VIINGILIO Yanga SC vs Coastal Union 07 April 2025

VIINGILIO Yanga SC vs Coastal Union 07 April 2025

VIINGILIO Yanga SC vs Coastal Union 07 April 2025

Siku ya jumatatu ya tarehe 07 April 2025 mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara Yanga SC itaenda kucheza mchezo wake unaofuta wa 24 na klabu ya Coastal Union katika uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam.

VIINGILIO Yanga SC vs Coastal Union 07 April 2025

Kuelekea mchezo huo wenyeji Yanga kupitia msemaji wake Ally Kamwe imetangaza viingilio kwa mchezo huo na kuwahasa mashabiki wa Yanga kujitokeza kwa wingi kwa kukata tikeki zao mapema ili kuendelea kuisapoti klabu yao.

Hapa chini ni viingilio vya mchezo huu wa Yanga vs Coastal Unioni utakaofanyika kuanzia majira ya saa 10:00 za jioni;

  • VIP A;  Tsh 20,000
  • Mzunguuko;  Tsh 10,000

VIINGILIO Yanga SC vs Coastal Union 07 April 2025

Kama unahitaji kukata tiketi ya mchezo huu kupitia njia ya mtandaoni basi BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!