TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Mabasi Ya Dar es Salaam Kwenda Songea

Filed in Kampuza za Mabasi na Nauli zake, Makala by on May 8, 2025 0 Comments

Kama wewe ni msafiri katika mikoa hii miwili na hujui ni kampuni gani za mabasi zinazotoa huduma ya usafari baina ya mikoa hii miwili basi makala hii fupi itaenda kukupa mwongozo wa kampuni hizo

Njia Za Usafiri Kati ya Dar es Salaam Na Songea

Kwa Wasafiri wa mikoa hii miwili wanaweza fanya safari zako miongoni mwa mikoa hii kwa kutumi usafiri wa aina moja tu ambao ni usafiri wa kupitia ardhini (kwa kutumia gari). Hapa katika makala haya tutaenda kugusia njia hii ya usafiri hasa upande wa kampuni za mabasi.

Aina ya Mabasi Yanayotoa Huduma Za Usafiri Kati ya Dar na Songea

Kuna aina mbili ya daraja za mabasi zinazotoa huduma zake baina ya mikoa ya Dar es Salaam na Songea, nazo ni;

  1. Mbasi ya Daraja la Kawaida
  2. Mabasi ya Daraja la Kati (Semi Luxury)

-Mabasi ya daraja la kati (Semi luxury) ni basi zenye kutoa huduma za ziada kwa wasafiri wakati wa safari ili kuboresha mazingira ya safari na kumfanya msafiri kuto choshwa na safari.

Mabasi Ya Dar es Salaam Kwenda Songea

1. Super Feo Express

Super Feo Express

Super Feo Express

2. New force

New force

New force

3. Mbeya Express

Mbeya Express

Mbeya Express

4. Shabiby Line

Shabiby Line

Shabiby Line

5. Selous Express

Selous Express

Selous Express

6. Travel Express

Travel Express

Travel Express

Huduma Zinazopatikana katika Mabasi ya Semi Luxury Dar kwenda Songea

Kama tulivyosema hapo awali makampuni ya mabasi yanayotoa huduma zake katika mikoa ya Dar es Salaam na Songea hasa kwa Super Feo na New Force yana mabasi ya Semi Luxury ambayo wakiwa safarini abilia hupata huduma za ziada tofauti na zile za kwenye mabasi ya daraja la kawaida. Miongoni mwa huduma hizo ni pamoja na;

  1. Utazamaji wa vipindi vya runinga
  2. Huduma ya Internet
  3. Huduma ya Vinywaji na Vitafunwa
  4. Huduma ya Choo

Hitimisho

Kama unafikilia kusafiri ndani ya mikoa hii miwli ya Dar es Salaam na Songea basi naamini makala hii fupi itakua imekupa mwongozo wa usafri gani wa kampuni ya mabasi unaweza kuitumia ili kukamilisha safari yako japo makampuni yote yanayotoa huduma hii ya usafiri ndani ya mikoa hii ni bora.

1. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Mwanza

2. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Arusha

3. Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *