Michezo
Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024
Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024, Habari mwanamichezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi ambayo itaenda kukupa mwongozo wa mechi kati ya Ethiopia na Tanzania unaofanyika leo jumamosi 16-11-2024 Leo Tanzania inakutana na Ethiopia ugenini ikiwa imecheza michezo minne katika michuano ya kufudhu AFCON ikiwa imeshinda mchezo 1, imedraw mchezo mmoja na kufungwa […]
Nafai Za Kazi Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Novemba 2024
Nafai Za Kazi Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Novemba 2024 POST CABIN CREW INSTRUCTOR II(RE-ADVERTISED) DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To assist in conducting cabin crew training; ii. To Assist in conducting tutorial and practical exercises for students under close supervision; iii. To prepare material for practical exercises; iv. To conduct examination and submits results; […]
Jezi Mpya Ya Yanga Sc Msimu Wa 2024/2025
Jezi Mpya Ya Yanga Sc Msimu Wa 2024/2025, Habari mwanamichezo wa Habarika24, Karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukuonyesha juu ya jezi mpya za klabu ya Yanga zitakazoenda kutumika katika msimu huu mpya wa 2024/2025. Nafasi ya Yanga Msimu Uliopita Msimu uliopita katika ligi kuu ya NBC klabu ya Yanga alimaalufu kama wana jangwali walimaliza […]
Ratiba ya Mashindano ya Ngao ya Jamii 2024/2025
Ratiba ya Mashindano ya Ngao ya Jamii 2024/2025, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza tarehe rasmi za michezo ya miashindano ya Ngao ya Jamii kwa msimu wa 2024-25, ambapo michezo hiyo imepangwa kuanza kutimua vumbi Agosti 8 hadi Agosti 11, 2024. Hii inaashiria kuanza kwa msimu mpya wa soka nchini, ukiwa unatarajiwa kua […]
Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025
Kikosi Cha Yanga msimu wa 2024-2025, Kikosi cha Yanga 2024/2025, Habari mwanamichezo wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi itakayo kupa mwongozo wa kikosi kipya cha Yanga kwa msimu wa 2024/25, Kikosi hikhi kipya cha Yanga 2024 kimejumuisha wachezaji wote waliosajiliwa katika msimu huu mpya wa ligi kuu ya NBC ikiwa ni mchakato wa kuendeleza kile […]
Huyu Hapa Kocha Mpya Wa Manchester United Mrithi Wa Ten Hag
Huyu Hapa Kocha Mpya Wa Manchester United Mrithi Wa Ten Hag, Jumatatu ya tarehe 28 mashabiki na wapenzi wa soka duniani kote walishuhudia klabu kubwa duniani Man Utd ikimfukuza kocha wake mkuu Eric Ten Hag kufuatia matokeo mabovu ya mfururizo kwa takribani mechi 8. Matokeo yaliochangia kufukuzwa kwake ni mechi yake na West Ham Utd […]
Rodri Mshindi Wa Ballon d’Or Msimu wa 2024
Rodri Mshindi Wa Tuzo Ya Ballon d’Or Msimu wa 2024, Habari mwanamichezo wa Habariak24, Karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukupa matokeo ya kinyang’anyiro cha Macho yote ya wapenzi wa soka duniani kote yanaelekea Paris, Ufaransa, ambapo sherehe ya tuzo ya Ballon d’Or 2024 ilikofanyika na kutangazwa kwa mshindi. Tuzo hii ya heshima kubwa katika […]
Ten Hag Atimuliwa Man Utd
Ten Hag Atimuliwa Man Utd, Baada ya kuitumikia klabu ya Mancherster United kwa takribani miaka miwili na na miezi kadhaa hatimae kocha mkuu wa klabu hiyo Erik ten Hag amefukuzwa kazi kutokana na mfururizo wa matokeo mabovu ya timu hiyo. Maamuzi ya klabu ya Man United kumfuta kazi Ten Hag yamekuja baada ya mechi ya […]
Wafungaji Bora wa Muda Wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika
Wafungaji Bora wa Muda Wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Habari ya wakati huu mwanasoka wa Habarika24, niwakati mwingine tena tunakutana katika makala itakayo angazia juu ya Wafungaji Bora wa Muda Wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa undani wake. Kama wewe ni mwanasoka na fuatiliaji wa soka la Afrika hasa CAF Champions League basi […]
Wafungaji Bora wa Muda Wote Ligi Kuu Uingereza
Wafungaji Bora wa Muda Wote Ligi Kuu Uingereza, Ligi Kuu Uingereza (English Premier League) ni moja ya ligi maarufu na yenye ushindani mkubwa zaidi duniani. Imeanzishwa mwaka 1992, na tangu wakati huo imevutia wachezaji bora zaidi duniani kushiriki na kuonyesha uwezo wao. Historia ya Ligi Kuu Uingereza imejaa hadithi za wachezaji bora ambao wamepata umaarufu […]










