include_once get_template_directory() . '/includes/core/theme-helper.php'; CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga : Kisiwa24

TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

Filed in Michezo by on January 17, 2025 0 Comments

CV ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

Habari mwanamichezo wa Kisiwa24, karibu katika makala hii fupi ya kimichezo ambayo itaenda kuangazi ajuu ya Cv ya Jonathan Ikangolomba mchezaji mpya wa Yanga, hapa tutakugia tarifa kadhaa za mchezaji huyu kama vileUmiri wa Jonathan Ikangalombo, timu alizo wahikuchezea Jonathan Ikangalombo klabla ya kusajiliwa na Yanga SC pia tutatazama hitoria ya Jonathan Ikangalombo katika ulimwengu wa soka, maisha klabla ya soka ya Jonathan Ikangalombo

CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji

Jina kamili anaitwa Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo, amezaliwa tarehe 5 April 202 nchi DR Congo kwa sasa anaumri wa miaka 23, Hivyo kiasili Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo yeye ni raia wa nchi ya DR Congo. Jonathan Ikangalombo anakimo kizuri cha ulefu kinachoweza kumfanya aweze kua na uhuru wa kucheza mipira ya aina yote hata ile ya juu kwani anaurefu wa Mita 1.80 ambao ni sawa na Sentimeta 180.

Jonathan Ikangalombo akiwa uwanjani anaweza kutumika katika nafasi tofauti tofauti lakini kiuchezaji Jonathan Ikangalombo hucheza nafasi ya winga wa kulia japo anaweza kutumika pia katika nafasi ya winga wa kushoto na wakatimwingine kama mshabuliaji.

Jonathan Ikangalombo Amecheza klabu kadhaa kabla kusajiliwa na Yanga katika dirisha dogo la usajili la January 2o25, klabu alizoweza kuchezea Jonathan Ikangalombo ni pamoja na DC Motemapembe pamoja na AS Vita zote za Nchini DR Congo.

Kwa sasa Jonathan Ikangolomba yuko nchini Tanzania akitioa huduma yake katika klabu ya wana jangwani Yanga SC, amejiunga na Yanga tarehe 16 January 2025

CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

Maelzo ya CV ya Jonathan Ikongolomba kwa Kifupi

CV ya Jonathani Ikangalombo

1 Jina Kamili Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo
2 Umri Miaka 23
3 Urefu Miter 1.80
4 Tarehe ya Kuzalia 5 April 2002
5 Uraia DR Congo
6 Nafasi yake Uwanjani Winda wa Kushoto, kulia na mshambuliaji
7 Timu alizowahi Kucheza DC Motemapembe, AS Vita – zote za Kongo
Timu ya Sasa Yanga SC (16 January 2025)

 

Tazama Video ya Utambulisho wa Jonathan Ikangalombo Yanga

 

Umuhimu wa Usajili wa Jonathan Ikongalombo Yanga SC.

Usajili huu unaumuhimu mkubwa sana kwa klabu ya Yanga ikiwa nisehemu ya kuendelea kufanya uboreshaji wa kikosi chake katika safu ya Winga, sasa kwa kipindi hiki ambacho klabu ya Yanga inaenda kutafuta nafasi ya kusonga mbele katika michuano ya klabu bingwa Afrika na pia maandalizi ya msimu wa pili wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara 2024/2025.

Mtarajajio ya Wanachi Kwenye Usajili wa Jonathani Ikongalombo

Mashabiki wa klabu ya Yanga kama wajulikanavyo wananchi watarajie makubwa kutoka kwa mchezaji huyu kwani amekuja kuleta changamoto kubwa kwa baadhi ya wachezaji waliopo katika kikosi cha Yanga kitu kitakachoweza kuongeza uwajibikaji miongoni mwa wachezaji na kuleta matokeo chanya katika michezo itakayochezwa.

Mapendekezo ya Mhariri

1. Tetesi za Usajili Dirisha Dogo Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025

2. Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania

3. Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

4. Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

5. Orodha ya Makombe yenye Thamani Kubwa Zaidi Barani Ulaya

Kwa Matangazo ya AJIRA Mpya kila siku BONYEZA HAPA

Tags: , , , , , , , , ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!