Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025 (Ligi Daraja la Kwanza)
Michezo

Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025 (Ligi Daraja la Kwanza)

Kisiwa24By Kisiwa24February 9, 2025No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025, msimamo wa ligi daraja la kwanza Tanzania 2024/2025, HAbari mwanamichezo wa Kisiwa24, karibu katika kurasa hii fupi ya kimichezo itakayoenda kukupa mwenendo wa ligi ya NBC daraja la kwanza kwa msimu wa 2024/2025.

Ligi NBC Championship ni ligi ya pili kwa ukubwa nchini Tanzania ukiacha ile ya ligi kuu ya NBC, Ligi huusisha vilabu 16 amabvyo kila kilabu hucheza takribani michezo 30 hadi kutamatika kwa ligi. Msimu wa 2024/2025 kwa mujibu wa kalenda ya matukio ya shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) utaanza mwezi September  20, 2024, kwa mechi ya ufunguzi kati ya Mbeya City vs Bigman FC 16:00 Mbeya na Mtibwa Sugar vs Green Warriors 16:00 Morogoro.

Timu Zinazo Shiriki Ligi Daraja la Kwanza

Kunajumla ya timu 16 zinazoshiriki ligi daraja la kwanza amabazo ni, Mtibwa Sugar, Geita Gold, Stand United, TMA, Mbeya Kwanza, Mbeya City, Songea United, Bigman, Mbuni, Polisi Tanzania, Biashara UTD, Green Warriors, Cosmopolitan, A.Sports, Transit Camp , Kiluvya. Timu 2 zitakazo maliza katika nafasi ya 1 na 2 zitapata nafasi ya kupanada daraja na kuingia katika kombe la ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu ujao wa 2025/2026.

Mwenendo wa Ligi

Ligi itahusisha timu 16 ambazo kila moja itacheza michezo 30 na timu zitakazo maliza ligi katika nafasi ya 1 na 2 zitapandishwa katika ligi kuu ya NBC kwa msimu ujao wa 2025/2026. Mgawanyo wa pointi ni ule wa.

  • Pointi 3 kwa matokeo ya Ushindi
  • Pointi 1 kwa matokeo ya sare
  • Point 0 kwa matokeo ya kufungwa

Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

Hapa chini ni msimamo wa ligi daraja la kwanza (NBC Championship) kwa msimu wa 2024/2025

Nafasi Timu Mechi Magoli Pointi
1 Mtibwa Sugar 17 24 44
2 Geita Gold 17 18 36
3 Mbeya City 17 14 35
4 Stand United 17 10 35
5 TMA 17 10 31
6 Mbeya Kwanza 17 5 31
7 Bigman 17 1 26
8 Songea United 17 3 25
9 Mbuni 17 3 23
10 Polisi Tanzania 17 -4 20
11 A.Sports 17 -11 14
12 Green Warriors 17 -20 11
13 Transit Camp 17 -14 10
14 Kiluvya 17 -15 10
15 Cosmopolitan 17 -16 9
16 Biashara UTD 17 -8 4

Hadi sasa ligi ya NBC Championship inaongozwa na klabu ya Mtibwa Sugar katika nafasi ya 1 ikiwa na point 44 na nafasi ya 2 ikishikiliwa na Geita Gold kwa pointi 36. Jumla ya michezo 17 imesha chezwa kati ya michezo 30.

Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza 25/10/2024

Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza 21/10/2024

Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza 07/10/2024

Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza  30/09/2024

Msimamo Wa Ligi daraja la kwanza 28/09/2024

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC

2. Orodha ya Makombe yenye Thamani Kubwa Zaidi Barani Ulaya

3. Msimamo wa Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

4. Msimamo wa Kundi la Yanga Club Bingwa Afrika 2024/2025

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleRatiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu Ya NBC 10/02/2025
Next Article Nafasi za Kazi – Graduate Trainee – Hydrogeology at Geita Gold Mining Ltd
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025779 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025442 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025420 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.