Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Jinsi ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa
    Makala

    Jinsi ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa

    Kisiwa24By Kisiwa24October 30, 2024No Comments8 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    JINSI ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa,FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake, Karibu katika makala hii itayokupa mengi kuhusu AzamPesa kama vile Jinsi ya kutumia AzamPesa, jinsi ya kujiunga na AzamPesa, Huduma zitolewazo na AzamPesa,Makato ya Azampesa Na Jinsi ya kudownload AzamPesa App

    Jinsi ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa
    Jinsi ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa

    JINSI ya Kutumia Kdi Ya GUSA AzamPesa

    Kuhusu AZAM Pesa

    Azam Pesa ni huduma mpya ya kifedha nchini Tanzania,HUDUMA ZA KIFALME, Bei za kizawa

    Huduma mpya ya kifedha ya kutuma na kupokea pesa pamoja na kufanya malipo kupitia simu. Ni huduma ya uhakika na yenye gharama nafuu.

    Kampuni kubwa na iliyoenea katika nchi ya Tanzania pamoja na nchi jirani ‘Bakhresa Group’ imeleta sokoni huduma mpya ya kifedha ijulikanayo kama ‘Azam Pesa’.

    Huduma hii ni kama zilivyo huduma nyinginezo za M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, Halopesa and the like.

    Ili kuielewa zaidi huduma hii, nitaenda katika mtindo wa Maswali na kisha majibu.

    Huduna Zitolewazo na Azam Pesa

    kutuma au kutoa pesa

    AzamPesa ni njia rahisi ya kuaminika ya kutuma au kutoa pesa.

    Unaweza kutuma pesa kwenda mtandao wowote ule. Kwani kila mmoja anaweza kujisajili na AzamPesa kwa laini ya mtandao huo huo alionao.

    Punde tuu baada ya kukamilisha usajili wako wa AzamPesa. Utakua na uwezo wa Kutuma na Kutoa Pesa kwa gharama nafuu sana.

    Huduma yetu imetengenezwa kuwa huduma iliyo rahisi kutumia na inayomuwezesha mteja kulinda na kusimamia fedha zake kwa uhuru.

    Jinsi ya Kutuma Pesa na AzamPesa

    1. Piga *150*08#
    2. Chagua 1 Tuma Pesa
    3. Tuma kwenda namba ya AzamPesa
    4. Weka namba ya simu ya mpokeaji
    5. Weka kiasi
    6. Weka namba ya siri

    AU

    1. Fungua App ya AzamPesa
    2. Bofya Tuma Pesa
    3. Weka namba ya mpokeaji iliyosajiliwa na AzamPesa
    4. Weka Kiasi
    5. Bofya Endelea kisha Hakiki taarifa
    6. Bofya TUMA
    7. Weka PIN, kisha Thibitisha

    Jinsi ya Kutoa Pesa na AzamPesa

    1. Piga *150*08#
    2. Chagua 3 Kutoa Pesa
    3. Weka namba ya Wakala
    4. Weka kiasi
    5. Weka namba ya siri kukamilisha muamala

    AU

    1. Fungua App ya AzamPesa
    2. Bofya Toa Pesa
    3. Weka namba ya wakala ya AzamPesa
    4. Weka Kiasi
    5. Bofya Endelea kisha Hakiki taarifa
    6. Bofya TOA
    7. Weka PIN, kisha Thibitisha

    Kukunua Muda Wa Naongezi

    Azam Pesa inampa mtumiaji uhuru wa kununua muda wa maongezi kwa ajiri ya simu yake. Huduma ya kukunua muda wa maongezi ni kwa mitandao yote yani Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel hata TTCL.

