WALIO CHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2025

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Michezo

Matokeo Simba Vs Stellenbosch Fc Leo 20 April 2025

Filed in Michezo by on April 15, 2025 0 Comments
Matokeo Simba Vs Stellenbosch Fc Leo 20 April 2025

Matokeo Simba Vs Stellenbosch Fc 20 April 2025 Leo tarehe 20 April 2025 klabu ya Simba inaikalibisha klabu ya Stellenbosch Fc kutokea South Afrka katika mchezo wao wa kwanza wa nusu fainali za kombe la shirikisho Afrka (CAF Confederation CUP) 2024/2025. Mchezo huu utafanyika kuanzia mjara ya saa16:00 za jioni katika uwanja wa Amaan Zanzibar. […]

Continue Reading »

Vituo Vya Kununua Tiketi za Mechi ya Simba Vs Stellenbosch Fc 20 April 2025

Filed in Michezo by on April 15, 2025 0 Comments
Vituo Vya Kununua Tiketi za Mechi ya Simba Vs Stellenbosch Fc 20 April 2025

Vituo Vya Kununua Tiketi za Mechi ya Simba Vs Stellenbosch Fc 20 April 2025 Mara baada ya kutangazwa kwa viingilio vya mchezo wa nusu fainali ya kwanza kati ya Simba Sc vs Stellenbosch Fc kutokea nchini Afrika ya kusini mchezo utakao pigwa katika uwanja wa Amaan Zanzibar uwanja wenye uwezo wa kuchukua takribani mashabiki elfu […]

Continue Reading »

VIINGILIO Mechi ya Simba Sc vs Stellenbosch Fc 20 April 2025

Filed in Michezo by on April 15, 2025 0 Comments
VIINGILIO Mechi ya Simba Sc vs Stellenbosch Fc 20 April 2025

VIINGILIO Mechi ya Simba Sc vs Stellenbosch Fc 20 April 2025 Baada ya Simba Sc kutinga hatua ya NUfu fainali ya kombe la shirikisho Afrika (CAF Confederation CUP SEMI FINAL 2024/2025) Kwa kuchakaza klabu ya Al Masry kutoka nchini Misry kwa mikwaju ya penalti tarehe 20 April 2025 itaenda kuwakalibisha klabu ya Stellenbosnch Fc kutokea […]

Continue Reading »

Historia ya Yanga SC Kushuka Daraja

Filed in Michezo by on April 10, 2025 0 Comments
Historia ya Yanga SC Kushuka Daraja

Historia ya Yanga SC Kushuka Daraja Yanga SC ni moja kati ya vilabu vya soka vinavyovumilia na kuwa na ushikamano mkubwa nchini Tanzania. Hata hivyo, klabu hii imepitia vipindi vigumu, ikiwa ni pamoja na kushuka daraja mwaka 1982. Hii ni hadithi ya kuvutia inayoelezea jinsi timu kubwa ilivyopoteza nafasi yake katika Ligi Kuu na kufungwa […]

Continue Reading »

Takwimu za Simba na Yanga Kufungana

Filed in Michezo by on April 10, 2025 0 Comments
Takwimu za Simba na Yanga Kufungana

Takwimu za Simba na Yanga Kufungana Mechi kati ya Simba na Yanga sio tu ni mashindano ya kandanda bali pia ni vita vya utamaduni na hisia kati ya mashabiki wengi nchini Tanzania. Takwimu za Simba na Yanga kufungana zinaonyesha mienendo ya timu hizi katika mikutano yao ya kirafiki na ya ligi. Katika makala hii, tutachambua […]

Continue Reading »

KIKOSI cha Azam Fc vs Yanga Sc 10 April 2025

Filed in Michezo by on April 10, 2025 0 Comments
KIKOSI cha Azam Fc vs Yanga Sc 10 April 2025

KIKOSI cha Azam Fc vs Yanga Sc 10 April 2025 Leo tarehe 10 April 2025 Ligi ya NBC inaenda kutimua vumbi huku ikizikutanisha timu mbili kweny Derby ya Dar es Salaam, Azam Fc vs Yanga Sc. Wakazi na wapenzi wa soka jijini Dar es Salaam leo majira ya saa moja za usiku wanenda kuhamishia macho […]

Continue Reading »

KIKOSI cha Yanga SC vs Azam Fc 10 April 2025

Filed in Michezo by on April 10, 2025 0 Comments
KIKOSI cha Yanga SC vs Azam Fc 10 April 2025

KIKOSI cha Yanga SC vs Azam Fc 10 April 2025 Leo tarehe 10 April 2025 Ligi kuu ya NBC inaendea huku tukienda kushuhudia derby ya Dar ikizikutanisha miamba 2 wa ligi kuu ya NBC katika mzunguko wa pili Yanga Sc vs Azam Fc,Yanga Sc inaenda kuikabili klabu ya Azam katika uwanja wa Azam Complex Chamazi […]

Continue Reading »

Ratiba ya Simba Sc Nusu Fainali CAF Confederation Cup 2024/2025

Filed in Michezo by on April 9, 2025 0 Comments
Ratiba ya Simba Sc Nusu Fainali CAF Confederation Cup 2024/2025

Ratiba ya Simba Sc Nusu Fainali CAF Confederation Cup 2024/2025 Rasmi  Simba Sc klabu imetinga hatua ya nus Fainali za kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Confederation Cup) kwa msimu wa 2024/2025 baada ya kuchapa na kuitoa klabu ya Al Masry katika hatua ya robo fainali kwenye  mchezo wa pili uliofanyika Jijini Dar es Salaam […]

Continue Reading »

Kikosi cha Simba SC vs Al Masry Leo 09 April 2025

Filed in Michezo by on April 9, 2025 0 Comments
Kikosi cha Simba SC vs Al Masry Leo 09 April 2025

Kikosi cha Simba SC vs Al Masry Leo 09 April 2025 Baada ya mchezo wa Awamu ya kwanza wa robo fainali ya kombe la shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kati ya Al Masry vs Simba Sc uliofanyika nchini Misri na Simba kuweza kupoteza kwa kufungwa goli 2 kwa 0, leo tarehe 09/04/2025 mchezo wa marudiano […]

Continue Reading »

Utajiri wa Mchezaji Cristiano Ronaldo

Filed in Michezo by on April 6, 2025 0 Comments
Utajiri wa Mchezaji Cristiano Ronaldo

Utajiri wa Ronaldo: Mmiliki wa Ulimwengu wa Soka na Mali Isiyohamishika Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro, anayejulikana kwa jina maarufu Ronaldo, si tu mchezaji wa soka wa kiwango cha juu bali pia ni mjasiriamali mashuhuri duniani. Utajiri wake mkubwa umevuka mipaka ya viwanja vya michezo na kuenea hadi kwenye uwekezaji wa mali isiyohamishika, biashara, mikataba […]

Continue Reading »