Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Simba SC 2024/2025
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Simba SC 2024/2025
Michezo

Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Simba SC 2024/2025

Kisiwa24
Last updated: December 25, 2024 9:00 pm
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Simba SC 2024/2025, Mishahara Ya Wachezaji Wa Simba 2024/2025. Habari mwana Simba SC na shabiki wa mpira wa miguu, karibu kwenye makala hii fupi itakayokupa mwongozo wa makadirio ya mishahara wanayoweza kua wanalipwa wachezaji wa klabu ya Simba SC kwa msimu huu wa 2024/2025.

Kuhusu Simba SC

Klabu ya Simba ali maarufu kama wekundu wa msimbazi ni moja ya klabu kubwa Tanzania na hata barani Afrika kutokana na ushindani wake katika michuano mbalimbali. Kwenye msimamo wa virabu bora Afrika klabu ya Simba kwa mujibu wa CAF inashika nafasi ya 7

Klabu ya Simba hutumia picha ya mnyama Simba katika nembo yake kama utambulisho wake

Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Simba SC
Simba SC Logo

Simba imekua moja ya klabu zenye kulipa mishahara mikubwa zaidi kwa wachezaji wake kitu ambacho kimeperekea wachezaji wengi kutoka mataifa tofauti tofauti barani Afrika kutamani kujiunga na klabu hiyo.

MAkala hii kama tulivyokwisha kusema tutaenda kuangazia kwa wastani kiasi wanacholipwa baadhi ya wachezaji wa klabu ya Simba kutokana na taarifa zinazokuwa zikipatikana wakati wa usajili wa mchezaji husika.

Mishahara Ya Wachezaji Wa Simba 2024/2025

Jedwali la hapa chini linaonyesha makadilio ya mishahara ya baadhi ya wachezaji wanaoitumikia klabu ya Yanga kwa msimu wa 2024/2025.

Jina la Mchezaji Taifa Lake Mshahara (TZS)
Aishi Salum Manula Tanzania 14 Milioni
Peter Banda Malawi 6 Milioni
Nasolo Kapama Tanzania 2.5 Milioni
Moses Phiri Zambia 15 Milioni
Luis Miqussion Tanzania 8.1 Milioni
Fondoh Che Malone Cameroon 9 Milioni
Aubian Kramo Cote d’Ivoire 9 Milioni
Mohamed Hussein Tanzania 10 Milioni
Shomari Kapombe Tanzania 10 Milioni
Hamisi Kazi Tanzania 2.2 Milioni
Sadio Kanouté Mali 16 Milioni
Mzamiru Yassin Tanzania 7 Milioni
Devid Kameta Tanzania 2 Milioni
Husein Abel Tanzania 2 Milioni
Ally Salim Juma Tanzania 1.8 Milioni
Fabrice Ngoma DR Congo 7 Milioni
Henoc Inonga Baka DR Congo 11 Milioni
Kennedy Juma Tanzania 3 Milioni
Saido Ntibanzokiza Burundi 6.2 Milioni
Israel Patrick Mwenda Tanzania 2 Milioni
Denis Kibu Tanzania 3.7 Milioni
Jimson Stephen Mwanuke Tanzania 1,000,000
Willy Onana Cameroon 6 Milioni
Hussein Hasan Tanzania Mshahara haujafahamika
Auyoub Lakrey Morocco Mshahara haujafahamika
Hussein Abel Tanzania 2.1 Milioni

Sababu za Mishahara yao Kuwa Juu

Kunasababu kadhaa zinazoweza kusababisha mishahara ya wachezaji wa Simba SC kuweza kutofautiana kutoka mchezaji moja hadi mwingine. Hapa chini ni miongoni mwa baadhi ya sababu hizo tu.

1. Uzoefu wa Kimataifa

2. Umahiri wa Kipekee

3. Ushindani wa Soko

4. Mchango kwa Timu

5. Umaarufu kwa Mashabiki

Hata hivyo klaba ya Simba imezidi kua tishio katika michuano mbalimbali ndani na nje ya Tanzania. Kwa msimu huu wa 2024/2025 klabu ya Simba ndio klabu pekee inayoshiriki michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika na sasa iko kwenye hatua ya makundi na imepangwa katika kundi A.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

VIINGILIO Yanga SC vs Coastal Union 07 April 2025

Wafungaji Bora wa Muda Wote La Liga (Ligi Kuu Hispania)

Kikosi cha Simba SC vs Al Masry Leo 09 April 2025

Viingilio Mechi ya Derby Yanga vs Simba 8 Machi 2025

VIINGILIO Mechi ya Yanga vs TP Mazembe 04 January 2025

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Yanga Sc Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Yanga Sc 2024/2025
Next Article Jinsi ya Kujiunga na Mfuko wa Uwekezaji UTT AMIS Jinsi ya Kujiunga na Mfuko wa Uwekezaji Wa UTT AMIS
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026

You Might also Like

Kikosi cha Simba SC Dhidi Ya Yanga SC 8 Augosti 2024
Michezo

Kikosi cha Simba SC Dhidi Ya Yanga SC 8 Augosti 2024 – Ngao ya Jamii

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Ratiba Ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025
Michezo

Ratiba Ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 (CAF confederation Cup 2024/2025)

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Matokeo ya Yanga Vs Mashujaa Leo 19/12/2024
Michezo

Matokeo ya Yanga Vs Mashujaa Leo 19/12/2024

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read

Jumla ya Makombe ya Simba na Yanga

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara
Michezo

Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Matokeo Ya  Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika
Michezo

Matokeo Ya  Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner