Kisiwa24blog
Kisiwa24blog's Latest Posts
Ratiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu ya NBC 05/03/2026
Leo ligi kuu ya NBC Tanzania bara inaendelea kutimua vumbi huku Mzizima Derby ikienda kuteka akili za mashabiki wa soka wa Jiji la Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla wake. Hapa kisiwa24 tutakuletea ratiba na muda kamili wa michezo ya ligi kuu ta NBC Tanzania bara itakayo fanyika leo 05/03/2026. Ratiba ya Mechi za […]
Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions
Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 ni miongoni mwa nyaraka muhimu zaidi kwa wanafunzi waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka 2025 na kuchaguliwa kujiunga na shule za sekondari za serikali Tanzania. Kupitia Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza rasmi matokeo ya upangaji wa wanafunzi pamoja na […]
NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo anawatangazia watanzania wenye sifa za kuomba nafasi za kazi saba (7) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bonyeza Hapa Kudownload PDF ya Tangazo
NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (MUST) ni matokeo ya mabadiliko ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Mbeya (MIST) kupitia Sheria ya Vyuo Vikuu Nambari 7 (2005) na Hati ya Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya ya 2013. Maono ya Chuo Kikuu ni kuwa Kituo kinachoongoza cha ubora wa maarifa, […]
NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Babati anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi (10) katika halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bonyeza Hapa Kudownload PDF Ya Tangazo
MAJINA ya Walioitwa Kazini Bunge la Tanzania
Katibu wa Bunge anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali katika Utumishi wa Bunge waliotajwa katika Tangazo hili kwamba, walifaulu kushinda waombaji kazi wenzao kwenye usaili uliofanyika tarehe 20 – 23 Disemba, 2025 katika Ofisi za Bunge Dodoma. Hivyo, wahusika wanaarifiwa kwamba wanatakiwa kuripoti kazini Ofisi ya Bunge Dodoma ifikapo tarehe 05 Januari, 2026 kwa […]
Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!
Kama mdhamini rasmi wa AFCON 2025, 1xBet inafuata mashindano makubwa zaidi ya mpira wa miguu barani Afrika tangu kipenga cha kwanza kabisa. Mapigano ya kombe yamejaa shauku, tamthilia, na kutotabirika, na kila mchezo unaweza kubadilisha mwendo wa mashindano. Kuunga mkono AFCON kunamaanisha kusherehekea mpira wa miguu wa kuvutia, hisia zisizosahaulika, na mabadiliko yasiyotarajiwa ambayo hufanya […]
NAFASI Za Kazi World Vision Tanzania
World Vision Tanzania ni shirika la kibinadamu lisilo la kiserikali linalofanya kazi nchini Tanzania kwa lengo la kuboresha maisha ya watoto, familia na jamii zilizo katika mazingira magumu. Shirika hili linaendesha shughuli zake kwa kushirikiana na serikali, wadau wa maendeleo na jamii zenyewe ili kushughulikia changamoto kama vile umaskini, njaa, ukosefu wa elimu bora, huduma […]
NAFASI Za Kazi Standard Bank Group
Standard Bank Group ni mojawapo ya makundi makubwa na yenye ushawishi mkubwa wa kifedha barani Afrika. Ilianzishwa mwaka 1862 nchini Afrika Kusini na imekua kwa kasi hadi kuwa taasisi ya kimataifa inayotoa huduma mbalimbali za kifedha, ikiwemo benki za rejareja, benki za biashara, uwekezaji, na huduma za kifedha kwa makampuni makubwa. Kupitia mtandao wake mpana […]
Orodha ya Tahasusi za Kidato cha Tano 2026
Tahasusi za Kidato cha Tano zimegawanywa katika makundi makuu kulingana na mwelekeo wa taaluma na mahitaji ya soko la ajira. 1. Tahasusi za Sayansi (Science Combinations) PCM – Fizikia, Kemia, Hisabati PCB – Fizikia, Kemia, Baiolojia CBG – Kemia, Baiolojia, Jiografia CBN – Kemia, Baiolojia, Lishe (Nutrition) PGM – Fizikia, Jiografia, Hisabati PGMc – Fizikia, […]










