TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Nauli Mpya za Treni ya Mwendokasi SGR 2025

Filed in Makala by on June 2, 2025 0 Comments

Treni ya Mwendokasi ya SGR imekuwa njia bora ya usafiri kati ya miji mikubwa nchini Tanzania. Kwa mwaka 2025, Nauli mpya za SGR zimebadilika ili kuendana na maendeleo ya huduma, gharama za uendeshaji, pamoja na mahitaji ya abiria. Hapa tunakuletea taarifa kamili, sahihi na ya kina kuhusu nauli hizi mpya ili uweze kupanga safari zako kwa ufanisi.

Vigezo Vilivyotumika Kupanga Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR

Hapa ni mwongozo wa vigezo viliovyotumika katika kupanga nauli za treni ya mwendokasi

  1. Umbali
  2. Umri wa Abiria

Kwa kuzingatia kigezo cha umli mamlaka imetaja kua watoto wenye umri wa zaidi ya miaka 12 na watu wazima nauli kwa umbali wa kilomita moja itakua Tsh 69.51, kwa watoto wenye umri kuanzia miaka 4 hadi 12 nauli imetajwa kua Tsh. 34.76 kwa kilomita moja. Na kwa watoto wote walio chini ya umri wa miaka 4 watasafiri bure

Nauli Mpya Za Treni Ya Mwendokasi SGR

Nauli Mpya Za Treni Ya Mwendokasi SGR

Muhtasari wa Nauli Mpya za SGR 2025

Kwa mwaka 2025, nauli za Treni ya Mwendokasi zimetangazwa rasmi kwa safari kati ya vituo mbalimbali. Nauli hizi zimegawanywa kulingana na daraja la huduma (daraja la kwanza, daraja la pili), aina ya treni (express au ordinary), na umbali wa safari.

Daraja la Kwanza (First Class)

  • Dar es Salaam hadi Morogoro: 60,000 TZS

  • Dar es Salaam hadi Dodoma: 130,000 TZS

  • Dar es Salaam hadi Makutupora: 150,000 TZS

Daraja la Pili (Economy Class)

  • Dar es Salaam hadi Morogoro: 30,000 TZS

  • Dar es Salaam hadi Dodoma: 70,000 TZS

  • Dar es Salaam hadi Makutupora: 80,000 TZS

Nauli Mpya za treni ya mwendokasi SGR 2025

Hizi ndizo Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR 2025 Kwa Abiria Wenye umri zaidi ya miaka 12

Safari   Umbali (Km) Nauli (Shilingi)
Kutoka Kwenda Daraja la Kawaida
Dar es Salaam Pugu 19 1000
Dar es Salaam Soga 51 4000
Dar es Salaam Ruvu 73 5000
Dar es Salaam Ngerengere 134.5 9000
Dar es Salaam Morogoro 192 13000
Dar es Salaam Mkata 229 16000
Dar es Salaam Kilosa 265 18000
Dar es Salaam Kidete 312 22000
Dar es Salaam Gulwe 354.7 25000
Dar es Salaam Igandu 387.5 27000
Dar es Salaam Dodoma 444 31000
Dar es Salaam Bahi 501.6 35000
Dar es Salaam Makutupora 531 37000

Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR 2024 Kwa Abiria Wenye umri Kuanzaia Miaka 4 hadi 12

Safari Umbali (Km) Nauli (Shilingi)
Kutoka Kwenda Daraja la Kawaida
Dar es Salaam Pugu 19 500
Dar es Salaam Soga 51 2000
Dar es Salaam Ruvu 73 2500
Dar es Salaam Ngerengere 134.5 4500
Dar es Salaam Morogoro 192 6500
Dar es Salaam Mkata 229 8000
Dar es Salaam Kilosa 265 9000
Dar es Salaam Kidete 312 11000
Dar es Salaam Gulwe 354.7 12500
Dar es Salaam Igandu 387.5 13500
Dar es Salaam Dodoma 444 15500
Dar es Salaam Bahi 501.6 17500
Dar es Salaam Makutupora 531 18500

Nauli Mpya Za Treni Ya Mwendokasi SGR

Kama tulivyosema hapo awali mchanganuo wa anaulio hapo juu umezingatia kigezo cha umbali utoka Dar es Salaam kwenda kituo kingine kama vile tumeona nauli ya treni ya mwendokasi SGR kutoka Dar es Salaam kwenda morogoro na vile vile nauli ya treni ya mwendokasi SGR kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kwa daraja la kawaida na kuzingatia umbali wa safari kwa kilometa.

Soma Pia;

1. Ratiba ya treni ya SGR Dar to Morogoro

2. Ratiba ya Treni ya SGR Dar to Dodoma

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags: , , , , , ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *