Link za Kujiunga na vyuo Vikuu Tanzania 2025/2026
Katika mwaka wa masomo wa 2025/2026, Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la maombi ya udahili kwa waombaji wa shahada ya kwanza. Inapendekezwa kutumia mwongozo rasmi pamoja na link za kujiunga na vyuo vikuu Tanzania 2025/2026 ili kupata taarifa sahihi na mchakato wa kujisajili. Vyanzo vya Taarifa Tovuti ya TCU Utaratibu kuu wa kujiunga unapatikana
Continue reading