TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Wafungaji Bora CAF Champions League 2024/2025

Filed in Michezo by on April 25, 2025 0 Comments

Wafungaji Bora CAF Champions League 2024/2025, Msimamo wa wafungaji bora ligi ya mabingwa Afrika 2024/2025, Vinara wa magoli ligi ya mabingwa Afrika 2024/2025, Orodha ya wafungaji wa muda wote CAF Champions League 2024/2025. Habari ya wakati huu mwanamichezo wa Kisiwa24 Blog karibu katika kurasa hii fupi ya kimichezo ambayo itaenda kukuonyesha orodha ya wafungaji bora kwenye ligi ya mabingwa ulaya (CAF Champions League top scores 2024/2025)

Ligi ya mabingwa aFRIKA kwa msimu wa 2024/2025 tayari umesha anza na mabadiliko mendi hasa ya kimfumo yametendeka ukilinganisha na misimu iliyopita. Wachezaji tayari wamesha anza kuonyesha uwezo wao wa ufungaji magoli na tayari orodha imesha anza kujitengeneza.

Ushindani umekua mkubwa zaidi kwa baadhi ya wachezaji kwenye kinyang’anyilo cha ufungaji bora huku ikiobeza msisimuko wa ligi.

Msimamo wa wafungaji bora ligi ya mabingwa Afrika 2024/2025

# Player Team GOAL
1 Youcef Belaïli Esperance Tunis 7
2 Ibrahim Adel Pyramids FC 6
3 Fiston Mayele Pyramids FC 6
4 Emam Ashour Al Ahly FC 5
5 Stephane Aziz Ki Young Africans SC 5
6 Relebohile Mofokeng Orlando Pirates 4
7 Mohamed Abdelrahman Al-Hilal Club (Omdurman) 4
8 Wessam Abou Ali Al Ahly FC 4
9 Clement Mzize Young Africans SC 4
10 Aimen Mahious CR Belouizdad 4
11 Joel Beya AS FAR Rabat 4
12 Nawfel Zerhouni Raja Club Athletic 3
13 Mohau Nkota Orlando Pirates 3
14 Elias Mokwana Esperance Tunis 3
15 Percy Tau Al Ahly FC 3
16 Prince Dube Young Africans SC 3
17 Adepoju Oluwaseun Dekedaha FC 3
18 Iqraam Rayners Mamelodi Sundowns FC 3
19 Hussein El Shahat Al Ahly FC 3
20 Gabriel Dadzie AS Arta/Solar7 3

Hatua ya makundi imesha kamilika na timu 16 tayari zimesha fuzu kuingia hatua ya robo fainali.

Timu zilizofuzu hatua ya Robo Fainali Klabu bingwa Afrika 2024/2025

Nafasi Timu Nchi
1 Al Hilal Omdurman Sudan
2 ASFAR Morocco
3 Pyramids FC Misri
4 Orlando Pirates Afrika Kusini
5 Al Ahly Misri
6 MC Alger Algeria
7 Raja Club Athletic Morocco
8 Espérance Sportive de Tunis Tunisia

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ratiba Ya Ligi Ya Mabingwa Ulaya 2024/2025

2. Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025

3. Msimamo Ligi ya Mabingwa Ulaya 2024/2025

4. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

5. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025

6. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika 2025

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags: , , , ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *