Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025
    Michezo

    Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025

    Kisiwa24By Kisiwa24October 31, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025, Kikosi cha Yanga 2024/2025, Habari mwanamichezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi itakayo kupa mwongozo wa kikosi kipya cha Yanga kwa msimu wa 2024/25,

    Kikosi hikhi kipya cha Yanga 2024 kimejumuisha wachezaji wote waliosajiliwa katika msimu huu mpya wa ligi kuu ya NBC ikiwa ni mchakato wa kuendeleza kile kilichotokea msimu uliopita.

    Yanga inaanza msimu mpya huku ikiwa na historia ya kumaliza latika nafasi ya kwanza kama bingwa wa ligi kuu ya NBC kwa msimu uliopita wa 2023/2024 akiwa na pointi 80 mble ya Azam Fc iliyoshika nafasi ya 2 kwa poitni 69 sawa na watani wao wa jadi Simba SC iliyoshika nafasi ya 3 kwa pointi 69 ilia utofauti wa magoli.

    Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025
    Nafasi ya Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC msimuwa 2023/2024

    Hivyo ili kuendelea kushikiria nafasi yake klabu hiyo maarufu ya jijini Dar es Salaam imefanya sajili za wachezaji kutoka mataifa tofauti tofauti na pia kuendelea kuwashikilia baadhi ya wachezaji wake waliofanya vizuri kwa msimu wa 2023/2024.

    Soma Pia – Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2024

    Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025

    Hap chini ni wachezaji amabo wanaunda kikosi cha klabu ya Yanga kwa msimu huu mpya wa 2024/2025

    1. Djigui Diarra
    2. Abutwalib Mshery
    3. Nickson Kibabage
    4. Kouassi Yao
    5. Farid Mussa
    6. Dickson Job
    7. Bakari Mwamnyeto
    8. Ibrahim Abdallah
    9. Max Nzengeli
    10. Khalid Aucho
    11. Pacome Zouzoua
    12. Stephen Aziz Ki
    13. Mudathir Yahya
    14. Salum Abubakar
    15. Clement Mzize
    16. Clatous Chama
    17. Prince Dube
    18. Chadrack Boka
    19. Khomeiny Aboubakar
    20. Aziz Andabwile
    21. Duke Abuya
    22. Kennedy Musonda
    23. Jean Othos Baleke

    Tumeshuhudia mapinduzi ya kiusajili huku Yanga wakimsajili mchezaji mwenye kipaji kikubwa kutokea kwa watani wao wa jadi Simba SC. Clatous Chota Chama alimaarufu kama triple C anaungana na kikosi cha wanajangwani ili kukamilisha kikosi cha Yanga kwa msimu huu wa 2024/2025.

    Yanga msimu huu imefanikiwa kushiriki katika michuano ya klabu bingwa balani Afrika na katika hatua ya makundi imepangwa katika kundi A.

    Soma Pia;

    >>Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2024

    >>Ligi Bora Africa 2024 | Viwango vya ubora CAF Ranking

    >>Ratiba ya treni za SGR Dar es Salaam na Morogoro

    >>Soma Nauli za treni ya mwendokasi SGR

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleJinsi ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa
    Next Article Fahama Jinsi Ya Kutumia Kadi Ya Mwendokasi
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202533 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202533 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.