Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Usaili»Majina Wailioitwa Kwenye Usaili Taasisi Mbalimbali December 2024
Usaili

Majina Wailioitwa Kwenye Usaili Taasisi Mbalimbali December 2024

Kisiwa24By Kisiwa24December 1, 2024No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Majina Wailioitwa Kwenye Usaili Taasisi Mbalimbali December 2024

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 03-12-2024 hadi 10-12-2024 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.

Mambo Muhimu ya Kuzingatiwa na Wasiliwa

Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili ni muhimu sana kuzingatia mambo yafuatayo ili kuweza kujihakikishia ya kua unafanya usaili kama ulivyopangwa na kujhakikishia nafasi yako ya kupata kazi;

1. Siku ya Kufanyika kwa Usaili

  • Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemu ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.

2.Uvaaji wa Barkoa Kwa Wasaili

  • kila msailiwa anaitarajia kuudhulia usaili anatakiwa kufika eneo la usaili akiwa amevaa barakoa kama njia ya kujikinga na magonjwa ambukiziKila (Mask)

3. Ubebaji wa Kitambulisho

Kila msailiwa atakayefika kituo cha usaili ni lazima awe na kitambulisho kinacho tambulika kwa ajili ya utambuzi wa msailiwa, kama vile Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Leseni ya Udereva au barua ya utambulisho kutoka Serikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka.

5.Vyeti

Wasailiwa wote pindi wanapofkwenda katika kituo cha usaili ni lazima wabebe vyeti vyao halisi kuanzia cheti cha kuzaliwa,kidato cha IV, VI, Astashahada, Stashahada,Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

7.Gharama Wakati wa Usaili

  • Gharama zote zitakazokuwepo wakati wa usaili basi msailiwa tajitegemea kwa gharama hizo kama vile Chakula, Usafiri na Malazi.

8 .Waombaji Waliosoma Nje ya Tanzania

  • Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)

9. Waombaji Wasio Ona Majina yao Katika Tangazo Hili

  • Kwa waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhi vigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatia mahitaji ya tangazo husika.

11. Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswa kuja na vyeti vyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.

12. Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili namba ya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa iku ya usaili.

8. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

Majina Wailioitwa Kwenye Usaili Taasisi Mbalimbali December 2024

Bonyeza Hapa Kutazama MAJINA Yote

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleNafasi Za Kazi Bodi Ya Taifa Ya Wahasibu Na Wakaguzi Wa Hesabu (Nbaa) December 2024
Next Article Habari Za Kwenye Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne 03 December 2024
Kisiwa24

Related Posts

Ajira

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025
Ajira

Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

October 8, 2025
Ajira

MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

October 8, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025777 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025439 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025415 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.