Ada na Kozi Zinazotolewa na Chuo Kikuu cha MJNUAT
Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Mwalimu Julius K. Nyerere (MJNUAT) kilianzishwa rasmi mwaka 2012, makao yake makuu yakiwa wilayani Butiama, mkoani Mara. Chuo hiki kinakusudia kuwa kitovu cha mabadiliko ya kilimo nchini Tanzania kwa kutoa elimu bora katika kilimo, teknolojia, maendeleo ya jamii na biashara ya kilimo Kozi Zinazotolewa na MJNUAT MJNUAT inatoa programu za shahada ya kwanza (undergraduate)
Continue reading