Author Archive for: Kisiwa24 Blog

NAFASI za Kazi Amana Bank

Amana Bank ni benki ya kipekee nchini Tanzania inayojulikana kwa kufuata mfumo wa kibenki wa kikiislamu. Inatoa huduma mbalimbali za kifedha kwa wateja wake, ikiwa ni pamoja na akaunti za akiba, mikopo, na huduma za biashara, zote zikiendana na kanuni za Sharia. Benki hii inalenga kuwahudumia wateja wa aina mbalimbali, ikiwa ni pamoja na wafanyikazi, wafanyabiashara, na mashirika, kwa kutoa

Continue reading

NAFASI 15 za Kazi Dereva Daraja La II Arusha City Council

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Jiji la Arusha kuomba nafasi za kazi zilizotajwa hapo chini baada ya kupokea kibali chenye Kumb. Na. FA/97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala. DEREVA DARAJA LA II

Continue reading

NAFASI 8 za Kazi Ikungi District Council

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi amepokea kibali cha Ajira mpya chenye Kumb Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Hivyo anatangazia Watanzania wote wenye Sifa kutuma maombi kwa nafasi zilizopo. MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI ➢ Waombaji wote wawe Raia wa Tanzania wenye

Continue reading

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 19 June 2025

Habari ya wakati huu mwanakisiwa24 Blog. Karibu katika kurasa hii ya Magazeti ya leo Tanzania Juni 19, 2025, Hapa utaweza kupitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo tanzania. Kurasa hii inakupa fursa ya kuweza kusom vichwa vya habari zilizoweza kupewa uzito katika kurasa za mbele za Magazeti ya leo Alhamisi 19 June 2025 MAGAZETI ya Leo Alhamisi 19 June

Continue reading

PDF: MAJINA Walioitwa Kazi Taasisi Mbalimbali (UTUMISHI) 17 June 2025

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 02-09-2024 na tarehe 18-05-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi

Continue reading
error: Content is protected !!