NAFASI ZA KAZI UCHAGUZI MKUU 2025 (BOFYA HAPA)

_________________________________________________

BARUA YA KUOMBA KAZI UCHAGUZI MKUU 2025(BOFYA HAPA)

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Simba SC 2025/2026

Filed in Michezo by on July 2, 2025 0 Comments

Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Simba SC 2025/2026, Mishahara Ya Wachezaji Wa Simba 2025/2026. Habari mwana Simba SC na shabiki wa mpira wa miguu, karibu kwenye makala hii fupi itakayokupa mwongozo wa makadirio ya mishahara wanayoweza kua wanalipwa wachezaji wa klabu ya Simba SC kwa msimu huu wa 2025/2026.

Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Simba SC

Kuhusu Simba SC

Klabu ya Simba ali maarufu kama wekundu wa msimbazi ni moja ya klabu kubwa Tanzania na hata barani Afrika kutokana na ushindani wake katika michuano mbalimbali. Kwenye msimamo wa virabu bora Afrika klabu ya Simba kwa mujibu wa CAF inashika nafasi ya 7

Klabu ya Simba hutumia picha ya mnyama Simba katika nembo yake kama utambulisho wake

Simba imekua moja ya klabu zenye kulipa mishahara mikubwa zaidi kwa wachezaji wake kitu ambacho kimeperekea wachezaji wengi kutoka mataifa tofauti tofauti barani Afrika kutamani kujiunga na klabu hiyo.

MAkala hii kama tulivyokwisha kusema tutaenda kuangazia kwa wastani kiasi wanacholipwa baadhi ya wachezaji wa klabu ya Simba kutokana na taarifa zinazokuwa zikipatikana wakati wa usajili wa mchezaji husika.

Mishahara Ya Wachezaji Wa Simba 2025/2026

Jedwali la hapa chini linaonyesha makadilio ya mishahara ya baadhi ya wachezaji wanaoitumikia klabu ya Yanga kwa msimu wa 2024/2025.

Jina la Mchezaji Taifa Lake Mshahara (TZS)
Aishi Salum Manula Tanzania 14 Milioni
Peter Banda Malawi 6 Milioni
Nasolo Kapama Tanzania 2.5 Milioni
Moses Phiri Zambia 15 Milioni
Luis Miqussion Tanzania 8.1 Milioni
Fondoh Che Malone Cameroon 9 Milioni
Aubian Kramo Cote d’Ivoire 9 Milioni
Mohamed Hussein Tanzania 10 Milioni
Shomari Kapombe Tanzania 10 Milioni
Hamisi Kazi Tanzania 2.2 Milioni
Sadio Kanouté Mali 16 Milioni
Mzamiru Yassin Tanzania 7 Milioni
Devid Kameta Tanzania 2 Milioni
Husein Abel Tanzania 2 Milioni
Ally Salim Juma Tanzania 1.8 Milioni
Fabrice Ngoma DR Congo 7 Milioni
Henoc Inonga Baka DR Congo 11 Milioni
Kennedy Juma Tanzania 3 Milioni
Saido Ntibanzokiza Burundi 6.2 Milioni
Israel Patrick Mwenda Tanzania 2 Milioni
Denis Kibu Tanzania 3.7 Milioni
Jimson Stephen Mwanuke Tanzania 1,000,000
Willy Onana Cameroon 6 Milioni
Hussein Hasan Tanzania Mshahara haujafahamika
Auyoub Lakrey Morocco Mshahara haujafahamika
Hussein Abel Tanzania 2.1 Milioni

Sababu za Mishahara yao Kuwa Juu

Kunasababu kadhaa zinazoweza kusababisha mishahara ya wachezaji wa Simba SC kuweza kutofautiana kutoka mchezaji moja hadi mwingine. Hapa chini ni miongoni mwa baadhi ya sababu hizo tu.

1. Uzoefu wa Kimataifa

2. Umahiri wa Kipekee

3. Ushindani wa Soko

4. Mchango kwa Timu

5. Umaarufu kwa Mashabiki

Hata hivyo klaba ya Simba imezidi kua tishio katika michuano mbalimbali ndani na nje ya Tanzania. Kwa msimu huu wa 2024/2025 klabu ya Simba ndio klabu pekee inayoshiriki michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika na sasa iko kwenye hatua ya makundi na imepangwa katika kundi A.

Kwa Matangazo ya AJIRA Mpya kila siku BONYEZA HAPA

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!