MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA
Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025
Hap chini ni wachezaji amabo wanaunda kikosi cha klabu ya Yanga kwa msimu huu mpya wa 2024/2025
- Djigui Diarra
- Abutwalib Mshery
- Nickson Kibabage
- Kouassi Yao
- Farid Mussa
- Dickson Job
- Bakari Mwamnyeto
- Ibrahim Abdallah
- Max Nzengeli
- Khalid Aucho
- Pacome Zouzoua
- Stephen Aziz Ki
- Mudathir Yahya
- Salum Abubakar
- Clement Mzize
- Clatous Chama
- Prince Dube
- Chadrack Boka
- Khomeiny Aboubakar
- Aziz Andabwile
- Duke Abuya
- Kennedy Musonda
- Jean Othos Baleke
Tumeshuhudia mapinduzi ya kiusajili huku Yanga wakimsajili mchezaji mwenye kipaji kikubwa kutokea kwa watani wao wa jadi Simba SC. Clatous Chota Chama alimaarufu kama triple C anaungana na kikosi cha wanajangwani ili kukamilisha kikosi cha Yanga kwa msimu huu wa 2024/2025.
Yanga msimu huu imefanikiwa kushiriki katika michuano ya klabu bingwa balani Afrika na katika hatua ya makundi imepangwa katika kundi A.
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA
Soma Pia;
>>Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2024
>>Ligi Bora Africa 2024 | Viwango vya ubora CAF Ranking