Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Kampuza za Mabasi na Nauli zake»Nauli ya Basi Dar Kwenda Dodoma
    Kampuza za Mabasi na Nauli zake

    Nauli ya Basi Dar Kwenda Dodoma

    Kisiwa24By Kisiwa24August 29, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nauli ya Basi Dar Kwenda Dodoma

    Tangazo

    Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP CHANNEL YETU

    Habari mwana Habrika24, niwakati mwingine tena tumekutana na katika makala hii tutaenda kuelezea juu ya nauli ya Basi Dar kwenda Dodoma na nauli ya basi Kutoka Dodoma kwenda Dar es salaam. Kama hufahamu ni makampuni gani za mabasi zizazotoa huduma ya usafirishaji abairia na mizigo kutoka Dar kwenda Dodoma na Dodoma kwenda Dar basi BONYEZA HAPA kusoma.

    Nauli ya Basi Dar Kwenda Dodoma
    Nauli ya Basi Dar Kwenda Dodoma

    Nauli ya Basi Dar Kwenda Dodoma

    Mambo ya Kuzingatia Kusuhu Nauli Ya Basi Dar kwenda Dodoma

    Inapokuja swala la kujadili nauli zitozwazo na makampuni ya usafirishaji ya mabasi kwa wasafiri wa Dar kwenda Dodoma na Dodoma kwenda Dar kunazitu vya msingi vya kuvizingatia ambavyo ndio kwa kiasi kikubwa hutoa tasmini ya msingi ya nauli hizo.

    1. Daraja la Basi Husika;

    Ubora wa daraja la bais pia hutoa tofauti ya nauli miongoni mwa mabasi yanayofanya safari zake kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma, Kuna madaraja matatu ya mabasi, Daraja la juu (VIP), Daraja la kati (Luxury) na Darja la chini (ORDINARY), Utofauti wa kimadaraja pia hutoa utofauti wa bei ya nauli miongoni mwa mabasi husika.

    2. Huduma zitilewazo Ndani Ya Basi

    Ubora wa huduma zitolewazo ndani ya mabasi pia huchangia ongezeko au upufu wa nauli kutoka basi moja kwenda basi jingine mfano, basi linalotoa huduma ya chakula, vinywaji na hata njia za kuchaji simu haliwezi fanana na basi lisilotoa huduma kama hizo.

    Nauli ya Basi  Dar Kwenda Dodoma

    Hapa chini tutaenda kuangazia nauli halali za mabasi yanayotoa huduma zake kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma na Dodoma kwenda Dar es Salaam

    1. Mabasi ya Daraja la juu na kati (Luxury buses)

    • Nauli ya basi la daraja la juu na kati (Luxury) ni Tsh. 29,000

    2. Mabasi ya Daraja la Kawaida (Ordinary Level)

    • Mabasi haya nauli zake huwa ni Tsh. 21,000

    Huduma Zinazopatikana Ndani Ya Mabasi

    Mbasi haya hutoa huduma tofauti tofauti kwa bairia wake kulingana na daraja la basi husika. Mfano mabasi ya daraja la juu(Luxuly)  hutoa huduma kama vile,

    1. Huduma ya Internet kwa njia ya Wifi
    2. Huduma ya chakula
    3. Huduma ya Vinywaji
    4. Huduma ya kuchaji simu
    5. Na kunahata mabasi yanahuduma ya Choo ndani

    Nauli ya Basi Dar Kwenda Dodoma

    Hivyo basi tunaweza hitimisha kwa kusem kua nauli za mabasi ya kutoka Dar kwenda Dodoma huwekwa au hupangwa kutokana na ubora wa basi husika na huduma zitolewazo na basi hilo.Kwahiyo nauli tulizoziweka hapo si kila wakati zitakua hivyo zinaweza kupungua au kuongezeka kutokana na sababu mbali mbali na kampuni husika ya basi.

    Machaguo ya Mhariri;

    1. Mabasi ya Dar Kwenda Dodoma Kila siku

    2. Nauli Za Mabasi Ya Dar To Morogoro

    3. Kampuni Za Mabasi Ya Dar To Morogoro

    4. Mshahara wa Rais wa Tanzania

    5. Mshahara wa Mbunge Wa Tanzania Na Marupurupu Yake

    6. Mshahara wa jaji Tanzania

    7. Majukumu ya Jaji Mkuu wa Tanzania

    8. Viwango Vya Mishahara ya Viongozi wa Serikali

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMabasi ya Dar Kwenda Dodoma Kila siku
    Next Article Mabasi Dar Kwenda Mbeya
    Kisiwa24

    Related Posts

    Kampuza za Mabasi na Nauli zake

    Kampuni Bora za Mabasi Kutoka Dar es Salaam Kwenda Tabora

    September 17, 2025
    Kampuza za Mabasi na Nauli zake

    Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Arusha

    August 5, 2025
    Kampuza za Mabasi na Nauli zake

    Nauli ya Basi Dar to Morogoro

    May 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.