Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025 (Ligi Daraja la Kwanza)
    Michezo

    Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025 (Ligi Daraja la Kwanza)

    Kisiwa24By Kisiwa24February 9, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025, msimamo wa ligi daraja la kwanza Tanzania 2024/2025, HAbari mwanamichezo wa Kisiwa24, karibu katika kurasa hii fupi ya kimichezo itakayoenda kukupa mwenendo wa ligi ya NBC daraja la kwanza kwa msimu wa 2024/2025.

    Ligi NBC Championship ni ligi ya pili kwa ukubwa nchini Tanzania ukiacha ile ya ligi kuu ya NBC, Ligi huusisha vilabu 16 amabvyo kila kilabu hucheza takribani michezo 30 hadi kutamatika kwa ligi. Msimu wa 2024/2025 kwa mujibu wa kalenda ya matukio ya shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) utaanza mwezi September  20, 2024, kwa mechi ya ufunguzi kati ya Mbeya City vs Bigman FC 16:00 Mbeya na Mtibwa Sugar vs Green Warriors 16:00 Morogoro.

    Timu Zinazo Shiriki Ligi Daraja la Kwanza

    Kunajumla ya timu 16 zinazoshiriki ligi daraja la kwanza amabazo ni, Mtibwa Sugar, Geita Gold, Stand United, TMA, Mbeya Kwanza, Mbeya City, Songea United, Bigman, Mbuni, Polisi Tanzania, Biashara UTD, Green Warriors, Cosmopolitan, A.Sports, Transit Camp , Kiluvya. Timu 2 zitakazo maliza katika nafasi ya 1 na 2 zitapata nafasi ya kupanada daraja na kuingia katika kombe la ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu ujao wa 2025/2026.

    Mwenendo wa Ligi

    Ligi itahusisha timu 16 ambazo kila moja itacheza michezo 30 na timu zitakazo maliza ligi katika nafasi ya 1 na 2 zitapandishwa katika ligi kuu ya NBC kwa msimu ujao wa 2025/2026. Mgawanyo wa pointi ni ule wa.

    • Pointi 3 kwa matokeo ya Ushindi
    • Pointi 1 kwa matokeo ya sare
    • Point 0 kwa matokeo ya kufungwa

    Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

    Hapa chini ni msimamo wa ligi daraja la kwanza (NBC Championship) kwa msimu wa 2024/2025

    Nafasi Timu Mechi Magoli Pointi
    1 Mtibwa Sugar 17 24 44
    2 Geita Gold 17 18 36
    3 Mbeya City 17 14 35
    4 Stand United 17 10 35
    5 TMA 17 10 31
    6 Mbeya Kwanza 17 5 31
    7 Bigman 17 1 26
    8 Songea United 17 3 25
    9 Mbuni 17 3 23
    10 Polisi Tanzania 17 -4 20
    11 A.Sports 17 -11 14
    12 Green Warriors 17 -20 11
    13 Transit Camp 17 -14 10
    14 Kiluvya 17 -15 10
    15 Cosmopolitan 17 -16 9
    16 Biashara UTD 17 -8 4

    Hadi sasa ligi ya NBC Championship inaongozwa na klabu ya Mtibwa Sugar katika nafasi ya 1 ikiwa na point 44 na nafasi ya 2 ikishikiliwa na Geita Gold kwa pointi 36. Jumla ya michezo 17 imesha chezwa kati ya michezo 30.

    Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza 25/10/2024

    Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza 21/10/2024

    Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza 07/10/2024

    Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza  30/09/2024

    Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza 28/09/2024

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC

    2. Orodha ya Makombe yenye Thamani Kubwa Zaidi Barani Ulaya

    3. Msimamo wa Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

    4. Msimamo wa Kundi la Yanga Club Bingwa Afrika 2024/2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRatiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu Ya NBC 10/02/2025
    Next Article Nafasi za Kazi – Graduate Trainee – Hydrogeology at Geita Gold Mining Ltd
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.