    Jinsi ya Kununua muda wa Maongezi na AzamPesa

    Hatua za kununua muda wa maongezi kweneye simu yako kwa kutumia AzamPesa

    1. Piga *150*08#
    2. Chagua 2 Muda wa Maongezi
    3. Chagua Mtandao wa Simu
    4. Weka Namba ya simu
    5. Weka Kiasi
    6. Weka namba ya Siri kukamilisha

    AU

    1. Fungua App ya AzamPesa
    2. Bofya Muda wa Maongezi
    3. Chagua Mtandao wa Simu
    4. Weka namba ya simu
    5. Weka Kiasi
    6. Bofya Endelea
    7. Hakiki taarifa kisha Bofya Muda wa maongezi
    8. Weka namba ya SIRI kisha Thibitisha

    Kulipa Bill Mbali Mbali

    AzaPesa Inampa mtumiaji wake nafasi ya kufanya malipo ya bili mbali mbali kama Maji, umeme, ving’amuzi, malipo ya bidhaa (kwa MasterCard QR) kwa unafuu na haraka zaidi.

    Malipo unayoweza kufanya kwa kutumia AzamPesa ni kama vile:

    • Kununua Luku
    • Kulipia Bili ya Maji
    • Malipo ya Serikali (GEPG)
    • Malipo ya Ving’amuzi
    • Tiketi za ndege
    • Malipo ya Huduma za Intaneti
    • UTT

    Jinsi ya Kulipia Bili Mbali Mbali na AzamPesa

    Hatua za Kufuata ili kulipia bili kwa kutumia AzamPesa

    1. Piga *150*08#
    2. Chagua 4 Lipia Bili
    3. Chagua Kampuni
    4. Fuata maelekezo rahisi kukamilisha malipo yako

    AU

    1. Fungua App ya AzamPesa
    2. Bofya Lipa Bili
    3. Bofya kuchagua Kampuni
    4. Ingiza Kumbukumbu Namba
    5. Ingiza Kiasi
    6. Bofya Endelea, kisha Hakiki taarifa za malipo yako
    7. Bofya Tuma
    8. Ingiza PIN, kisha Thibitisha

    Jinsi ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa

    Kutumia Huduma Za Kibenki

    AzamPesa pia inampa furusa mtumiaji wa benki nafasi ya kuweza kutumia huduma za kibenki kupitia simu yake ya mkononi.

    Ukiwa na AzamPesa Unaweza kuhamisha Pesa kutoka kwenye akaunti yako ya Benki kwenda AzamPesa na kuhamisha Pesa Kutoka AzamPesa kwenda kwenye akaunti ya benki.

    Ili kutumia huduma za kibenki kupitia AzamPesa mteja anatakiwa kuunganisha namba yake ya simu na akaunti yake ya benki.

    Jinsi ya Kutumia Huduma Za Kibenki Na AzamPesa

    Hatua za Kufuata Ili Kutumia Huduma za Kibenki Kupitia AzamPesa

    1. Piga *150*08#
    2. Chagua 6 Huduma za Benki
    3. Chagua 1 AzamPesa kwenda Benki AU 2 Benki kwenda AzamPesa
    4. Chagua Benki na ufuate maelekezo

    AU

    1. Fungua App ya AzamPesa
    2. Bofya Hamisha kwenda Benki
    3. Weka Akaunti Namba
    4. Weka Kiasi
    5. Hakiki taarifa zako, kisha Bofya Thibitisha Tuma
    6. Weka PIN yako ya AzamPesa, kisha Thibitisha

    Kwa maelezo zaidi tembelea tawi lolote la benki unayotumia lililo karibu nawe.

    Kufanya Malipo Ya Serikali

    Mtumiaji wa AzamPesa anaweza kufanya malipo yote ya Serikali kiurahisi kabisa kupitia simu yake bila shida ya aina yoyote ile

    Aina za malipo ya serikali yanayoweza kufanywa na AzamPesa ni pamoja na

    • Kununua Luku
    • Kulipia Bili za maji
    • Kulipia Faini za polisi
    • Kulipia TRA
    • Kulipia TARURA
    • Kulipa Ardhi
    • Kulipia LGA

