Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga
Michezo

CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

Kisiwa24
Last updated: January 17, 2025 9:22 pm
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

CV ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

Habari mwanamichezo wa Kisiwa24, karibu katika makala hii fupi ya kimichezo ambayo itaenda kuangazi ajuu ya Cv ya Jonathan Ikangolomba mchezaji mpya wa Yanga, hapa tutakugia tarifa kadhaa za mchezaji huyu kama vileUmiri wa Jonathan Ikangalombo, timu alizo wahikuchezea Jonathan Ikangalombo klabla ya kusajiliwa na Yanga SC pia tutatazama hitoria ya Jonathan Ikangalombo katika ulimwengu wa soka, maisha klabla ya soka ya Jonathan Ikangalombo

CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji

Jina kamili anaitwa Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo, amezaliwa tarehe 5 April 202 nchi DR Congo kwa sasa anaumri wa miaka 23, Hivyo kiasili Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo yeye ni raia wa nchi ya DR Congo. Jonathan Ikangalombo anakimo kizuri cha ulefu kinachoweza kumfanya aweze kua na uhuru wa kucheza mipira ya aina yote hata ile ya juu kwani anaurefu wa Mita 1.80 ambao ni sawa na Sentimeta 180.

Jonathan Ikangalombo akiwa uwanjani anaweza kutumika katika nafasi tofauti tofauti lakini kiuchezaji Jonathan Ikangalombo hucheza nafasi ya winga wa kulia japo anaweza kutumika pia katika nafasi ya winga wa kushoto na wakatimwingine kama mshabuliaji.

Jonathan Ikangalombo Amecheza klabu kadhaa kabla kusajiliwa na Yanga katika dirisha dogo la usajili la January 2o25, klabu alizoweza kuchezea Jonathan Ikangalombo ni pamoja na DC Motemapembe pamoja na AS Vita zote za Nchini DR Congo.

Kwa sasa Jonathan Ikangolomba yuko nchini Tanzania akitioa huduma yake katika klabu ya wana jangwani Yanga SC, amejiunga na Yanga tarehe 16 January 2025

CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

Maelzo ya CV ya Jonathan Ikongolomba kwa Kifupi

CV ya Jonathani Ikangalombo

1 Jina Kamili Jonathan Djogo Kapela Ikangalombo
2 Umri Miaka 23
3 Urefu Miter 1.80
4 Tarehe ya Kuzalia 5 April 2002
5 Uraia DR Congo
6 Nafasi yake Uwanjani Winda wa Kushoto, kulia na mshambuliaji
7 Timu alizowahi Kucheza DC Motemapembe, AS Vita – zote za Kongo
Timu ya Sasa Yanga SC (16 January 2025)

 

Tazama Video ya Utambulisho wa Jonathan Ikangalombo Yanga

https://habarika24.com/wp-content/uploads/2025/01/1669365782.mp4

 

Umuhimu wa Usajili wa Jonathan Ikongalombo Yanga SC.

Usajili huu unaumuhimu mkubwa sana kwa klabu ya Yanga ikiwa nisehemu ya kuendelea kufanya uboreshaji wa kikosi chake katika safu ya Winga, sasa kwa kipindi hiki ambacho klabu ya Yanga inaenda kutafuta nafasi ya kusonga mbele katika michuano ya klabu bingwa Afrika na pia maandalizi ya msimu wa pili wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara 2024/2025.

Mtarajajio ya Wanachi Kwenye Usajili wa Jonathani Ikongalombo

Mashabiki wa klabu ya Yanga kama wajulikanavyo wananchi watarajie makubwa kutoka kwa mchezaji huyu kwani amekuja kuleta changamoto kubwa kwa baadhi ya wachezaji waliopo katika kikosi cha Yanga kitu kitakachoweza kuongeza uwajibikaji miongoni mwa wachezaji na kuleta matokeo chanya katika michezo itakayochezwa.

Mapendekezo ya Mhariri

1. Tetesi za Usajili Dirisha Dogo Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025

2. Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania

3. Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

4. Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

5. Orodha ya Makombe yenye Thamani Kubwa Zaidi Barani Ulaya

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Matokeo Ya  Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika

Takwimu za Simba na Yanga Kufungana

Ratiba ya Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2024/2025

Timu Zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika 2025

Idadi ya Magoli ya Pele

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025 VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025
Next Article Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi? Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi?
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026

You Might also Like

Jinsi ya Kuweka na Kutoa Pesa M-Bet
Kampuni Za Kubeti TanzaniaMakalaMichezo

Jinsi ya Kuweka na Kutoa Pesa M-Bet

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read

Jumla ya Makombe ya Simba Tangu Mwaka 1936

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025
Michezo

Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Matokeo ya Yanga SC vs Simba SC Live Leo 8 Augosti 2024
Michezo

Matokeo ya Yanga SC vs Simba SC Live Leo 8 Augosti 2024 Ngao ya Jamii

Kisiwa24 Kisiwa24 6 Min Read
Ratiba ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025
Michezo

Ratiba ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 7 Min Read
Ligi Bora Africa 2024
Michezo

Ligi Bora Africa 2025 | Viwango vya ubora CAF Ranking

Kisiwa24 Kisiwa24 9 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner