaji Bora wa Muda Wote UEFA Champions League,Habari ya wakati huu mwana Habarika24, karibu katika makala hii fupi ambayo itaenda kuangazia juu ya Orodha ya Wafungaji Bora wa Muda Wote UEFA Champions League. Kama wewe ni shabiki wa UEFA Champions League na umfuatiliaji basi hauna budi kufahamu juu ya wangungaji wa magori mengi […]
Mchezaji mwenye Magoli Mengi Tanzania
John Bocco, aliyezaliwa tarehe 10 Julai 1989 huko Dar es Salaam, amedhihirisha kuwa ni mfungaji wa kiwango cha juu tangu alipoanza taaluma yake ya soka. Akiwa na urefu wa sentimita 188, Bocco ana uwezo wa kipekee wa kutumia kichwa chake vizuri na kukabiliana na madefenda imara. Lakini sio tu urefu wake unaomfanya awe hatari – […]