    Jinsi ya Kufanya Malipo Ya Seikali Kwa Kutumia AzamPesa

    1. Piga *150*08#
    2. Chagua 4 Lipia Bili
    3. Chagua 2 Malipo ya Serikali
    4. Weka Kumbukumbu namba
    5. Weka  kiasi unachotaka kulipa
    6. Hakikisha taarifa zako za malipo kisha Weka namba ya siri kufanya malipo

    AU

    1. Fungua App ya AzamPesa
    2.  Bofya Malipo ya Serikali
    3. Weka Kumbukumbu Namba
    4. Weka Kiasi
    5. Hakiki taarifa za malipo yako, kisha Bofya Fanya malipo
    6. Weka PIN yako ya AzamPesa, kisha Thibitisha

    Kulipia Huduma za Azam

    AzamPesa inampa pia nafasi mtumiajiwa huduma za Azam kuweza kulipia bidhaa zake kwa urahisi zadi. Mtumiaji wa AzamPesa anaweza kulipia na kununua bidhaa mbali mbali za Azam kama vile kulipia Azam TV, AzamFerry na Sarafu.

    Jinsi ya Kulipia Huduma Za Azam Kupitia AzamPesa

    Ili kulipia huduma za Azam kwa kutumia AzamPesa tafadhari unaweza kufuata hatua zifuatazo;

    Ili kUlipia AZAM TV

    1. Piga *150*08#
    2. Chagua 4 Lipia Bili
    3. Chagua 4 Azam Tv
    4. Chagua muda wa kifurushi unachotaka kulipia
    5. Chagua kiwango cha kifurushi unachotaka kulipia
    6. Andika namba ya kadi yako ya king’amuzi
    7. Weka namba ya siri kukamilisha malipo

    AU

    1. Fungua App ya AzamPesa
    2. Bofya Huduma za Azam
    3. Bofya AzamTV Vifurushi
    4. Chagua muda wa kifurushi unachotaka kulipia
    5. Chagua kiwango cha kifurushi unachotaka kulipia
    6. Andika namba ya kadi yako ya king’amuzi
    7. Nunua sasa
    8. Hakiki taarifa, kisha Bofya Nunua Kifurushi
    9. Weka namba ya siri kukamilisha malipo

    Kulipia AZAM FERRY 

    1. Piga *150*08#
    2. Chagua 7 Akaunti yangu
    3. Chagua 6 kuona malipo yaliyosubirishwa
    4. Chagua malipo unayotaka kulipia
    5. Hakiki taarifa
    6. Weka namba ya siri kukamilisha malipo

    AU

    1. Fungua App ya AzamPesa
    2. Bofya Akaunti Yangu
    3. Bofya Malipo yaliyosubirishwa
    4. Weka namba ya siri kuona listi
    5. Chagua malipo, kisha Bofya Lipa
    6. Hakiki taarifa, kisha Bofya Fanya Malipo
    7. Weka namba ya siri kukamilisha malipo

    Kulipia Huduma za SARAFU

    1. Piga *150*08#
    2. Chagua 7 Akaunti yangu
    3. Chagua 6 kuona malipo yaliyosubirishwa
    4. Chagua malipo unayotaka kulipia
    5. Hakiki taarifa
    6. Weka namba ya siri kukamilisha malipo

    AU

    1. Fungua App ya AzamPesa
    2. Bofya Akaunti Yangu
    3. Bofya Malipo yaliyosubirishwa
    4. Weka namba ya siri kuona listi
    5. Chagua malipo, kisha Bofya Lipa
    6. Hakiki taarifa, kisha Bofya Fanya Malipo
    7. Weka namba ya siri kukamilisha

    Makato ya AzamPesa

    Hapa tutaenda kukuonyesha gharama za makato ya huduma za AzamPesa kama vile

    • Kutuma pesa kwenda AzamPesa
    • Kutuma Pesa Kwnda mitndao mingine
    • Kutuma pesa Benki
    • Kutoa pesa

     

    Jinsi ya Kujisajili na AzamPesa

    Kuna njia kuu mbili za kuweza kujisajili na huduma ya AzamPesa na kuweza kutumia huduma zake

    1. Kujisajiri kwa njia ya App
    2. Kujisajili kupitia wakala wa Usajili

    Kujisajili kwa Njia ya App

    Kama unafikilia kuweza kutumia huduma za Azampesa basi unaweza kupakua App ya Azampesa kutoka Playstore au App Store na kuweza kujisajjili mwenyewe.

