TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc

Filed in Michezo, Tetesi za Usajili by on December 18, 2024 0 Comments

CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc,Usajili wa Fahidi Bayo Yanga, Klabu ya Yanga iko mwinshoni kuweza kumsajili mshambuliaji wa taifa la Uganga Fahad Bayo kam mchezaji huru baada ya kumalizika kwa mkataba wake na timu aliyokua akiitumikia.

CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc

Fahad Bayo tayari amesha wasili nchini Tanzania kwa majilibio chini ya kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic ili kuona kama anaweza kuchukua nafasi ya Jean Baleke amabye muda wowote anataweza kuondo klabuni hapo.

katika makala hii tutaenda kuangazia kwa ufupi juu ya Cv ya Fahad Bayo kama mchezaji mpya wa timu ya Yanga. kama wewe ni shabi wa kweli wa Yanga basi utakua na shahuku ya kuweza kumfahamu kiundani Fahad Bayo.

Taarifa Binafsi

Jina; Fahidi Azizi Bayo

Kuzaliwa ; 10 Mai 1998

Umri; 26

Utaifa: Mganda

Kimo; futi 6 na nchi 1

Nafasi Uwanjani; Mshambuliaji

Maisha yake kwenye Soka

Hapa tutaenda kuangali miongoni mwa timu alizowahi kuzichezea kabla ya kuijunga na klabu ya Yanga SC

  • MFK Vyskov (Czech),
  • FC Ashdod (Israel),
  • Bnei Sakhnin (Israel),
  • Buildcon FC (Zambia),
  • Vipers (Uganda)
  • Proline (Uganda).

Fahad anakuja kujiunga na klabu ya Yanga kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kukamilika na klabu ya MFK Vyskov (Czech), akiwa na klabu ya MFK Vyskov (Czech) Bayo ameweza kucheza jumla ya michezo 42, katika mivchezo 42 aliyo cheza ameweza kufunga magoli 4 na kutoa assist moja.

Lakini pia Bayo ameweza kuitumikia timu yake ya Taifa kwa michezo 21, katika michezo hiyo ameweza kufunga mabao 8 na kutoa assist ya bao moja, pia ameweza kushiriki kuchezea vilabu mbalimbali barani ulaya.

Wewe kama sabiki wa Yanga yapi maoni yako juu ya usajili wa Fahad Azizi Bayo kutokana na CV yake hapo juu, embu acha maoni yako kupitia sehemu ya kommenti.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. TETESI  za Usajili Yanga SC 2024/2025

2. Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC

3. Msimamo wa Kundi la Yanga Club Bingwa Afrika 2024/2025

4. Cv ya Sead Ramovic Kocha Mpya wa Klabu ya Yanga

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *