Kisiwa24

rss feed

Kisiwa24's Latest Posts

Orodha ya Shule za Sekondari Mkoa wa Mwanza

Filed in Makala by on October 25, 2024 0 Comments

Orodha ya Shule za Sekondari Mkoa wa Mwanza Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga Orodha ya Shule za Sekondari mkoa wa Mwanza, Karibu katika mala hii fupi ambayo kwa kina itaenda kuangazia juu ya shule za sekondari zilizopo katika mkoa wa mwanza. […]

Continue Reading »

Wafungaji Bora wa Muda Wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika

Filed in Michezo by on October 25, 2024 0 Comments

Wafungaji Bora wa Muda Wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Habari ya wakati huu mwanasoka wa Habarika24, niwakati mwingine tena tunakutana katika makala itakayo angazia juu ya Wafungaji Bora wa Muda Wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa undani wake. Kama wewe ni mwanasoka na fuatiliaji wa soka la Afrika hasa CAF Champions League basi […]

Continue Reading »

Wafungaji Bora wa Muda Wote Ligi Kuu Uingereza

Filed in Michezo by on October 25, 2024 0 Comments

Wafungaji Bora wa Muda Wote Ligi Kuu Uingereza, Ligi Kuu Uingereza (English Premier League) ni moja ya ligi maarufu na yenye ushindani mkubwa zaidi duniani. Imeanzishwa mwaka 1992, na tangu wakati huo imevutia wachezaji bora zaidi duniani kushiriki na kuonyesha uwezo wao. Historia ya Ligi Kuu Uingereza imejaa hadithi za wachezaji bora ambao wamepata umaarufu […]

Continue Reading »

Kundi la Yanga SC Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Filed in Michezo by on October 25, 2024 0 Comments

Kundi la Yanga SC Klabu Bingwa Afrika 2024/2025, karibu mwanasoka wa Habarika24, hapa tutaenda kuangazia timu zilizopangwa na klabu ya Yanga ya Tanzania ali maarufu kama wana jangwani katika Michuano ya klabu bingwa Afrika. Young Africans Sports Club, maarufu kama Yanga, wameandika historia mpya katika mchezo wa soka Tanzania kwa kufuzu hatua ya makundi katika […]

Continue Reading »

Ratiba ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Filed in Michezo by on October 25, 2024 0 Comments

Ratiba ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025, Habari ya wakati huu mwanasoka wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi ya kimichezo itakayoenda kuangazia juu ya ratiba ya klabu bingwa Afrika 2024/2025. Kama wewe ni mfuatiliaji wa michezo hasa klabu bingwa Afrika basi hapa tutaenda kujadili na kuangalia ratiba ya michezo yote ya klabu bingwa […]

Continue Reading »

Ratiba ya Mechi za Yanga Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Filed in Michezo by on October 25, 2024 0 Comments

Ratiba ya Mechi za Yanga Klabu Bingwa Afrika 2024/2025, Habarin mpezi wa soka wa Habarika24, katika makal hii ya michezo tutaenda kutazama ratiba ya mechi za klabu ya yanga kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika msimu wa 2024/2025 (CAF Champions League). Kama wewe ni shabiki wa michuano ya klabu bingwa Afrika basi ni muhimu kutazama […]

Continue Reading »

Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

Filed in Michezo by on October 24, 2024 0 Comments

Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024 Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024, Klabu ya Simba Sports Club imejiandaa vizuri kwa ajili ya kushiriki […]

Continue Reading »

Ada, Fomu, Sifa na Kozi za Chuo cha Ualimu Safina Geita

Filed in Makala, Vyuo Mbali Mbali Vya Ualimu Tanzania by on October 22, 2024 0 Comments

Ada, Fomu, Sifa na Kozi za Chuo cha Ualimu Safina Geita , Chuo cha Ualimu Safina kilichopo mkoa wa Geita ni miongoni mwa vyuo bora vya ualimu nchini Tanzania. Chuo hiki kinatoa mafunzo ya ualimu katika ngazi mbalimbali na kina historia ndefu ya kutoa walimu wenye weledi. Katika makala hii, tutaangazia masuala muhimu kuhusu ada, […]

Continue Reading »

Ada, Fomu, Sifa na Kozi za Chuo cha Ualimu Ilonga

Filed in Makala, Vyuo Mbali Mbali Vya Ualimu Tanzania by on October 22, 2024 0 Comments

Ada, Fomu, Sifa na Kozi za Chuo cha Ualimu Ilonga, Chuo cha Ualimu Ilonga ni moja ya vyuo vinavyotoa mafunzo bora ya ualimu nchini Tanzania. Kilichopo katika mkoa wa Morogoro, chuo hiki kina historia ndefu ya kutoa walimu wenye weledi na ujuzi wa hali ya juu. Katika makala hii, tutaangazia masuala muhimu kuhusu ada, fomu […]

Continue Reading »

Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Filed in Makala, Vyuo Mbali Mbali Tanzania by on October 22, 2024 0 Comments

Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga Chuo Cha ADEM Bagamoyo, Chuo cha Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) kilichopo Bagamoyo ni miongoni mwa vyuo bora vya mafunzo ya uongozi wa elimu nchini Tanzania. Katika makala hii, tutaangazia masuala muhimu kuhusu kujiunga na chuo hiki, ikiwa ni pamoja na fomu za maombi, kozi zinazopatikana, na […]

Continue Reading »

WhatsApp Channel Join Now!