TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Usaili

MABADILIKO ya Ratiba Ya Usaili Kada Ya Transcriber II Sign Languages Interpreter 04 June 2025

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025, Usaili by on June 4, 2025 0 Comments
MABADILIKO ya Ratiba Ya Usaili Kada Ya Transcriber II Sign Languages Interpreter 04 June 2025

Wasailiwa wote wa kada ya Transcriber II Sign Language Interpreter mnataarifa kuwa kutakuwa na usaili wa vitendo utakaofanyika tarehe 05 Juni,2025 na usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 06 Juni,2025. MABADILIKO ya Ratiba Ya Usaili Kada Ya Transcriber II Sign Languages Interpreter 04 June 2025 MABADILIKO YA RATIBA YA USAILI KADA YA TRANSCRIBER II SIGN LANGUAGES INTERPRETER

Continue Reading »

MABADILIKO ya Tarehe ya Usaili wa Vitendo Dereva Daraja La II 04 June 2025

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025, Usaili by on June 4, 2025 0 Comments
MABADILIKO ya Tarehe ya Usaili wa Vitendo Dereva Daraja La II  04 June 2025

Kwa madereva waliopangiwa kufanya usaili wa vitendo tarehe 7 Juni,2025 mnajulishwa kuwa usaili huo utafanyika tarehe 08 Juni,2025 katika vituo mlivyopangiwa awali. MABADILIKO ya Tarehe ya Usaili wa Vitendo Dereva Daraja La II 04 June 2025 MABADILIKO TAREHE YA USAILI DEREVA II

Continue Reading »

Mabadiliko Ya Tarehe Za Usaili UTUMISHI 03 June 2025

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025, Usaili by on June 3, 2025 0 Comments
Mabadiliko Ya Tarehe Za Usaili UTUMISHI 03 June 2025

Mabadiliko Ya Tarehe Za Usaili Kwa Kada Za Tehama Ofisi Ya Taifa Ya Ukaguzi (NAOT), NACTVET NA DIT Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anawajulisha waombaji kazi kwa kada zilizoainishwa kwenye tangazo hili kuwa, kuna mabadiliko ya tarehe za usaili wa vitendo na mahojiano. Usaili wa vitendo na mahojiano utafanyika kwa tarehe […]

Continue Reading »

PDF ya Majiana Walioitwa Kazini Utumishi (Call For Work) Leo

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025, Usaili by on May 30, 2025 0 Comments
PDF ya Majiana Walioitwa Kazini Utumishi (Call For Work) Leo

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati taasisi mbalimblai kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya […]

Continue Reading »

Matokeo ya Usaili wa Mahojiano TRA May 2025

Filed in Makala, Usaili by on May 29, 2025 0 Comments
Matokeo ya Usaili wa Mahojiano TRA May 2025

Dar es Salaam, 27 Mei, 2025 Itakumbukwa kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilitangaza nafasi za kazi 1,596 mwanzoni mwa Februari 2025, ambapo ilipokea maombi 135,027, ambayo 113,023 yaliitwa kwenye usaili wa maandishi baada ya kufikia vigezo, na usaili huo ulifanyika tarehe 29 na 30 Machi, 2025. Waombi waliofaulu katika usaili wa maandishi waliitwa kwenye […]

Continue Reading »

Majina Walioitwa Kwe Usaili Utumishi 19 May 2025

Filed in Usaili by on May 19, 2025 0 Comments
Majina Walioitwa Kwe Usaili Utumishi 19 May 2025

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Tume ya Ushindani (FCC), Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Chuo cha Maji (WI), Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa […]

Continue Reading »

Mpangilio Wa Vituo Na Tarehe Ya Usaili Wa Vitendo Kada Ya Dereva Daraja La II May 2025

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025, Usaili by on May 17, 2025 0 Comments
Mpangilio Wa Vituo Na Tarehe Ya Usaili Wa Vitendo Kada Ya Dereva Daraja La II May 2025

Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wa kada ya Dereva II wanapaswa kuzingatia vituo na tarehe ya kuafanya usaili kama ilivyoainishwa kwenye viambatisho hapo chini. DEREVA II-KITUO BUZA DSM DEREVA II-KITUO KIHONDA MOROGORO

Continue Reading »

MATOKEO Ya Usaili Wa Kuandika Utumishi 17 May 2025

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025, Usaili by on May 17, 2025 0 Comments
MATOKEO Ya Usaili Wa Kuandika Utumishi 17 May 2025

Wasailiwa wote waliochaguliwa kuendelea na hatua zinazofuata wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la kufanyia usaili. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) pamoja na kitambulisho. Ajira hizi ni za mkataba.   MATOKEA YA USAILI WA KUANDIKA WAKALA WA VIPIMO MCHANGANUO WA USAILI WA VITENDO DEREVA WAKALA WA VIPIMO

Continue Reading »

Majina Walioitwa Kwenye Usaili Chuo MUST May 2025

Filed in Usaili by on May 17, 2025 0 Comments
Majina Walioitwa Kwenye Usaili Chuo MUST May 2025

Makamu Mkuu wa Chuo kwa niaba ya Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 22-05-2025 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:- 1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye […]

Continue Reading »

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs May 2025

Filed in Usaili by on May 12, 2025 0 Comments
MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs May 2025

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 24-05-2025 hadi 28-05-2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:- 1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa […]

Continue Reading »