Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025
Michezo

Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025

Kisiwa24By Kisiwa24January 26, 2025No Comments5 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025, Orodha ya vilabu vilivyofuzu hatua ya robo fainali CAF Confederation CUP 2025. Habari ya wakati huu mwanamichezo wa Kisiwa24, karibu tena katika kurasa hii ya kimichezo itakayoenda kuangazia juu ya timu ambazo zimefuzu kwenda hatua ya robo fainali katika michuano ya kombe la shirikicho barani Afrika CAF Confederation Cup msimu wa 2024/2025.

Ikumbukukwe kua klabu ya Simba ndio klabu pekee kutoka Tanzania iliyoshiriki michuano hii na kufanikia kutiga kuingia katika hatua ya makundi (16 bora) ya kombe la shirikisho Afrika.

Hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

baada ya hatua ya mtoano na timu 16 kutoka mataifa mbalimbali kuweza kufuzu hatua ya makundi, shirikisho la mpira wa miguu CAF liliweza kupanga makundi 4 amabyo kila kundi lilikua na idadi ya timu 4.

Simba SC ilipangwa kwenye kundi A. Katika hatua hii ya makundi kila timu katika kundi ilipaswa kucheza michezo 6 yenye mgawanyo wa mechi 3 ugenini na mechi 3 nyumbani. Hadi sasa ni jumla ya michezo 5 imeshachezwa.

 

Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025

Baada ya michezo ya hatua ya makundi kwenye kila kundi timu 2 zitakazoweza kushika nafasi ya 1 na 2 zitaenda hatua inayofuata ya robo fainali ya michuano ya kombe la shirikisho Afrika CAF Confederation Cup.Hadi sasa ni jumla ya michezo 6 imesha katika hatua ya makundi 6. Baada ya kukamilika kwa michezo yote ya hatua ya makundi tayari timu zilizofuzu kwenye kla kundi zimesha julikana

Hapa chini tutaenda kuangalia timu zilizofuzu robo fainali kwenye kila kundi kwenye CAF Confederation Cup.

1. Timu zilizofudhu Robo Fainali CAF Confederation Cup Kundi A

Kundi A liliundwa na timu 4 amabzo ni;

  • CS Constantine
  • Simba
  • Bravos do Maquis
  • CS Sfaxien

Hadi kufikia sasa ikiwa michezo 6 imesha chezwa katika kundi hili tayari timu 2 zimesha fuzu kwenda katika hatua ya robo fainali kwa kujikusanyia pointi za kutosha kuwza kusonga mbele na kutoweza kufikiwa na timu nyingine yoyote ile katika kundi hili.Timu ambazo zimesha kata tiketi ya kwenda robo fainali kwenye kundi hili ni pamoja na;

  • Simba SC – iliyoko kwenye nafasi ya 1 ikiwa na jumla ya pointi 13
  • CS ConstantineSimba – Iliyoko katika nafasi ya 2 huku ikiwa na pointi 12

Msimamo wa Kundi A Baada ya Roundi ya 6

Rank Club MP W D L GF GA GD Pts
1 Simba 6 4 1 1 8 4 4 13
2 CS Constantine 6 4 0 2 12 6 6 12
3 Bravos do Maquis 6 2 1 3 7 14 -7 7
4 CS Sfaxien 6 1 0 5 7 10 -3 3

2. Timu zilizofudhu Robo Fainali CAF Confederation Cup Kundi B

Kundi B Pia linaundwa na timu 4 ambazo ni;

  1. RSB Berkane
  2. Stellenbosch
  3. Stade Malien
  4. Lunda Sul

Hadi sasa katika kundi B jumla ya michezo 5 imesha chezwa na tayari timu 2 zimesha fuzu kwenda katika hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la shirikisho Afrika 2025. Timu ambazo zimejikatia tiketi ya kwenda hatua ya robo fainali katika kundi hili ni pamoja na;

  1. RSB Berkane – Iliyoko katika nafasi ya kwanza ikiwa na jumla ya pointi 16
  2. Stellenbosch – Pia imejikatia tiketi ya kuendelea kwenye hatua ya robo fainali ikiwa katika nafasi ya 2 na poitni 9

Timu zilizobaki hazijaweza kufuzu hatua ya robo fainali hata kama moja kati hizo ikishinda mchezo wa mwisho.

