Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    NAFASI Za Kazi Geita Gold Mine (GGM)

    November 16, 2025

    NAFASI za Kazi Halmashauri Mbalimbali Tanzania 2025

    November 16, 2025

    Walioitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) November 2025

    November 16, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home » RATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025
    Michezo

    RATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 5, 2025Updated:January 5, 2025No Comments4 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    RATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    RATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025, Habari ya wakati huu mwanamichezo wa Kisiwa24, karibu katika makala hii fupi ambayo tutaenda kukupa mwongozo wa ratiba kamili ya michecho ya klabu ya Simba mwezi huu wa January 2025.

    Kama wewe ni shabiki wa klabu ya Simba basi naamini takua unashahuku ya kutaka kujua mwezi huu wa January 2025 klabu yako itakua na ratiba gani ya mechi na sisi ikiwa kazi yetu ni kukusogezea habari zote muhimu za kimichezo karibu nawe katika kurasa hii utaenda kuona ratiba yote ya Simba kwa mweza January 2025.

    Baada ya kutamatika kwa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu wa 2024/2025, Sasa mwezi huu wa January klabu ya Simba inatarajia kumaliza pia michezo yake yote iliyobaki katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika (CAF Confederation Cup)

    RATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025

    Hapa chini tutaenda kuangalia ratiba ya Simba SC kwa mwezi January 2025 kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup). Simba SC iliyoko kwenye kundi A la michuano hii ya Kombe la shirikisho barani Afrika hadi sasa tayari imesha cheza michezo 3 na ndani ya wezi huu wa January itamializia michezo 3 mingine iliyobakia.

    RATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    Katika ratiba hii Simba itasafiri kuj=cheza michezo 2 nje ya Tanzania (AWAY) na mchezo mmoja itaucheza ikiwa nyumbani kwenye dimba la Benjamini Mkapa (HOME)

    1. Simba vs CS Sfaxien

    Mchezo huu utafanyika siku ya tarehe 05 January 2025 nchini Sudani majira ya 7:00 Pm kwenye uwanja wa Stade Olympique Hammadi Agrebi, ikiwa ni mchezo wa marudiano baada ya mchezo ulifanyika siku ya taerehe 15 December na Simba iliibuka na ushindi wa magoli 2 kwa 1 goli la ushindi ilikifingwa dk ya 8 muda wa nyongeza na Kibu Denis katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam

    2. Bravos Do Maquis Vs Simba SC

    Mchezo huu Simba pia ataucheza akiwa ugenini tarehe 12 January 2025 ikiwa pia ni mchezo wa marudiano baada ya mchezo uliofanyika jijini Dar es Salaam siku ya tarehe 27 November na Simba kuibuka na ushindi wa goli moja kwa sifiri.

    3. Simba SC vs CS Constantine

    Mchezo huu utapigwa kunako siku ya tarehe 19 January 2025, Simba akiwa katika uwanja wa nyumbani, pia huu ni mchezo wa marudiano baada ya ule uliofanyika kwenye roundi ya pili tarehe 8 December 2024 na Simba kukubaili kichapo cha bao 2 kwa moja.

    RATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    Msimamo wa Kundi A kundi la Simba CAF Confederation Cup 2024/2025

    Hadi sasa jumla ya michezo 3 imesha chezwa kwenye kombe la shirikisho barani Afrika na timu tatu zimekua na matokeo sawa katika michezo hiyo 3, zikiwa zimeshinda michezo 2 na kupoteza mchezo mmoja kwa kila timu

    Klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba SC iko katika nafasi ya 3 kiwa na pointi 6 tofauti ya magoli na mshindi katika nafasi ya 2.

    Group A

    Rank Club MP W D L GF GA GD Pts
    1 Bravos do Maquis 3 2 0 1 6 5 1 6
    2 CS Constantine 3 2 0 1 5 4 1 6
    3 Simba 3 2 0 1 4 3 1 6
    4 CS Sfaxien 3 0 0 3 3 6 -3 0

    Tathimini ya Simba SC kwenye Mechi zilizobakia

    Hadi sasa ni michezo 3 iliyobakia kutoka nafasi ya 1 hadi ya 3 wote wamfungana pointi. Hivyo basi bado matumaini ya kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali kwa klabu ya Simba ni makubwa sana.

    Mchezo dhidi ya CS Sfaxien, Simba anahitaji kushinda au kutoa sare huku akisubili matokeo ya Bravos do Maquis vs CS Constantine , kama moja kati ya hao atashinda na Simba atashinda mezo wake  basi atapanada hadi nafasi ya 2, na kama kama matokeo ya mcheo wa wapinzania wake utaishia sare na simba kushinda mchezo wake basi atapanda hadi nafasi ya 1.

    Kisha michezo 2 itakayo bakia itampasa ashinde yote au ashinde mchezo mmoja na kutoa sare mchezo mmoja hapo atakua amejihakikishia nafasi ya kucheza robo fainari ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika.

    Matumaini ya Mashsbiki wa Simba kwenye CAF Confederation Cup

    Mashabiki wa Simba wanamatumaini makubwa kwa klabu yao kutokana na ubora wa wacheza waliouonyesha katika mechi zilizopita pia hata kuwenye michuano ya ligi kuu ya NBC. Ni matumaini ya mashabi wengi kua klabu itavuta hatua ya makundi na kuingia robo fainali hata nusu fainali na hatimae fainali.

    Mapendekezo ya Mhariri

    1. RATIBA ya Mechi za Yanga Mwezi Januari 2025

    2. Kikosi cha Simba vs CS Sfaxien Leo 05/01/2025

    3. Matokeo ya CS Sfaxien vs Simba Leo 05/01/2025

    4. Ratiba ya Mechi za Liverpool Ligi Kuu ya Uingereza EPL 2024/2025

    5. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

    October 15, 2025

    CV ya Dimitar Pantev – Kocha Mpya wa Simba SC 2025

    October 5, 2025

    Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2025/2026

    October 5, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    November 14, 2025944 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025877 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 2025696 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    November 14, 2025944 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025877 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 2025696 Views
    Our Picks

    NAFASI Za Kazi Geita Gold Mine (GGM)

    November 16, 2025

    NAFASI za Kazi Halmashauri Mbalimbali Tanzania 2025

    November 16, 2025

    Walioitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) November 2025

    November 16, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.