Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Ada za Masomo ya Udereva Chuo cha NIT 2025/2026
    Makala

    Ada za Masomo ya Udereva Chuo cha NIT 2025/2026

    Kisiwa24By Kisiwa24April 27, 2025No Comments4 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Ada za Masomo ya Udereva Chuo cha NIT, ada ya udereva chuo cha NIT, Habari ya wakati huu mwanakisiwa24, karibu katika makala hii itakayoenda kukupa mwongozo wa ada za kozi ya udereva katika chuo cha NIT.

    Je unafikilia kusoma kozi ya udereva katika chuo bora zaidi nchini Tanzania, basi ni muhimu pia kabla ya kutaka kujiunga na chuo cha NIT katika kozi ya udereva ukafahamu gharama za kozi hizo zitozwazo na chuo cha NIT.

    Hapa katika makala hii tutaenda kukupa mwongozo wa jumla juu ya;

    • Kozi za udereva zitolewazo na chuo cha NIT
    • Garama za ada kwa kila kozi
    • garama za ziada

    Tunapotaka kuzungumzia gharama za ada za kusomea udereva kutoka chuo cha NIT lazima kwanza tufahamu ni kozi zipi za udereva zinazotolewa na chuo cha NIT.

    Kozi za Udereva Zitolewazo na Chuo cha NIT

    Chuo cha NIT kinatoa mafunzo ya udereva katika ngazi kuu 2 ambazo ni

    1. Mfafunzo ya Msingi ya Udereva

    Hapa mwanafunzi hupewa mafunzo ya msingi kwenye fani ya udereva kama vile jinsi ya kuendesha na kulidhibiti gari lakini pia hupewa mafunzo juu ya matumizi ya barabara kama vile kuzijua na kutafsiri alama za barabarani

    Kozi hii ni ya muhimu sana kwa mtu anayefikilia kuanza safari yake ya udereva na kiujumla gharama za kujifunza kozi hii ni dogo ukilinganisha na umuhimu wa mafunzo yanayotolewa katika kozi hii.

    2. Kozi ya Udereva ya Juu

    Baada ya mafunzo ya msingi, mwanafunzi wa udereva huamia katika kozi ya udeteva ya juu. Kozi hii huwa na mafunzo makubwa zaidi katika fani ya udereva baada ya mwanafunzi kupata mafunzo ya msingi.

    Ada za Kozi ya Udereva Chuo cha NIT

    Chuo cha NIT ni nmiongoni mwa vyuo bora zaidi Tanzania kwa utoaji wa kozi za udereva. Chuo hiki kinatoa kozi mbalimbali za udereva kwa muda tofauti tofauti. Kozi hizi pia zinatofautiana katika gharama za ufundishwaji.

    Hapa chini ni mwongozo wa ada za kozi ya udereva Chuo cha NIT

    Kozi ya Msingi ya Udereva (Basic Driving Course)

    • Ada yake ni Tsh – 200,000
    • Muda wa Kozi – Siku 11

    Kozi ya Udereva wa Magari Makubwa (Heavy Goods Vehicle)

    • Ada yake ni Tsh – 515,000
    • Muda wa Kozi – Siku 15

    Kozi ya Madereva wa VIP (Advanced Drivers Grade II – VIP)

    • Ada yake ni Tsh – 400,000
    • Muda wa Kozi – Wiki 4

    Kozi ya Udereva wa Gari za Abiria (Passenger Service Vehicle)

    • Ada yake ni Tsh – 200,000
    • Muda wa Kozi – Siku 11

    Kozi ya Udereva Maalum (Senior Driver Course)

    • Ada yake ni Tsh – 450,000
    • Muda wa Kozi – Wiki 6

    Kozi ya Waendeshaji wa Forklift (Forklift Operator’s Training)

    • Ada yake ni Tsh – 400,000
    • Muda wa Kozi – Siku 5

    Gharama za Ziada za Kozi ya Udereva Chuo Cha NIT

    Nje ya ada za msingi za kozi za udereva kutoka chuo cha NIT pia kuna gharama za ziada ambazo mwombaji wa kozi ya udereva katika chuo cha NIT itampasa kulipa, gharama hizo ni pamoja na

    Ada ya Maombi:

    • Tshs 10,000
    • Ada hii huwa hairejeshwi baada ya kufanyiwa malipo.Kwa muombaji wa nafasi ya kozi ya udereva ili kufanya malipo ya ada ya maombi fuata maelekezo yanayopatikana kwenye tovuti rasmi ya chuo- www.nit.ac.tz.

    Ada ya Awali ya Mtihani:

    • Tshs 20,000
    • Ada hii hulipwa kwa  waombaji wa kozi za PSV, HGV, INDUSTRIAL, na VIP.
    • Ili kujiunga na kozi hizi Waombaji wanatakiwa kufaulu mtihani wa majaribio.

    Ada ya Maombi ya MBA

    • Tshs 30,000( Tanzania) na
    • USD 25 kwa waombaji wa Nje
    • Ada hii hutozwa kwa kozi za Master of Business Administration katika Usimamizi wa Usafirishaji na Usafiri.

    Mwongozo wa Malipo ya Ada

    Malipo haya ya Ada na gharama za ziada kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga na kozi yoyote ile ya udereva kama tulivyoainisha hapo juu wanapaswa kuzilipa mapema zidi kabla ya muhura kuanza. Malipo ya ada na kozi hufanyika kupitia mfumo wa kiserikali wa  GePG kupitia namba ya malipo ya chuo (University Control Number) ambayo mwanafunzi ataipata chuoni.

    Gharama Za Malazi na Makazi

    Gharama zilizo orodheshwa hapo juu ni gharama za malipo ya kozi, kwa upande wa Malazi na Makazi Chuo cha NIT hakijushughulishi hivyo mwanafunzi atajitegemea kwa upande wa malazi na makazi.

     

    Kwa maelezo Zaidi Unaweza Wasiliana na Uongozi wa Chuo

    Simu: +255 22 2400148/9

    Fax: +255 22 2443140

    Simu ya Mkononi:

    • +255 684 757 774
    • +255 762 202 215
    • +255 713 794 870
    • +255 782 422 199

    Barua pepe: admission@nit.ac.tz

    Au unaweza kutembela tovuti rasmi ya chuo kupitia linki – www.nit.ac.tz.

    Hitimisho

    Chuo cha NIT kimekua kitovu cha uzalishaji wa madereva wapya kila kukicha wenye taaluma na kwa wale madereva mwenye uzoefu hutumia chuo hiki ili kuongeza maalifa.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Mwongozo wa Bei ya Leseni ya Udereva Tanzania

    2. Mwongozo wa Jinsi Ya Kupata Leseni Ya Udereva Tanzania

    3. Aina za Madaraja ya Leseni za Udereva Nchini Tanzania

    4. Jinsi ya Kujisajili na Kutumia App ya Startimes ON

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKozi za Udereva Chuo cha NIT 2025/2026
    Next Article Fomu za Za Kujiunga Vyuo Vya Ualimu 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.