Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania
    Makala

    Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania

    Kisiwa24By Kisiwa24December 30, 2024No Comments4 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania, Code za Simu Tanzania, namba za simu Tanzania, Habari ya wakati mwingine tena mwanakisiwa24, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kupitia code za utambulisho wa mitandao ya simu nchini Tanzania.

    Kutokana na maendeleo ya kiulimwengu swala la mawasiliano limekua likizidi kuboreshwa kila kukicha, ikumbukwe kua hapo awali mawasiliano yalikua yakifanywa kwa njia  ya barua na kumfikia mlengwa kwa muda mlefu, lakini mapinduzi ya teknolojia yameweza kurahisisha sekta ya mawasiliano hadi kufikia kuwepo kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Simu ndio njia pekee ya kupasha habari kwa haraka zaidi.

    Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania

    Kila nchi inautambulisho wake maalumu wa code za simu. Tanzania kama ilivyokua nchi nyingine Duniani pia inautambulisho wa code za simu ambazo hutambulisha umiliki wa simu ni kutoka Tanzania. Lakini pia kila kampuni ya mawasiliano iliyoko Tanzania ina utambulisho wake maalumu unaoitofautisha kampuni hiyo ya simu na mitandao mingine ya simu.

    Aina ya itandao ya Simu Tanzania

    Tanzania ni nchi endelevu katika swala la teknolojia kama yalivyokua mataifa mengine. Kwenye ulimwengu wa mawasiliano Tanzania pia imeshuhudia kukua kwake kwa kua na idadi kubwa ya makampuni yaa simu. Hapa chini ni kampuni za mawasiliano ya simu zinazopatikana Tanzania.

    1. Tigo/Yasi

    2. Vodacom

    3. Airtel

    4. Halotel

    5. TTCL

    6. Zantel

    Muundo wa Namba za Simu Tanzania

    Kama ilivyo kwa mataifa mengine Tanzania pia hufuata utaratibu maalumu kwenye muundo wa namba za mawasiliano ya simu za mkononi. Muundo harisi wa namba za simu za Tanzania hugawanyika katika makundi matatu (3)

    1. Code ya Taifa Huundwa na tarakimu 3 ikianza na alama ya + (+255)

    2. Nambali maalumu za kamuni husika ya simu, Huundwa na kwa tarakimu 3, kutokana na code za mtandao husika, Mfano mfano Vodacom 076

    3. Nmabali za Mtumiaji hizi, huundwa na Tarakimu 7, Tarakimu hizi huwa ni tarakimu pekee kwa kila mtumiaji hazifanani kutoka mtumiaji mmoja kwenda mwingine ndani ya mtandato mmoja wa simu

    Hivyo basi kulingana na mgawanyo huo wa namba za simu za mitandao Tanzania muundo wa namba hizo huundwa kwa jimla ya Taraikimu 12 amabozo ni

    • Code ya Taifa + Code ya Mtandao husika + Namba pekee ya mtumiaji (Mfano – +255765 563 762)

    Njinsi ya Upigaji simu Tanzania

    Kwa mtumiaji wa simu aliyeko Tanzania ili apige simu kwa mtu mwingine ndani ya Tanzania anaweza kutumia tu code ya mtandao husika ikianza na tarakimu 0 kufuatiwa na namba pekee za mtumiaji (Mfano 0756 243 252) lakini pia anaweza anza na muundo wa code ya Taifa ( Mfano – +255765 563 762)

    Kwa simu za kutoka nje ya nchi mpigaji simu itamlazimu kufuata muundo wa kuanza na code ya Nchi kisha code ya mtandao husika wa simu na kumalizia na namba pekee ya mtumiaji wa simu (Mfano – +255765 563 762 )

    Code Za Mitandao ya Simu Tanzani

    1. Code Za Mtandano wa Vodacom Tanzania (MNC)

    Mtandao wa simu wa Vodacom Unacode kuu nne ambazo ni

    • 0746
    • 0745
    • 0754
    • 0755

    2. Code Za Mtandano wa Tigo Tanzania (MNC)

    Mtandao wa simu wa Tigo/Yas unajumla ya code 6, amabzo ni

    • 0712
    • 0713
    • 0714
    • 0715
    • 0716
    • 0652

    3. Code Za Mtandano wa Airtel Tanzania (MNC)

    Kwa upande wa mtandao wa simu wa Airtel unajumla ya code 6, amabazo ni

    • 0784
    • 0785
    • 0786
    • 0787
    • 0788
    • 0688

    4. Code Za Mtandano wa Halotel Tanzania (MNC)

    Halotel ni mtandao mpya wa simu ukilinganisha mitandao ya simu kama vile Tigo, airtel na Vodacom, mtandao huu wa Halotel unajumla ya code 3, ambazo ni

    • 0768
    • 0769
    • 0620

    5. Code Za Mtandano wa Zantel (MNC)

    Kwa mtandao wa Zazntel ambayo kwa sasa imeingia ushirika na mtandao wa Tigo/Yas ina code kuu moja ambayo ni

    • 077

    Mapendekezo ya Mhariri;

    Orodha ya Vyuo Vya Afya vya Serikali Morogoro

    Mwongozo wa Bei Ya Magodoro ya Dodoma

    Mwongozo wa Bei Ya Magodoro ya Comfy

    Mwongozo wa Bei Za Magodoro ya GSM

    Jinsi ya Kuandika Barua ya Kirafiki

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleOrodha ya Vyuo Vya Afya vya Serikali Morogoro
    Next Article Jinsi ya kuangalia Namba ya Simu Mitandao Yote
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.