Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»KIKOSI Yanga Vs MC Alger Leo 18 January 2025
    Michezo

    KIKOSI Yanga Vs MC Alger Leo 18 January 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 17, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    KIKOSI Yanga Vs MC Alger Leo 18 January 2025

    Habri mwanasoka wa Kisiwa24, karibu tena katika kurasa hii ya kimichezo ambayo kwa kina itaenda kuangazia juu ya kikosi cha Yanga kitakachoenda kuumana na klabu ya MC Alger leo jumamosi 18/01/2025 katika mechi ya roundi ya 6 na mwisho ya michuano ya ligi ya mabingwa Afrika hatua ya makundi msimu wa 2024/205.

    Ikumbukwe ya kua hii ni mechi ya marudiano baada ya mcheo wa kwanza uliozikutanisha klabu hizi za kundi A mnamo 26 November 2024 na Yanga kupoteza mchezo huo kwa kufungwa Goli 2 kwa Sifuri katika uwanja wa Stade du 5 Juillet 1962.

    Mchezo huu ni mchezo wa muhimu kwa timu zote mbili kwani timu itakayoshinda mchezo huu itakua imejikatia tikeni ya kuweza kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa Afrika 2025. MC Alger ili kuweza kufuzu hatua ya robo fainali inahitaji sare tu katika mchezo huu lakini kwa upandea wa Yanga ili iweze kusonga mbele inahitaji ushindi katika mchezo huu.

    KIKOSI Yanga Vs MC Alger Leo 18 January 2025

    Kisiwa24 Blog ni wajibu wetu kuhakikisha tunakuletea taarifa zote za muhimu kuhusu mchezo huu na hapa katika kurasa hii tunaenda kukuonyesha kikosi cha Yanga kitakachoweza kuingia uwanjani dhidi ya MC Alger. Ingawa kikosi bado hakijatangazwa tunatarajia kukiona kikosi saa moja kabla ya mchezo kuanza. Hapa ni majina ya wachezaji wa klabu ya Yanga ambao ndio watakaoenda kuunda kikosi kitakachocheza dhidi ya MC Alger.

    KIKOSI Yanga Vs MC Alger Leo 18 January 2025

    Bakari Nondo Mwamnyeto

    Ibrahim Abdallah Hamad

    Stéphane Aziz Ki

    Kouassi Attohoula Yao

    Kennedy Musonda Jr.

    Peodoh Pacôme Zouzoua

    Mudathir Yahya Abbas Abasi

    Nickson Clement Kibabage

    Duke Ooga Abuya

    Djigui Diarra

    Khomeiny Abubakar

    Khalid Aucho

    Faridi Malik Mussa Shaha

    Kibwana Ally Shomari

    Clatous Chota Chama Junior

    Jonas Gerard Gellard Mkude

    Shekhani Ibrahim Khamis

    Prince Mpumelelo Dube

    Denis Daud Nkane

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi?

    2. MATOKEO Yanga vs MC Alger 18/01/2025

    3. CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

    4. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025

    5. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika 2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi?
    Next Article Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga vs MC Alger 18/01/2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.