Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Ratiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu ya NBC 05/03/2026

    March 5, 2026

    NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania 2026

    March 3, 2026

    Nafasi za Kazi Kutoka Geita Gold Mining Ltd (GGM) 2026

    March 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Nafsi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa December 2024
    Ajira

    Nafsi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa December 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24December 19, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nafsi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa December 2024

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa anawatangazia Wananchi wote Raia wa Tanzania wenye sifa zinazohitajika kuomba kujaza nafasi wazi baada ya kupokea vibali vyaa ajira Mpya chenye Kumb Na. FA. 97/228/01/09 cha tarehe 22 Juni, 2024 na chenye Kumb. Na. FA.170/360/01A/144 cha tarehe 22 Oktoba, 2024 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

    1. MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III (NAFASI 3)

    2. MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA III (NAFASI 2)

    3. MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II (NAFASI 2)

    4. DEREVA DARAJA LA II (NAFASI 4 )

    MAELEZO/ MASHARTI YA JUMLA

    i) Mwombaji awe Raia wa Tanzania ambaye ana umri si zaidi ya miaka 45 na sio pungufu ya Miaka 18.

    ii) Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye mfumo wa kuombea ajira aina ya ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira katika  Utumishi wa Umma.

    iii) Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza Curriculum Vitae ( CV) yenye Anwani inayotumika, namba ya simu na Anuani ya barua pepe (E-mail address) pamoja na majina ya Wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
    .
    iv) Matokeo ya muda (Provisional/Testimonials/Statement of results) havitakubaliwa.

    v) Waombajiw ote waambatanishe cheti cha kuzaliwa kilichothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.

    vi) Wombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokua kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.

    vii) Waombaji ambao tayari ni Watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi ya kazi kwa waajiri wao na waajiri wao wajiridhishe ipasavyo.

    viii) Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na Wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyokatika waraka Na. CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.

    ix) Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne, Kidato cha Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbali mbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.

    x) Waombaji waliosoma nje ya Nchi wahakikishe vyeti vyao vimethibitishwa na Mamlaka husika (NECTA na NACTE).

    xi) Uwasilishaji wa Taarifa na Sifa za kughushi, wahausika watachukuliwa hatua za kisheria

    xii) Barua ya maombi itatakiwa iandikwe kwa Kiswahili au Kiingereza.

    xiii)MUHIMU: kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;

    Mkurugenzi Mtendaji (W),
    Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa,
    S.L.P 12,
    MPWAPWA.

    xiv) Maombi yote ya kazi yatumwe kwenye mfumo wa kielekroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://habarika24.com/portal.ajira.go.tz/ (anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya sekretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’)

    xv) Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioanishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIWA.

    xvi) Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 20 Desemba, 2024

    Bonyeza HAPA kupakua Tangazo lote

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Nafasi za Kazi One Plan Solution December 2024

    2. Nafasi za Kazi Puma Energy December 2024

    3. Nafasi za Kazi Kutoka Minor Hotels December 2024

    4. Nafasi Za Kazi Mwanga Hakika Bank December 2024

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi za Kazi One Plan Solution December 2024
    Next Article Orodha ya Shule za Sekondari wilaya ya Uvinza Mkoa wa Kigoma
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania 2026

    March 3, 2026
    Ajira

    Nafasi za Kazi Kutoka Geita Gold Mining Ltd (GGM) 2026

    March 3, 2026
    Ajira

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania 2026

    March 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    March 3, 20261,664 Views

    SMS za Valentine Day kwa Mpenzi

    February 5, 2025547 Views

    Makabila ya Tanzania na Ngoma Zao za Asili

    June 9, 2025429 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    March 3, 20261,664 Views

    SMS za Valentine Day kwa Mpenzi

    February 5, 2025547 Views

    Makabila ya Tanzania na Ngoma Zao za Asili

    June 9, 2025429 Views
    Our Picks

    Ratiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu ya NBC 05/03/2026

    March 5, 2026

    NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania 2026

    March 3, 2026

    Nafasi za Kazi Kutoka Geita Gold Mining Ltd (GGM) 2026

    March 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.