Msimamo wa Kundi B Baada ya Roundi ya 5

 

3. Timu zilizofudhu Robo Fainali CAF Confederation Cup Kundi C

Kundi C lilitengenezwa na klabu za;

  • USM Alger
  • Jaraaf
  • ASEC
  • Orapa United

Hadi kufikia sasa kwenye kundi C tunaweza kusema kua ni timu moja tu ambayo imesha kata tikeri ya kuweza kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali ya michuano ya CAF Confedaretion Cup 2025. Timu amabyo imesha fuzu moja kwa moja ni.

  • USM Alger – Ikiwa katika nafasi ya 1 na pointi 14
  • ASEC – Iko kwenye nafasi ya 2 ikiwa kwenye pointi 8

Upande wa timu ya pili itategemea mchezo wa mwisho wa roundi ya 6, kama ASEC itashinda mchezo wake wa mwisho kwa magoli zaidi ya 3 basi itapanda hadi nafasi ya 2, ikitegemea pia matokeo ya mchezo wa mwisho wa wa Jaraaf iliyoko nafasi ya 2 ikiwa na pointi 8.

Msimamo wa Kundi C Baada ya Roundi ya 5

4. Timu zilizofudhu Robo Fainali CAF Confederation Cup Kundi D

Kundi D liliundwa na timu zifuatazo;

  • Zamalek
  • Al Masry
  • Enyimba
  • Black Bulls

Kwenye kundi D tayari timu moja imesha fuvu kwenda hatua ya robo fainali na timu 2 zinapigania nafasi ya kufuzu hatua ya robo fainali. Timu amabyo imesha jikatia tiketi ya kwenda hatua ya robo fainali katika kundi hili ni;

  • Zamalek – Iliyoko katika nafasi ya 1 ikiwa na jumla ya pointi 14
  • Al Masry – Iliyoko katika nafassi ya 2 ikiwa na umla ya pointi 9

Msimamo wa Kundi D Baada ya Roundi ya 5

 

Orodha ya Timu Zilizoweza Kufudhu Hatua ya Robo Fainali CAF Confederation Cup 2024/2025

Hadi sasa katika timu 8 zinazotakiwa kufuzu kwenda hatua ya robo fainali ya CAF Confedaretion Cup zimeweza kufuzu timu 6 tu, timu mbili zitamuliwa baada ya mchezo wa mwisho wa roundi ya 6.

Hapa chini ni orodha ya timu 6 ambazo zimesha jikatia tiketi ya kucheza robo fainali ya michuano ya kombe la shirikisho Afrika 2024/2025

  1. CS Constantine
  2. Simba
  3. RSB Berkane
  4. Stellenbosch
  5. USM Alger
  6. ASEC
  7. Zamalek
  8. Al Masry

Hitimisho

Mechi za roundi ya mwishisho zitakua na ushindani mkubwa sana kwani kunabaadhi ya vilabu bado havijaweza kujihakikishia kama vitaweza kusonga mbele hivyo vitahitaji kushinda mchezo wa mwisho.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika 2025

2. RATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025

3. RATIBA ya Mechi za Yanga Mwezi Januari 2025

4. Ratiba ya Mechi za Liverpool Ligi Kuu ya Uingereza EPL 2024/2025

5. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleMajina Walioitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma 25 January 2025
Next Article Mabadiliko Ya Tarehe Usaili wa Mahojiano Ajira za Uwalimu Daraja IIIC Kiswahili 2024/2025
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025777 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025438 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025415 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.