Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Kampuza za Mabasi na Nauli zake»Mabasi Ya Dar es Salaam Kwenda Songea
Kampuza za Mabasi na Nauli zake

Mabasi Ya Dar es Salaam Kwenda Songea

Kisiwa24By Kisiwa24May 8, 2025No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mabasi ya Dar es Salaam kwenda Songea, Mabasi ya Dar Songea, Habari ya muda huu mwana Habaika24, karibu katika makala hii ambayo itaenda kuangazia kampuni za mabasi ambazo zinatoa huduma zake kati ya mkoa wa Dar es Salaam na Songea.

Kama wewe ni msafiri katika mikoa hii miwili na hujui ni kampuni gani za mabasi zinazotoa huduma ya usafari baina ya mikoa hii miwili basi makala hii fupi itaenda kukupa mwongozo wa kampuni hizo

Njia Za Usafiri Kati ya Dar es Salaam Na Songea

Kwa Wasafiri wa mikoa hii miwili wanaweza fanya safari zako miongoni mwa mikoa hii kwa kutumi usafiri wa aina moja tu ambao ni usafiri wa kupitia ardhini (kwa kutumia gari). Hapa katika makala haya tutaenda kugusia njia hii ya usafiri hasa upande wa kampuni za mabasi.

Aina ya Mabasi Yanayotoa Huduma Za Usafiri Kati ya Dar na Songea

Kuna aina mbili ya daraja za mabasi zinazotoa huduma zake baina ya mikoa ya Dar es Salaam na Songea, nazo ni;

  1. Mbasi ya Daraja la Kawaida
  2. Mabasi ya Daraja la Kati (Semi Luxury)

-Mabasi ya daraja la kati (Semi luxury) ni basi zenye kutoa huduma za ziada kwa wasafiri wakati wa safari ili kuboresha mazingira ya safari na kumfanya msafiri kuto choshwa na safari.

Mabasi Ya Dar es Salaam Kwenda Songea

1. Super Feo Express

Super Feo Express
Super Feo Express

2. New force

New force
New force

3. Mbeya Express

Mbeya Express
Mbeya Express

4. Shabiby Line

Shabiby Line
Shabiby Line

5. Selous Express

Selous Express
Selous Express

6. Travel Express

Travel Express
Travel Express

Huduma Zinazopatikana katika Mabasi ya Semi Luxury Dar kwenda Songea

Kama tulivyosema hapo awali makampuni ya mabasi yanayotoa huduma zake katika mikoa ya Dar es Salaam na Songea hasa kwa Super Feo na New Force yana mabasi ya Semi Luxury ambayo wakiwa safarini abilia hupata huduma za ziada tofauti na zile za kwenye mabasi ya daraja la kawaida. Miongoni mwa huduma hizo ni pamoja na;

  1. Utazamaji wa vipindi vya runinga
  2. Huduma ya Internet
  3. Huduma ya Vinywaji na Vitafunwa
  4. Huduma ya Choo

Hitimisho

Kama unafikilia kusafiri ndani ya mikoa hii miwli ya Dar es Salaam na Songea basi naamini makala hii fupi itakua imekupa mwongozo wa usafri gani wa kampuni ya mabasi unaweza kuitumia ili kukamilisha safari yako japo makampuni yote yanayotoa huduma hii ya usafiri ndani ya mikoa hii ni bora.

1. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Mwanza

2. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Arusha

3. Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleNECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Manyara
Next Article Alama za Ufaulu Kwa Kidato cha Sita 2025
Kisiwa24

Related Posts

Makala

Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya kupika Maharage kwenye Rice cooker

October 8, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025443 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025441 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.