Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya llemela June 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya llemela June 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24June 5, 2025Updated:June 5, 2025No Comments3 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya llemela June 2025
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya llemela amepokea kibali cha Ajira Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kupitia barua yenye Kumb.Na.FA. 97/228/01/A/25 ya tarehe 29 April, 2025. Hivyo anakaribisha maombi ya Kazi kwa Watanzania wote wenye Sifa za kujaza nafasi ifuatayo:-

    Table of Contents

    Toggle
    • DEREVA DARAJA LA II – NAFASI SITA (06)
      • MAJUKUMU
      • SIFA ZA KUAJIRIWA
      • NGAZI YA MSHAHARA
      • HAVITAKUBALIWA
      • MASHARTI YA JUMLA

    NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya llemela June 2025

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    DEREVA DARAJA LA II – NAFASI SITA (06)

    MAJUKUMU

    I. Kukagua gari kabla na baada ya safari iii kubaini hali ya usalama wa gari.
    II. Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi.
    Ill. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari.
    IV. Kufanya na kusambaza nyaraka mbalimbali pale inapohitajika
    V. Kujaza na kutunza taarifa i:a safari zote katika daftari la safari
    VI. Kufanya usafi wa gari na
    VII. Kazi nyingine atazopangiwa na Mwajiri.

    SIFA ZA KUAJIRIWA

    Kuajiriwa wenye cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka
    mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS 8.

    waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka 18 na usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini Serikalini; waombaji wenye utemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye Mfumo wa kuombea ajira ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi waUmma Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (Detall curriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya Barua Pepe (E-mail address) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika.

    Waombaji ambao tayari ni Watumishi wa Umma na wamejipatia Sifa zakuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi ya
    kazi kwa waajiri wao na waajiri wao wajiridhishe ipasavyo’ Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza ( Detail C.V ) yenye anuani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika; Maombi yote yaambatane na vyeti vya Elimu na Taaluma vilivyothibitishwa na lr/lwanasheriaA/vakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne au sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia
    sifa za kazi husika.

    “Testmonial”, “PrOViSiOnal ReSUltS”, “statement Of reSultS”, hati ya matOkeO ya Kidato cha Nne na Kidato cha sita (FoRM IV AND FORM Vl RESULTS SLIPS)

    HAVITAKUBALIWA

    Waombaji waliosoma nje ya Nchi wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na vimethibitishwa na tVlamlaka husika (Tcu, NECTA na NACTE). waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali kutoka kwa Katibu N/kuu Kiongozi.

    MASHARTI YA JUMLA

    x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika
    Waraka Na. CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.

    xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za
    kisheria.

    x11. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 17 June, 2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

    October 8, 2025

    MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

    October 8, 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    October 8, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202598 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202547 Views

    Jinsi Ya Kurudisha Channel Zilizopotea Kwenye Kisimbizi Cha Azam TV

    December 12, 202427 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Warning: Undefined array key "file" in /home/u605461473/domains/habarika24.com/public_html/wp-content/themes/smart/inc/media.php on line 688
    Makala

    Pico 4 Review: Should You Actually Buy One Instead Of Quest 2?

    8.5 By Kisiwa24January 15, 20210
    Uncategorized

    A Review of the Venus Optics Argus 18mm f/0.95 MFT APO Lens

    8.1 By Kisiwa24January 15, 20210
    Magazeti

    DJI Avata Review: Immersive FPV Flying For Drone Enthusiasts

    8.9 By Kisiwa24January 15, 20210

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202598 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202547 Views

    Jinsi Ya Kurudisha Channel Zilizopotea Kwenye Kisimbizi Cha Azam TV

    December 12, 202427 Views
    Our Picks

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.