Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Timu Zilizofuzu Hatua ya Nusu Fainali Carabao Cup 2024/2025
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Timu Zilizofuzu Hatua ya Nusu Fainali Carabao Cup 2024/2025
Michezo

Timu Zilizofuzu Hatua ya Nusu Fainali Carabao Cup 2024/2025

Kisiwa24
Last updated: December 20, 2024 12:29 am
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Timu Zilizofuzu Hatua ya Nusu Fainali Carabao Cup 2024/2025

Baada ya robo fainali ya carabao cup kuweza kufanyika na timu nne kuweza kufuzu kuingia nusu fainali basi hapa tutaenda kukupa mwongozo wa timu zipi zilizopita kuingia nusu fainali ya Carabao Cup.

Je wewe ni shabiki wa mpira wa miguu na unafuatilia kombe la Carabao Cup, basi huna budi kujua ni timu zipi zilizoingia kwenye hatua ya Nusu fainali baada ya mtanange wa robo fainali kuweza kukamilika.

Hatua ya Robo fainali Carabao Cup 2024/2025

Hatua hii ilizikutanisha timu 8 ambazo ni;

  1. Arsenal
  2. Crystal Palace
  3. Newcastle
  4. Brentford
  5. Southampton
  6. Liverpool
  7. Tottenham
  8. Man United

Klabu ya Ma United imejikuta ikitupwa nje yaa michuano ya kombe la Carabao Cup baada ya kufungwa goli 4-3 na Tottenham katika mchezo wa robo fainali.

Timu Zilizofuzu Hatua ya Nusu Fainali Carabao Cup 2024/2025

Nusu fainali ya Carabao Cup 2024/2025

Timu nne zimeweza kufuzu kwenye hatua ya nusu fainali ya kombe la Carabao Cup ambazo ni;

  1. Arsenal
  2. Newcastle
  3. Tottenham
  4. Liverpool

Ratiba ya Nusu Fainali Kombe la Carabao Cup 2024/2025

Tayari draw ya nusu fainali imesha chezeshwa na ratiba imesha pangwa kwa timu zilizofuzu kuingia nusu fainali. Mechi za nusu fainali zitachezwa kati ya tarhe  6 January na tarehe 3 February huku fainali ya Carabao Cup inatarajijiwa kufanyka siku ya tarehe 16 March.

Baada ya draw kuchezeshwa timu zilizofuzu nusufainali tayari zimesha pangiwa micheo yao kama ifuatavyo

  1. Arsenal vs Newcastle
  2. Tottenham vs Liverpool

Washindi watakao patikana wataingia kwenye fainali ya kombe la Carabao inayotarajiwa kuchezwa 16 March kwenye uwanja wa Wembley.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Vinara wa Assist Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025

2. Orodha ya Wafungaji Bora Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025

3. Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025

4. Msimamo Wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 Tanzania Bara

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Ratiba Ya Mechi za Yanga Februari 2025 NBC Premier League

Historia ya Yanga SC Kushuka Daraja

Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF

Orodha ya Kampuni Bora za Kubeti Tanzania

Takwimu za Simba na Yanga Kufungana

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Wafungaji Bora Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025 Orodha ya Wafungaji Bora Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025
Next Article Jinsi ya Kujisajili na Kutumia AzamTV MAX App Jinsi ya Kujisajili na Kutumia AzamTV MAX App
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Mtwara
Uncategorized
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala

You Might also Like

Kikosi Cha Simba SC vs Azam FC leo 24 February 2025
Michezo

Kikosi Cha Simba SC vs Azam FC leo 24 February 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Ratiba Ya Mechi Za Pamba Jiji Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025
Michezo

Ratiba Ya Mechi Za Pamba Jiji Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
KIKOSI Cha Simba vs Coastal Union 01/02/2025
Michezo

KIKOSI Cha Simba vs Coastal Union 01 March 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
MakalaMichezo

VIINGILIO Mechi ya Yanga vs TP Mazembe 04 January 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Ligi Bora Africa 2024
Michezo

Ligi Bora Africa 2025 | Viwango vya ubora CAF Ranking

Kisiwa24 Kisiwa24 9 Min Read
Kikosi cha Simba SC Msimu wa 2024/2025
Michezo

Kikosi cha Simba SC Msimu wa 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 6 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner