Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Kampuza za Mabasi na Nauli zake»Nauli ya Basi Dar to Morogoro
    Kampuza za Mabasi na Nauli zake

    Nauli ya Basi Dar to Morogoro

    Kisiwa24By Kisiwa24May 9, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Habari ya wakati mwingine tena karibu katika makala mpya itakayoenda kukuelekeza nauri za mabasi ya dar to Morogoro au Morogoro to Dar. Usafiri wa kutumia mabasi kutoka Dar kwenda Morogoro ndio usafri pendwa zaidi na watumiaji wa usafiri kati ya mikoa hii miwili licha ya uwepo waa treni ya umeme ya SRG ambayo pia inafanya safari zake kutoka Dar kwenda Morogoro.

    Nauli Za Mabasi Ya Dar To Morogoro
    Nauli Za Mabasi Ya Dar To Morogoro

    Nauli Za Mabasi Ya Dar To Morogoro

    Mabasi Ya Dar Kwenda Morogoro

    Kuna makampuni mengi ya mabasi yanayofanya safari zake kutoka Dar kwenda Morogoro na huduma hii hutolewa kila siku kutoka stendi ya mabasi ya Dar es salaam stendi ya Magufuri iliyoko Mbezi na ile ya msamvu iliyoko Morogoro.

    Miongoni mwa kampuni hizo za mabasi ni pamoja na;

    1. Abood Bus Servics
    2. New Force
    3. Hood
    4. Happy NATION
    5. BM Coach
    Nauli ya Basi Dar Es Salaam kwenda Morogoro
    Abood Bus Servics

    Nauli ya Basi Dar Es Salaam kwenda Morogoro

    Kama tulivyosema hapo awali makala hii inahusu moja kwa moja Nauli ya Basi Dar Es Salaam kwenda Morogoro na Morogoro kwenda Dar es salaam. Na hapa chini tunaenda kuangazia nauli hizo.

    Kabla hatujataja nauli za mabasi hayo ikumbukwe kua mabasi haya yanatoa nauli zake kulingana na ubora wa mabasi na huduma zitolewazo na mabasi hayo.Kuna mabasi ya kawaiada na yale ya luxury utofauti wa ubora na huduma pia hupelekea utofauti wa nauli zake.

    Nauli za Mabasi ya Luxury Dat to Morogoro

    Nauli za mabasi ya luxury kutoka dar kwenda morogoro ni kubwa kidgo, hii ni kutokana na huduna zitolewazo nada ya mabasi hayo na ubora wa mabasi hayo. Nauli yake inacheza kati ya Tsh 14,000 hadi Tsh 25,000. kulingana na ubora na kampuni ya basi husika ( hapa tun mabasi ya luxury na semi luxury).

    Nauli ya Mabasi ya Kawaida (ordinary level)

    Nauli za mabasi haya ni za kawaida maana hazina huduma kubwa kama zile zinazo patikana katika mabasi ya daraja la juu na kati. Nauli za mabasi haya ni kati ya Tsh 8,000 hadi 12,000.

    Ratiba ya Safari ya Mabasi ya Dar Morogoro

    Usafiri wa Dar to Morogoro unapatikana wakati wowote ule katika stendi za Magufuri jijini Dar es salaam na stendi ya Msamvu Mjini Morogoro kuanzia saa 11;00 alfajiri hadi saa 10;00 ya usiku.

    Safari ya mabasi haya huchukua taktibani masaa 3 hadi 4 kutoka dar kwenda morogoro au morogoro kwenda Dar es salaam kutegemeana na hali ya barabara na hali ya hewa.

    Huduma Zitolewazo na Mabasi ya Dar to Morogoro

    Mabasi haya yalioyomengi ya luxury/daraja la juu hutoa huduma mbali mbali kwa wateja wake ili kumfanya abiria afurahiye safati na kutohisi uchovu wa safari. Baadhi ya huduma zitolewazo na mabasi ya Dar to Morogoro au Morogoro to Dat es salaam ni pamoja na;

    1. Huduma ya Runinga
    2. Huduma ya Intaneti (Wifi)
    3. Hudum ya vyakula na vinywaji
    4. Huduma ya kuchaji simu

    Machaguo ya Mhariri;

    1. Kampuni Za Mabasi Ya Dar To Morogoro | Mabasi ya Morogoro

    2. Mshahara wa Rais wa Tanzania

    3. Mshahara wa Mbunge Wa Tanzania Na Marupurupu Yake

    4. Mshahara wa jaji Tanzania

    5. Majukumu ya Jaji Mkuu wa Tanzania

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar
    Next Article NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
    Kisiwa24

    Related Posts

    Kampuza za Mabasi na Nauli zake

    Kampuni Bora za Mabasi Kutoka Dar es Salaam Kwenda Tabora

    September 17, 2025
    Kampuza za Mabasi na Nauli zake

    Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Arusha

    August 5, 2025
    Kampuza za Mabasi na Nauli zake

    Mabasi Ya Dar es Salaam Kwenda Songea

    May 8, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.