    Kujisajili mwenyewe kwa App ya AzamPesa ni rahisi na haraka. Unachohitaji kufanya ni kuweka namba yako ya Simu na namba ya NIDA. Kisha kujibu maswali marahisi kuthibitisha NIDA yako.

    Hatua Za Kufuata Ili Kujisajili na AzamPesa Kwa App

    Kunahatua kadhaa za kufuata ili uweze kujisajili kwa kupitia app ya AzamPesa. Hapa chini ni hatua za kufuata,

    Hatua ya 1

    • Hatua ya kwanza kabisa ni kupakua App ya AzamPesa kwenye Google Play Store au iOS App Store

    Hatua ya 2

    • Baada ya kupakua sasa utatakiwa kubofya palipoandikwa USAJILI BINAFSI chini ya Ingia

    Hatua ya 3

    • Kisha page nyingine itafunguka na itakupasa kujaza namba yako ya simu na namba yako ya NIDA

    Hatua ya 4

    • Baada ya kuweka namba ya simu neno siri OTP litatumwa kwenye namba uliyoweka na itakupasa kuiingiza kwenye app

    Hatua ya 5

    • Kisha thibitisha namba yako ya NIDA kwa kujibu maswali marahisi

    Hatua ya 6

    • Hadi kufikia hapa utakua umejisajili na sasa unaweza kuingia kwenye App na kutumia huduma ya AzamPesa

    Jinsi ya Kujisajili Kupitia Wakala Wa Usajili

    Masawali Yanayoulizwa Mara kwa Mara Kuhusu AzamPesa

    Je, Azam wameanzisha mtandao wao wa simu?
    Hapana. Azam bado hawajaanzisha mtandao wao kama zilivyo kampuni kadhaa za mawasiliano hapa nchini.

    Bali AzamPesa wameingia makubaliano na baadhi ya mitandao kwa ajili ya kuwezesha upatikanaji wa huduma kupitia line za mitandao hiyo.

    Mpaka sasa AzamPesa wameshakubaliana na Tigo, Airtel na Zantel. Hivyo huduma hii inapatikana katika line za mitandao tajwa.

    Je, huduma hi inahusika na nini?
    Kama ilivyo huduma zingine, huduma hii inahusika na;
    1.Kutuma Pesa
    2.Kutoa Pesa
    3.Kulipia bili
    4.Kulipia bidhaa za Azam

    Je, huduma hii imeanza kufanya kazi?
    Ndiyo, huduma hii imeshaanza kufanya kazi kwa wateja wote waliosajiliwa.

    Je, najiungaje na huduma hii?
    Fika katika duka la wakala na uweze kusajiliwa. Kinachohitajika ni namba yako ya simu pamoja na namba yako ya NIDA. Ndani ya dakika mbili tayari utakuwa umeshasajiliwa kuwa mteja wa AzamPesa.

    Ada za Wateja wa Azam Pesa ni za kishindani na nafuu zaidi nchini. Ukiwa na AzamPesa utaweza kupata thamani zaidi ya pesa.

    Je, huduma naweza kupata vifurushi ‘bundles’ maalum vya Azam?

    Hapana. Kama ambavyo nilikwishaeleza hapo juu kwamba Azam bado hawajaanzisha mtandao wao hivyo swala la vifurushi linabakia kuwa maamuzi ya mtandao husika.

    Je, huduma hii naipata wapi?
    Huduma hii inapatikana katika mikoa yote Tanzania. Ijapokuwa bado haijatapakaa kila mahali lakini upatikanaji wake katika maeneo mengi ya miji ni uhakika.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHuyu Hapa Kocha Mpya Wa Manchester United Mrithi Wa Ten Hag
    Next Article Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.