Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025

Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025

Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025

Hap chini ni wachezaji amabo wanaunda kikosi cha klabu ya Yanga kwa msimu huu mpya wa 2024/2025

  1. Djigui Diarra
  2. Abutwalib Mshery
  3. Nickson Kibabage
  4. Kouassi Yao
  5. Farid Mussa
  6. Dickson Job
  7. Bakari Mwamnyeto
  8. Ibrahim Abdallah
  9. Max Nzengeli
  10. Khalid Aucho
  11. Pacome Zouzoua
  12. Stephen Aziz Ki
  13. Mudathir Yahya
  14. Salum Abubakar
  15. Clement Mzize
  16. Clatous Chama
  17. Prince Dube
  18. Chadrack Boka
  19. Khomeiny Aboubakar
  20. Aziz Andabwile
  21. Duke Abuya
  22. Kennedy Musonda
  23. Jean Othos Baleke

Tumeshuhudia mapinduzi ya kiusajili huku Yanga wakimsajili mchezaji mwenye kipaji kikubwa kutokea kwa watani wao wa jadi Simba SC. Clatous Chota Chama alimaarufu kama triple C anaungana na kikosi cha wanajangwani ili kukamilisha kikosi cha Yanga kwa msimu huu wa 2024/2025.

Yanga msimu huu imefanikiwa kushiriki katika michuano ya klabu bingwa balani Afrika na katika hatua ya makundi imepangwa katika kundi A.

Soma Pia;

>>Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2024

>>Ligi Bora Africa 2024 | Viwango vya ubora CAF Ranking

>>Ratiba ya treni za SGR Dar es Salaam na Morogoro

>>Soma Nauli za treni ya mwendokasi SGR

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!