Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 01 February 2025
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 01 February 2025
Michezo

Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 01 February 2025

Kisiwa24
Last updated: January 31, 2025 6:21 am
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar 01 February 2025, Bei ya tiketi mechi ya Yanga vs Kagera Sugar Jumamosi 01/02/2025, Habari karibu katika kurasa hii ya kimichezo ambayo kwa kina itaenda kukupa mwongozo wa viingilio kwenye mchezo wa kipolo wa ligi kuu ya NBC utakaofanyika siku ya Jumamosi tarehe 01/02/2025 kwenye uwanja wa KMC Complex ulioko jijini Dar es Salaam maeneo ya Mwenge.

Baada ya Ligi kuu ya NBC kusimama kwa takribani mwezi mmoja siku ya jumamosi inaanza tena kwa mzunguko wa 2 lakini utaanza kwa kumalizia viporo vya timu mbili ya Yanga SC na Simba Sc ili kukamilisha mechi za mchezo wa Kwanza.

Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar 01 February 2025

Kuelekea mchezo wa february 01, 2025 kati ya Yanga SC vs Simba SC tayari bei ya tiketi kwenye mchezo huo zimesha tangazwa hivyo basi ikiw unataka kwenda kushuhudia mchezo huu huna budi kufahamu viingilio harisi vya mchezo huu.

Hapa chini tumekuwekea viingilio harisi kwa mchezo huu wa Yanga vs Kagera Suger, Viingilio vya mchezo huu vimegawanywa katika makundi makuu mawili Mzunguko na VIP A.

Mzunguko – Tsh 10,000

VIP A – Tsh 20,000

 

Tathimini ya Mchezo

Mchezo huu utakua wa kuvutia huku Yanga ikihitaji mchezo huu kwa hali na mari kwani hadi sasa kwenye msimamo wa ligi klabu ya Yanga iko katika nafasi ya 2. Kwa sasa Yanga haishiriki mashindano yoyote yale ya kimataifa baada ya kuondolewa katika hatua ya makundi ya michuano ya klabu bingwa Afrika, Hivyo basi nguvu na juhudi kwa klabu hii zitarejeshwa kwenye ligi kuu ya NBC na kufanya mechi hii kua ya kuvutia azaidi.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Tabora Utd vs Simba Sc Leo 2/02/2025 Saa Ngapi?

2. Ligi Bora Africa 2025

3. Tazama Hapa Makundi ya AFCON 2025 

4. Orodha ya Mabingwa Kombe la Shirikisho Afrika

5. Orodha Ya Mabingwa Klabu Bingwa Afrika

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025 (Ligi Daraja la Kwanza)

CV ya Mamadou Samake Mchezaji Mpya wa Azam FC

Ratiba ya NBC Championship Tanzania 2024/2025 Ligi Daraja la Kwanza

Matokeo Simba Vs Stellenbosch Fc Leo 20 April 2025

Jumla ya Makombe ya Simba na Yanga

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Jinsi ya Kuweka Umeme Kwenye Mita Jinsi ya Kuweka Umeme Kwenye Mita 2025
Next Article Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 2/02/2025 Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026

You Might also Like

Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi?
Michezo

Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi?

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Yanga Vs Simba Vita ya Jadi Jumamosi October 19, 2024
Michezo

Yanga Vs Simba Vita ya Jadi Jumamosi October 19, 2024 Nani Kuibuka Mshindi?

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
KIKOSI cha Simba Sc vs JKT Tanzania Leo 05 May 2025
Michezo

KIKOSI cha Simba Sc vs JKT Tanzania Leo 05 May 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Michezo

CAF Yabadilisha Refa Mechi ya Stellenbosch vs Simba Sc

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Msimamo Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika 2024/2025
Michezo

Msimamo Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Kikosi cha Yanga vs KMC Leo 14 Februari 2025
Michezo

Kikosi cha Yanga vs KMC Leo 14 Februari 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner