Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Makala»Ratiba na Nauli ya MV Victoria Hapa Kazi Tu 2025
Makala

Ratiba na Nauli ya MV Victoria Hapa Kazi Tu 2025

Kisiwa24By Kisiwa24June 12, 2025No Comments4 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Ziwa Victoria, Ni moja miongoni mwa maziwa makubwa zaidi Tanznia na Afrika, limekuwa kitovu cha usafiri wa majini kwa miongo mingi kati ya mkoa wa Mwanza na wilaya ya Bukoba. Leo katika makala hii tutaenda kukupa ufahamu zaidi juu ya nauli na ratiba ya meli mpya ya MV Victoria Hapa Kazi tu inayofanya safari zake kati ya mwanza na Bukoba.

MV Victoria Hapa Kazi tu hii ni meli ya kisasa iliyozinduliwa hivi karibuni, ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 1,200 na tani 400 za mizigo. Imejengwa kwa viwango vya juu vya kimataifa, ikiwa na vyumba vya daraja la kwanza, la pili na la tatu. Meli hii inaonyesha hatua kubwa ya maendeleo katika sekta ya usafiri wa majini Tanzania.

Ratiba na Nauli ya MV Victoria Hapa Kazi Tu

Ratiba ya Meli ya Mv Victoria Hapa Kazi Tu Kati ya Mwanza na Bukoba

Hapa tunaenda kutazama ratiba ya meli ya Mv Victoria hapa kazi tu inayofanya safarri zake katika ziwa victiria kati ya Mwanza na Bukoba

1. Kutoka Mwanza Kwenda Bukoba Kupiti Bandari ya Kemondo

  • Meli huanza safari yake kunako majira ya saa 3:00 usiku kwa siku za Jumanne, Alhamisi na Jumapili

2. Kutoka Bukoba Kwenda Mwanza Kupitia Bandari ya Kemondo

  • Meli huanza safari zake kuanzia majira ya 3:00 Usiku kila siku kwa siku za Jumatatu, Jumatano na Ijumaa

Kumbuka wasafili wanakumbushwa kufika bandarini iwe kwa upande wa Mwanza au Bukoba mapema iwezekanavyo lisaa limoja kabla ya meli kuanza safari ili kuepusha usumbufu usio wa lazima. Mchakato wa kupanda katika meli ni wa kuridhisha na wenye utaratibu mzuri sana kwani maafisa wa usalama katika bandari husimamia zoezi la kuhakikisha kila abiria ana tiketi halali na mizigo yao inakaguliwa ipasavyo.

Ratiba na Nauli ya MV Victoria Hapa Kazi Tu

Nauli Harisi Za Meli Ya Mv Victoria Hapa Kazi Tu

Kama unatarajia kusafiri kati ya Mwanza na bukoba kwa kutumia usafiri wa maji kwa meli ya Mv Victoria hapa kazi tu basi ni muhimu pia kufahamu nauli za usafri huo kutoka Mwanza hadi Bukoba na kutokea Bukoba hadi Mwanza.

Nauli za meli ya Mv Victoria Hapa Kazi zimepangwa kwa kuzingatia vitu vifuatavyo

  1. Daraja la meli
  2. Umri wa Abiria

Sasa tutazame mgawanyo wa nauli katika meli ya Mv Victoria hapa kazi tu inayofanya safari zake katika ziwa Victoria kwa kuunganisha maeneo ya Mwanza na Bukoba.

1. Nauli ya Daraja la Uchumi

  • Nauli ya watu kuanzia miaka 18 na kuendelea ni Tsh 21,000
  • Nauli ya wat0t0 wenye umri wa miaka chini ya 18 ni Tsh. 11,000

2. Nauli ya Daraja la Biashara

  • Nauli ya watu kuanzia miaka 18 na kuendelea ni Tsh. 40,000.
  • Nauli ya wat0t0 wenye umri wa miaka chini ya 18 ni Tsh. 20,500.

3. Nauli ya Daraja la Kwanza

  • Nauli ya watu kuanzia miaka 18 na kuendelea ni Tsh 55,000.
  • Nauli ya wat0t0 wenye umri wa miaka chini ya 18 ni Tsh.28,000.

Huduma Zitolewazo Ndani ya Meli Ya Mv Victolia Hapa Kazi Tu

  • Vyakula
  • Vinywaji
  • Vyumba vya kulala
  • Kutizama luninga (Tv)
  • Vitafunwa
  • Upatikanaji wa Mawasiliano mda wote wa Safari

Hali ya Usalama Katika Meli Ya Mv Victolia hapa Kazi Tu

Usalama ndani ya meli umepewa kipaumbele cha juu hii ni kutokana na ajairi ya meli ya Mv Victoria kitu kilicho chochea maboresho ya hali ya juu ya kiusalama katika meli hii ya kisasa zaidi

  • Kuna vifaa vya kutosha vya kuokolea maisha, pamoja na boti za kuokolea.
  • Mabaharia wenye uzoefu na mafunzo ya kutosha.
  • Meli imefungwa mfumo wa GPS na rada za kisasa.

Hitimisho

MV Victoria Hapa Kazi tu si tu njia ya usafiri, bali ni ishara ya maendeleo ya Tanzania katika sekta ya usafiri wa majini. Imeboresha kwa kiasi kikubwa uhusiano wa kibiashara na kijamii kati ya mikoa ya Mwanza na Kagera, huku ikitoa huduma bora na ya kuaminika kwa wasafiri. Safari hii inathibitisha kuwa Tanzania inapiga hatua kubwa katika kuboresha miundombinu ya usafiri, huku ikidumisha viwango vya juu vya usalama na starehe kwa wasafiri wake. MV Victoria Hapa Kazi tu ni mfano mzuri wa jinsi uwekezaji katika sekta ya usafiri wa majini unavyoweza kuleta tija kwa jamii nzima.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleNAFASI za Kazi Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO)
Next Article MATOKEO ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 12 June 2025
Kisiwa24

Related Posts

Makala

Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya kupika Maharage kwenye Rice cooker

October 8, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025782 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025471 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025444 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.