Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    NAFASI Za Kazi Geita Gold Mine (GGM)

    November 16, 2025

    NAFASI za Kazi Halmashauri Mbalimbali Tanzania 2025

    November 16, 2025

    Walioitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) November 2025

    November 16, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home » Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara
    Michezo

    Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

    Kisiwa24By Kisiwa24December 11, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Klabu ya Yanga ni moja ya klabu maarufu zaidi Tanzania na Afrika kwa ujumla.Yanga Sc imeanzishwa February 11, 1935, Inamakazi yake katika jiji la Dar es Salaam. Klabu ya Yanga inamajina ya utani kama vile Wananchi Fc; Vijana Stars (The Young Stars); Wananchi (kiboko).

    Toka kuanzishwa kwake imekua ikishiriki katika kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara ambayo kwa sasa inajulikana kama NBC Premier League. Kwa sasa klabu ya yanga inahudumiwa na kocha Sead Ramović.

    Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC

    Hapa chini ni miaka ambayo klabu ya Yanga iliweza kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC toka kuanzishwa kwake mwaka 1935.

    2023/2024

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 80

    2022/2023

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 78

    2021/2022

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 74

    2016/2017

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 68

    2015/2016

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 73

    2014/2015

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 55

    2012/2013

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 60

    2010/2011

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 49

    2008/2009

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 28

    2007/2008

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 80

    2006

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 70

    Makombe mengine amabayo Yanga aliweza kuyachukua kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania bara ni yale ya mwaka;

    1. 2005
    2. 2002
    3. 1997
    4. 1996
    5. 1993
    6. 1992
    7. 1991
    8. 1989
    9. 1987
    10. 1985
    11. 1983
    12. 1981
    13. 1974
    14. 1972
    15. 1971
    16. 1970
    17. 1969
    18. 1968

    Tangu mwaka 1968 hadi sasa klabu ya Yanga imechukua makombe 27 kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara na ndio imekua klabu yenye historia ya kua klabu iliyochukua makombe mengi zaidi ya ligi ya NBC Tanzania Bara.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

    October 15, 2025

    CV ya Dimitar Pantev – Kocha Mpya wa Simba SC 2025

    October 5, 2025

    Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2025/2026

    October 5, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    November 14, 2025944 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025874 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 2025696 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    November 14, 2025944 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025874 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 2025696 Views
    Our Picks

    NAFASI Za Kazi Geita Gold Mine (GGM)

    November 16, 2025

    NAFASI za Kazi Halmashauri Mbalimbali Tanzania 2025

    November 16, 2025

    Walioitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) November 2025

    November 16, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.