Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Coastal Union Vs Yanga Leo 7 Dec 2025 Saa Ngapi?

December 7, 2025

Simba vs Azam Leo 07 December2025 Saa Ngapi?

December 7, 2025

Ratiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu ya NBC 07/12/2025

December 7, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025
Michezo

Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025

Kisiwa24By Kisiwa24October 31, 2024No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025, Kikosi cha Yanga 2024/2025, Habari mwanamichezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi itakayo kupa mwongozo wa kikosi kipya cha Yanga kwa msimu wa 2024/25,

Kikosi hikhi kipya cha Yanga 2024 kimejumuisha wachezaji wote waliosajiliwa katika msimu huu mpya wa ligi kuu ya NBC ikiwa ni mchakato wa kuendeleza kile kilichotokea msimu uliopita.

Yanga inaanza msimu mpya huku ikiwa na historia ya kumaliza latika nafasi ya kwanza kama bingwa wa ligi kuu ya NBC kwa msimu uliopita wa 2023/2024 akiwa na pointi 80 mble ya Azam Fc iliyoshika nafasi ya 2 kwa poitni 69 sawa na watani wao wa jadi Simba SC iliyoshika nafasi ya 3 kwa pointi 69 ilia utofauti wa magoli.

Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025
Nafasi ya Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC msimuwa 2023/2024

Hivyo ili kuendelea kushikiria nafasi yake klabu hiyo maarufu ya jijini Dar es Salaam imefanya sajili za wachezaji kutoka mataifa tofauti tofauti na pia kuendelea kuwashikilia baadhi ya wachezaji wake waliofanya vizuri kwa msimu wa 2023/2024.

Soma Pia – Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2024

Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025

Hap chini ni wachezaji amabo wanaunda kikosi cha klabu ya Yanga kwa msimu huu mpya wa 2024/2025

  1. Djigui Diarra
  2. Abutwalib Mshery
  3. Nickson Kibabage
  4. Kouassi Yao
  5. Farid Mussa
  6. Dickson Job
  7. Bakari Mwamnyeto
  8. Ibrahim Abdallah
  9. Max Nzengeli
  10. Khalid Aucho
  11. Pacome Zouzoua
  12. Stephen Aziz Ki
  13. Mudathir Yahya
  14. Salum Abubakar
  15. Clement Mzize
  16. Clatous Chama
  17. Prince Dube
  18. Chadrack Boka
  19. Khomeiny Aboubakar
  20. Aziz Andabwile
  21. Duke Abuya
  22. Kennedy Musonda
  23. Jean Othos Baleke

Tumeshuhudia mapinduzi ya kiusajili huku Yanga wakimsajili mchezaji mwenye kipaji kikubwa kutokea kwa watani wao wa jadi Simba SC. Clatous Chota Chama alimaarufu kama triple C anaungana na kikosi cha wanajangwani ili kukamilisha kikosi cha Yanga kwa msimu huu wa 2024/2025.

Yanga msimu huu imefanikiwa kushiriki katika michuano ya klabu bingwa balani Afrika na katika hatua ya makundi imepangwa katika kundi A.

Soma Pia;

>>Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2024

>>Ligi Bora Africa 2024 | Viwango vya ubora CAF Ranking

>>Ratiba ya treni za SGR Dar es Salaam na Morogoro

>>Soma Nauli za treni ya mwendokasi SGR

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleJinsi ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa
Next Article Fahama Jinsi Ya Kutumia Kadi Ya Mwendokasi
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

Coastal Union Vs Yanga Leo 7 Dec 2025 Saa Ngapi?

December 7, 2025
Michezo

Simba vs Azam Leo 07 December2025 Saa Ngapi?

December 7, 2025
Michezo

Ratiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu ya NBC 07/12/2025

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • Coastal Union Vs Yanga Leo 7 Dec 2025 Saa Ngapi?
  • Simba vs Azam Leo 07 December2025 Saa Ngapi?
  • Ratiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu ya NBC 07/12/2025
  • MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs
  • NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025501 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025329 Views

Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

December 3, 2025288 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.