Author Archive for: Kisiwa24 Blog

Orodha Ya Shule Za Sekondari Mkoa wa Iringa

Shule za Sekondari Mjini Iringa, Mkoa wa Iringa nchini Tanzania ni nyumbani kwa shule kadhaa za sekondari zinazotoa elimu kwa wanafunzi wa asili zote. Shule hizi hutoa elimu bora na kuandaa wanafunzi kwa elimu ya juu na nguvu kazi. Orodha ya shule za sekondari katika mkoa wa Iringa ni pana, na wazazi na wanafunzi wanaweza kuchagua kati ya shule mbalimbali.

Continue reading

Kikosi cha Simba SC 2025/2026 (Majina ya Wachezaji Wote)

Kikosi cha Simba SC Msimu wa 2024/2025, Habari ya wakati huu mwanamichezo wa Habraika24, Karibu katika makala hii ya kimichezo itakayoenda kuangazia kiundani juu ya kikosi kipya cha Simba Sc 2024/2025( Simba Squad list 2024/2025). Kama wewe ni shabiki wa klabu ya Simba (Wekundu wa Msimbazi) basi hauna budi kuweza kujua wachezaji wote wanaounda kikosi chote cha Simba msimu huu

Continue reading

MFANO wa Barua ya Maombi ya Kazi Uchaguzi Mkuu 2025

Katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC/NEC) imeitisha ajira za muda kwa ajili ya kusimamia vituo vya kupigia kura, wilaya, majimbo, na ngazi nyingine. Waombaji wanatakiwa kuwasilisha Barua ya Maombi ya Kazi Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 Tanzania ikiwa na sifa zinazohitajika. Makala hii inalenga kuwaongoza waombaji kwa muundo unaofaa, maneno sahihi na

Continue reading

Idadi ya Wabunge Tanzania 2025

Katika mwaka 2025, Tanzania inajiandaa kwa uchaguzi mkuu kwa kuzingatia idadi ya wabunge tanzania 2025, ambao imefanyiwa mabadiliko hayaonyesho mkusanyiko wa maslahi ya kitaifa. Tume ya Uchaguzi (INEC) imefanya marekebisho yenye umuhimu katika mfumo wa uwakilishi bungeni. Mabadiliko ya Majimbo na Idadi mpya ya Wabunge Majimbo yaliyopo: Uchaguzi Mkuu wa 2025 utatumia majimbo 272, ambapo 222 yapo Tanzania Bara na

Continue reading

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 30 June 2025

Habari ya leo mwana kisiwa24 blog karibu katika kurasa hii ya Magazeti ya Leo Tanzania,  hapa utaweza kupitia vichwa vya habari vya kwenye Mgazeti ya leo Tanzania Jumatatu Juni 30, 2025. Kurasa hii ya Magazeti ya Leo Tanzania Inakuapa fursa ya kuweza kusoma vichwa vya hapa vilivyoweza kupewa uzito kwenye kurasa za mbele za Magazeri ya leo Jumatatu 30 June

Continue reading

NAFASI za Kazi Mufindi District council

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora kilichotoa idhini ya utekelezaji wa nafasi za Ajira Mpya katika ikama ya mwaka wa fedha 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 na kibali cha ajira mbadala chenye Kumb. Na. FA. 228/613/01H/042 cha

Continue reading

Nafasi za Kazi Mlimba District council

Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imepata Kibali cha kutekeleza Ajira Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 April, 2025. Katika kutekeleza kibali hicho Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba anawatangazia wananchi wote raia wa Tanzania wenye sifa za kujaza nafasi. Nafasi za Kazi Mlimba

Continue reading

Kutoka kwa Diallo hadi Guirassy: Wachezaji Bora wa Kiafrika wa Msimu

Kampuni ya Kimataifa 1xBet Yakamilisha Msimu wa 2024/2025 Kwa Kutoa Tasnifu ya Nyota Wake Wa Kiafrika Bendi ya kimataifa 1xBet inakamilisha msimu wa 2024/2025 kwa kusisitiza nyota zake wa Kiafrika, wachezaji ambao vibao vyao vilitawaza ligi kuu za Ulaya. Endelea kufurahia mchezo ulioupenda: Bofya kiungo na uweke kamari kwenye matukio ya kusisimua. Kumbuka, kamari ni burudani, sio chanzo cha kipato.

Continue reading
error: Content is protected !!